Nilikuwa mfuasi wa Trump Kwa Muda Mrefu sana Ila Kwa Hili la Kusitisha Misaada na Ruzuku upande wa Afya Sikubaliani nalo, amekosea sana

Hivi for more than 60 year tuantegemea misaada tu? Sisi ni watu wa namna gani?
 
Umeongea na kueleza vema
umeongea na umetoa maelezo vema sana nazan sasa ni wakat wa viongozi wa afrika kukaa na rafiki zao china na russia waone ni jinsi gan watatusaidia

Maana kila sku waafrika wananchi na viongozi wanaiponda marekan na kuisifia china na russia so ni muda wao sasa kutusaidia

Lakin pia kila mtu anapotoa pesa huwa anaitaji heshima na kuthaminiwa sasa amerika anatoa pesa ila WHO haieshimu wala haithamini
 
Hii iwe wake-up call kwa Africa. Nchi nyingi za Afrika zimepata uhuru kwa zaidi ya miaka 50+ lakini wameshindwa kufungua viwanda vya kutengeneza dawa hata za malaria, nazo tusubiri kusaidiwa wakati tunaishi katika malaria ridden areas? Tumebaki kusifiana kwa kuupiga mwingi !
 

Wakati Magufuli akisema Tanzania haina mjomba wa kumtegemea, alipokufa wakasema "watu wema hawafi..."

Jambo la muhimu Donald Trump anatekeleza sera ya America for Americans
 
Kama kweli ungekuwa mfuasi wa trump usingeshangazwa na hili na mengineyo yafananayo na hayo, "he is the proud white,and he is there for Americans",leave it or love it.
 
Moderator huyu apigwe ban.
Miaka 64 ya uhuru mtu analilia misaada kama vile ni haki yake.
Watanzania Mnachekesha Sana!

Mnasahau hata aliyeleta Misaada kwa Wajawazito kutibiwa na Kupewa Huduma Bure ni USA..
Juzi mkuu wa Mkoa kajaribu Kugusa Switch mmekuja Juu!

Watanzania Hamueleweki Mnatka Nini Mfanyiwe na Nini msifanyiwe Sasa Nyuzi tutawakazia ili tusikie milio
 
Nchi imejaza viongozi wengi wasio na tija kwa taifa mfano RC, DC, RAS, DAS, Wabunge na utitiri kama huo, hao wote wana mishahara mikubwa , posho, nyumba za bure wanazolipiwa na serikali, magari ya anasa n.k. Gharama za kuhudumia hawa wote ni kubwa sana kubebwa na nchi masikini kama Tanzania
 
Trump ni Chizi....

Wafuasi wake wengi humu wanasukumwa na mihemko tu
 
Unayosema ni kweli gharama za hizo chanjo na drugs ni kubwa.
Ila most of African countries zina zaidi ya miaka60 tangu zipate uhuru,na still hazijawekeza kwenye science na research. Nchi tangu zianze kujitawala bado hazijaweza kuzalisha wataalamu wa madawa,bado hazina uwezo wakutengeneza vyandarua mpaka wapewe msada.
Ila nchi hizohizo zimeweka nguvu kubwa kwenye mambo yasiyo na tija au yenye mchango mdogo kwa ustawi wa jamii. Kwamfano Afrika kusini kuhost world cup2010 ilitumia a lot of money kana kwamba wanachi wake hawanashida katika upatikanaji wa huduma za kijamii.
Serikali za Afrika zimewekeza kwenye;
•mpira
•muziki
•siasa zisizo na mashiko
Hawawekezi kwenye kupromote gunduzi za kisayansi.
 
Trump ni Chizi....

Wafuasi wake wengi humu wanasukumwa na mihemko tu
Kama tunacheza ngoma ya chizi na sisi akina nani? Tukubali ,tukatae nchi zetu za Afrika zimejisahau sàna. Na kuna mtego wa GMO, tukiuingia ndio tumekwisha. Tahadhari nyingi zimetolewa lkn mwisho wa siku viongozi wetu watajaa na kuruhusu matumizi ya mbegu za GMO. kumbuka ukivuna mhindi wa GMO huwezi kupukuchua ukapanda uote ni lazima ununue mbegu kutoka kwao.
 
Bado mtasema tu, mlikuwa mnaomba duwa nzito nzito Trump apite,Kamala mkasema asichaguliwe kisa mwanamama kama samia,kwa kifupi Mungu kajibu duwa zenu,sasa subirini muanze kuanguka kama kuku wa kideri kwa vituo vya daladala, na mpoteze ajira,


Trump ni shetani ibilisi,
 
China, Russia wamepiga kimya kama hawajasikia vile!!
Kwani wao wanahusikaje kwenye hilo hayo ni masula ya ndani ya taifa la Marekani sasa China na Russia yanawahusuje?

Unataka Russia na China waingile internal affairs na policies za sovereign state Marekani?

Always China never meddles in other countries’ domestic affairs. Hiyo nii miongoni mwa foreign policies zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…