SUASO
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 770
- 1,192
Pamoja mkuu.. Nchi hii mkuu kuna mambo ukisikia huwezi kuamini mpaka uone lakini ni dhahili mambo mengi sana ya siri ukiyajua au jamii ikijua basi jamii itaumia sana kama siyo kufadhaika mno"
Nimejaribu kukuelewa mkuu ila nadhani upeo wangu ni mdogo au mkubwa sana kuweza kuelewa ulichomaanisha. Zidumu fikra za mwenyekiti