Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Nimemtoa mbio
Anataka nifungue pm animwagie upupu siendiiii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Akatafure pesa kwanza mwambie.!!
Pm haifunguliwi kwa mtu anayetegemea mashangazi kusavaivu
 
Ila
Ndo nishafika 🀣🀣🀣
Ww mimi sijakuharibia kokote zaidi ya bff wangu, nimeona hamuendani na km familia tumekukataa.!!
Ila bff wako anaona Mimi na yeye tunaendana
 
Hapana, huyu anayeandika haya yote ni member mmoja hivi. ID yake mkongwe inaanza na herufi P.

Sema ni utoto tu ndio unamsumbua.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe siku hizi unajua kufungua code?
 
Kuna nini nyuma ya pazia kila mtu anasema anampenda huyo kiumbe au ndiyo kashakuniwa nazi!
 
hapana, labda ndo ugeni.. wenyeji mnijuze Binti wa kueleweka humu, ila mimi nikijikua deep na ephen
Acha uzwazwa bwa mdogo umu kuna madume yana id za kike sasa ingia kichwa kichwa wahuni wapite na jicho ilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…