Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Hivi for more than 60 year tuantegemea misaada tu? Sisi ni watu wa namna gani?Upumbavu Uko wapi Makonde plateu
Nimesema hali halisi iliyopo..
Mkuu Just imagine Ukija Hospitali Ukaambiwa Amoxicilne au Paracetamol bei yake Tsh 2000 Kwa Kidonge utajisikiaje..
Kuna wakati tuweke Siasa Pembeni Kifupi ni Kuwa Tanzania Bila Utegemezi hatutobi hata Kidogo maan Hata Bajeti ya Madawa yote hayo kwa Mwaka Inazidi Bajeti ya Tanzania Kwa Ujumla
umeongea na umetoa maelezo vema sana nazan sasa ni wakat wa viongozi wa afrika kukaa na rafiki zao china na russia waone ni jinsi gan watatusaidiaNchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
- Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
- Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
- Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
- Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
- Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Kwa nini Sasa tusifanye mazungumzo nao wajenge hapahapa subsidiary branch? Why keep depending on them for all these years!Mmarekani, Korea ,Japan russia ndo wamiliki Wa Big Pharm wao ndo hutengeneza madawa..
Unahisi wanahitaji Msaada wa Madawa na Chanjo??
Trump anaipambania USA, hawezi kufanya kazi kwa maslahi ya nchi zingine hivyo uwe supporter wake au usiwe sidhani kama itapunguza au kuongeza chochote huko Marekani.
Hata hivyo hii ni alert kwa nchi kama Tanzania, tuna mengi ya kujifunza kupitia hii executive order ya POTUS, tuishi kwa uwezo wetu, tuna matumizi makubwa sana kama serikali, tunafuja fedha za misaada na mikopo. Hakuna donor anafurahi kuona misaada inayotolewa haifiki kwa walengwa.
Nadhani ushawahi kusikia, America is for the Americans...kule urusi huo msemo upo sana, Russia for the Russians. Tujipqmbanie, sio kusubiri wengine watupe vya bure. JPM aliyasema haya tukampuuza.
Na Hii inahitaji Rais Mwenye Akili na MaonoKwa nini Sasa tusifanye mazungumzo nao wajenge hapahapa subsidiary branch? Why keep depending on them for all these years!
Kama kweli ungekuwa mfuasi wa trump usingeshangazwa na hili na mengineyo yafananayo na hayo, "he is the proud white,and he is there for Americans",leave it or love it.Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).
Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..
Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..
Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...
Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..
Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
Watanzania Mnachekesha Sana!Moderator huyu apigwe ban.
Miaka 64 ya uhuru mtu analilia misaada kama vile ni haki yake.
Trump ni Chizi....Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).
Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..
Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..
Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...
Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..
Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________
Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata
View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0
Unayosema ni kweli gharama za hizo chanjo na drugs ni kubwa.Nchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
- Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
- Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
- Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
- Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
- Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Kama tunacheza ngoma ya chizi na sisi akina nani? Tukubali ,tukatae nchi zetu za Afrika zimejisahau sàna. Na kuna mtego wa GMO, tukiuingia ndio tumekwisha. Tahadhari nyingi zimetolewa lkn mwisho wa siku viongozi wetu watajaa na kuruhusu matumizi ya mbegu za GMO. kumbuka ukivuna mhindi wa GMO huwezi kupukuchua ukapanda uote ni lazima ununue mbegu kutoka kwao.Trump ni Chizi....
Wafuasi wake wengi humu wanasukumwa na mihemko tu
Xi Jinping 😁😁Si mnasemaga Marekani hakuna kitu na China ndio supa-pawa wa Dunia...
China, Russia wamepiga kimya kama hawajasikia vile!!
Watanzania Mnachekesha Sana!
Mnasahau hata aliyeleta Misaada kwa Wajawazito kutibiwa na Kupewa Huduma Bure ni USA..
Juzi mkuu wa Mkoa kajaribu Kugusa Switch mmekuja Juu!
Watanzania Hamueleweki Mnatka Nini Mfanyiwe na Nini msifanyiwe Sasa Nyuzi tutawakazia ili tusikie milio
Si mnasemaga Marekani hakuna kitu na China ndio supa-pawa wa Dunia...
Hata sijui chochoteUnaweza kutuelezea hilo la Marekani kujitoa kwenye misaada linahusianaje na China?
Bado mtasema tu, mlikuwa mnaomba duwa nzito nzito Trump apite,Kamala mkasema asichaguliwe kisa mwanamama kama samia,kwa kifupi Mungu kajibu duwa zenu,sasa subirini muanze kuanguka kama kuku wa kideri kwa vituo vya daladala, na mpoteze ajira,Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).
Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..
Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..
Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...
Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..
Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________
Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata
View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0
China, Russia wamepiga kimya kama hawajasikia vile!!