Nilikuwa mfuasi wa Trump Kwa Muda Mrefu sana Ila Kwa Hili la Kusitisha Misaada na Ruzuku upande wa Afya Sikubaliani nalo, amekosea sana

Nilikuwa mfuasi wa Trump Kwa Muda Mrefu sana Ila Kwa Hili la Kusitisha Misaada na Ruzuku upande wa Afya Sikubaliani nalo, amekosea sana

Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).

Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..

Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..

Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...

Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..

Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________

Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata

View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0

Isitoshe dawa nchi nyingi za kiafrika zinapewa bure lakini wao wanaziuza kwa sababu ya corrupt systems za uongozi tulionao na ndio maana hao waliofukuzwa wanaambiwa waka deal na viongozi wa nchi zao zilizocorrupt
 
Tanzania tukiuza ile mishangingi ya serikali nzima, na viongozi wakaishi kama wanavyoishi walimu, no free bima, no free transport, no free mafuta ya gari, no free taxes, hizo hela tutazokua nazo zinaendesha nchi. lakin kwa bajet za mishangingi kila siku, migari ya serikali full tank kila siku, posho nzito za wabunge kila siku... aah subutu tutaendela kutia huruma.
 
Nikiwa Muwajiriwa Serikalini. A Nisipokuwa muajiriwa Itabadilisha nini?
Sawa Ila mbona wenzenu hawalalamiki kuhusu hiyo misaasa ya Dawa za ukimwi?

Kama mnaweza fikirieni kutumia Elimu na utaalamu wenu katika Kuwa na kiwanda cha kuzalisha Dawa za ukimwi.
 
Sawa Ila mbona wenzenu hawalalamiki kuhusu hiyo misaasa ya Dawa za ukimwi?

Kama mnaweza fikirieni kutumia Elimu na utaalamu wenu katika Kuwa na kiwanda cha kuzalisha Dawa za ukimwi.
Unajua Kilichosimamishwa Sio dawa za Ukimwi peke yake?
Uzazi wa Mpango, Dawa za TB , chanjo ,Dawa za malaria na Baadhi ya Dawa za OIs..

Na Pili nani Halalamiki??
 
Mkuu Kama Kitu hukifahamu Sema!
Moja ya mikataba muhimu ni PEPFAR (President's Emergency Plan for AIDS Relief), ambayo ilianzishwa mwaka 2003 na Rais George W. Bush, ikiwa na lengo la kupambana na HIV/AIDS katika nchi za Afrika na duniani kote...
Mkataba Huu ndo trump Ameusimamisha..

kwa hiyo shida Iko wapi., labda hana Mamlaka ya kuusitisha?
 
Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).

Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..

Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..

Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...

Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..

Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________

Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata

View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0

DR Mambo Jambo kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hiki?
 
Unajua Kilichosimamishwa Sio dawa za Ukimwi peke yake?
Uzazi wa Mpango, Dawa za TB , chanjo ,Dawa za malaria na Baadhi ya Dawa za OIs

Nikukosa vipaumbele Dawa za TB tunaweza kutengeneza na za Ols

Kuhusu uzazi wa mpango hii nikuji-control zaidi.


Kama mnaweza kuwa na uwezo wa kufanya anasa za kila siku kutembelea Magari ya gharama mnashindwa vipi kuwa na bajeti ya Afya nzuri.


Mimi ninachoumia ni hizo Ajira Ila kuhusu sisi kujitegemea we need to think out of box Nigger✌.
 
DR Mambo Jambo kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hiki?
Upumbavu Uko wapi Makonde plateu
Nimesema hali halisi iliyopo..

Mkuu Just imagine Ukija Hospitali Ukaambiwa Amoxicilne au Paracetamol bei yake Tsh 2000 Kwa Kidonge utajisikiaje..

Kuna wakati tuweke Siasa Pembeni Kifupi ni Kuwa Tanzania Bila Utegemezi hatutobi hata Kidogo maan Hata Bajeti ya Madawa yote hayo kwa Mwaka Inazidi Bajeti ya Tanzania Kwa Ujumla
 
Acheni kupenda kitonga, nilijua utamlalamikia rais wako aache kutapanya rasimali na kununua mavi 8 ili awaboreshee wananchi wake maisha..!!

Yani Trump aache kuwapambania raia wake kodi zipunguzwe, awaendekeze wanaokula tunda kimasihara kwa kujua kuna PEP na EIARAVII 😹😹😹
Trump kanyaga baba.!! Nilisahau kumbe hanisikii..!! 🤣
 
Upumbavu Uko wapi Makonde plateu
Nimesema hali halisi iliyopo..

Mkuu Just imagine Ukija Hospitali Ukaambiwa Amoxicilne au Paracetamol bei yake Tsh 2000 Kwa Kidonge utajisikiaje..

Kuna wakati tuweke Siasa Pembeni Kifupi ni Kuwa Tanzania Bila Utegemezi hatutobi hata Kidogo maan Hata Bajeti ya Madawa yote hayo kwa Mwaka Inazidi Bajeti ya Tanzania Kwa Ujumla
Mkuu jitahidi kuondoa fikra hii kichwani mwako.
 
Nikukosa vipaumbele Dawa za TB tunaweza kutengeneza na za Ols

Kuhusu uzazi wa mpango hii nikuji-control zaidi.


Kama mnaweza kuwa na uwezo wa kufanya anasa za kila siku kutembelea Magari ya gharama mnashindwa vipi kuwa na bajeti ya Afya nzuri.


Mimi ninachoumia ni hizo Ajira Ila kuhusu sisi kujitegemea we need to think out of box Nigger✌.
Mpaka Naandika I thought na Nimeona Hakuna Njia Nyingine..

Hatukufundishwa Ujima Baada ya Kutoka kwenye Ujamaa Pengine ndiyo tatizo letu kubwa
 
Siku ya Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alisaini agizo la rais (executive order) lililosimamisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa misaada nje ya Nchi, ikiwemo programu muhimu za afya kama Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na UKIMWI. "President's Emergency Plan for AIDS Relief " (PEPFAR).

Kusitisha Huku Progran Hizo kutaathiti Dawa za Virusi vya UKIMWI (ARV), Dawa za kifua kikuu (TB), na Dawa za malaria na Dawa za Uzazi wa Mpango..

Ukiachana na Kuathiri Upatikanaji wa Dawa Taarifa ya USAID kuhusu Kupunguza kusitisha Misaada ya Viti hivyo Kumeanza Kuleta Effect kwa Baadhi ya NGOs Mashirika Mengi..

Yanayohusika na Utoaji wa Dawa za ARV,Kifua kukuu na Ukoma,Uzazi wa Mpango,na malaria yameanza Kuyumba na wote wameanza Kutoa Notice kwa wafanyakazi wao kusubiri na Kuangalia kama Marekani itarudisha Panga kwenye ala bhasi watarudi kazini...

Takribani Wafanyakazi wa Mashirika Tanzania 2900s Wanaenda Kupoteza Kazi kutokana Na upuuzi na Ego ya Trump..

Poleni Afya, Poleni Wafanyakazj wenzangu na Mostly Poleni wagonjwa ambao mnaenda Kuathiriki kwa Order hii Isiyo na Mashiko..
_____________________________________

Waafrika Tujitegemee:
Uhuru kenyata

View: https://youtu.be/wYpSNxTxXE0

Una-post utumbo na haujala mboga mboga. 🎺🥁Ooh disconnect 🥁🎺 disconnect 🥁🎺ooh disconnect 🥁🎺

mboga mboga hata akiwa ni chura kiziwi au chura anayesikia, eat that frog.
 
Mimi nafikiri uhuru kasema vyema,ni muda wa kutowategemea tena ngozi nyeupe,
Hawa wataalamu wetu wanafanyaga nini mbona wamekaa kaa tu kama hawajui wanakoelekea
 
Back
Top Bottom