Nilimfumania shemeji yangu, Nikachukua uamuzi huu na kikatokea hiki, wewe ulifanyaje?

Ni kweli shetani alimpitia ila sasa ndio hivyo kadakwa so mume kaamua kufanya maamuzi magumu
maskini mume wa watu hata alikua hajui kinachoendelea,,,, hivi kwanini mnapenda kuishi jirani na ndugu aagh🀨
 
Unajua mwanamke kuchepuka, Tena aliwe mzigo kitandani kwako hiyo Ni zaidi ya kuvuka mipaka.

Mwanaume Ni Kama Simba. Simba dume ana mamlaka katika territory yake na yeyote anayeingilia ufalme wake lazima aaseme nae. Ndiyo maana mwanamke akichepuka hata ukimsehe anakuwa hana ile Radha ya mke tena. Ni kama amevunja ule ukuta wa uanaume(ufalme) na kukuacha uchi. Kugongewa Kisha ukajua ni Kama laana kwa Mwanamke.

Mkuu,

Umesimamia Sheria ya uanaume kumwambia bro wako. Mwanamke kuchepuka hakusameheki!!
 
maskini mume wa watu hata alikua hajui kinachoendelea,,,, hivi kwanini mnapenda kuishi jirani na ndugu aagh🀨
Huyo alikuwa anafanya kazi bwana.
Sasa jamani wanawake kama mnataka kuenjoy de libolo tofauti sii mseme tuu kuwa ndoa hamtaki that simple.
Alafu ebu njoo tuonjeshane jamani wewe mrembo. Mie nitakupa uhuru wa kuonja de libolo zingine na utaendelea kuwa mke wangu cha msingi uje na style mpya alizokupiga huyo workmate wako
 
Ulifanya sahihi..na ulitumia busara..ingekua wahuni angeletewa wazee wa kazi apakuliwe..apigwe pesa ndio aachiwe
 
hata mimi ningefanya hivyohivyo. labda kama sio kaka yangu ndo anaibiwa.
 
Hapana jamani ata kama umemfumania mke na njema mambk ya kula kisamvu cha kopo wakati ni mkeo alikubali kugegedwa? Kisamvu cha kopo waliwe wanawake tuu
Kosa la huyo jamaa kuja kumla mke ndani ya nyumba ya mumewe. Hiyo ni dharau sana, hiyo ndo adhabu anayoistahili huyo mgoni. Ana bahati sana!!
 
Kosa la huyo jamaa kuja kumla mke ndani ya nyumba ya mumewe. Hiyo ni dharau sana, hiyo ndo adhabu anayoistahili huyo mgoni. Ana bahati sana!!
Ah sasa hapo home sii ndio vizuri mzee unamgegeda mke wa mtu huku unamwambia mtukane mumeo bwana au wee hujawahi kula mke ya mtu
 

Hujakosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…