Nilimfumania shemeji yangu, Nikachukua uamuzi huu na kikatokea hiki, wewe ulifanyaje?

ona sasaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€¦β€β™€οΈ
 
Sasa mwanawane wee utaendaje kumgegeda mke wa mtu kwa nyumba ya mume wake alafu wee huli tope? Kama nikula mbususu tuu chobingoz zipo nyingi tuu
😁😁😁jamaa alizingua sana
 
Dah niliwahi fanya kitu kama hii chumba Chao cha watoto dah haina mzuka maana unakuwa unapiga huku unatoa macho unasikilizia kama kuna mtu anawanyatia.
Kiukweli nilikuwa natetemeka sana.
Nahisi nikizeeka nitakuwa najuta sana maana nimetenda mengi sanaa wakuu.
Mungu anisamehee
 
Ulikuwa sahihi mkuu na bahati ilikuwa upande wako mungu kumpa brih wako ufahamu maana km broh angekuwa kichwa maji mgeishia kugombna
 
Ingekuwa ni Mimi, Basi ninge mkanya huyo mwanamke asirudie huo upuuzi,

Nisinge chukua video wala kumwambia Kaka chochote.

wewe ni mwanaume, Kuna baadhi ya Mambo una maliza kiume hata Kama yanaumiza moyo kiasi gani.
 
Ulikua Sahihi Mkuu.

Shemeji aliwe, ila sio kuliwa ndani Kwa Kaka yako.

Hongera sana.
 
Shahidi hafungwi
Mjumbe hauwawi

Ulifanya kazi vyema kulinda maslahi mapana ya Familia

USALITI NI LAANA
USALITI NI KANSA
USALITI HAUSTAHILI M S A M A H A
 
Ungemsikiliza na ww huenda angekupea utamu ukaacha ghubu,,
 
Una maliza kimyakimya nawewe wanakuua kimyakimya mpuuzi kabisa
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Wewe unaweza kumuua kiumbe anaye ishi kuzimu kwa masaa 12, halafu masaa 12 duniani. Take care bro...
 
Inauma
 
hii ni stori ya kutunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…