The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hapana mkuu sijisifii,ila naeleza ujinga nilioufanya nikiwa shule ukanipa jambo kubwa maishaniHii Thd ni ya kujisifia kwa Mwanafunzi kumpiga Mwalimu wake?
Au mimi ndio sijaelewa? au pengine mimi nipo nyuma ya muda au muda ndio upo nyuma yangu?
Huu uzi unauona wa kipuuzi kwa kuwa hauna msaada kwako, kwangu umenipa maisha ambayo wewe hauna, huu uzi hujaisha mbele utakuja kunielewaUZI WA KIPUMBAVU WA MTU AMBAYE AMEANGALIA SANA MOVIES ZA KIHINDI NA KUVUTA BHANGI SANA.
Vipi sasa hivi umetusua kimaisha?Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.
Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.
Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.
Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.
Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu
Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.
Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.
Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.
Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue
Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.
Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.
Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.
Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.
Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.
Itaendelea...
Umempiga teacher lakini hata kuandika Kiswahili fasaha huwezi, sasa Kiingereza si ndiyo majanga? Wenzenu wasukuma wanavuta bangi iwasaidie kulima na kufanya kazi...Rudia kusoma upya
Maisha yangu manzuriVipi sasa hivi umetusua kimaisha?
Nikikutana na comments kama hizi moja kwa moja wewe bwabwa,asilimia kubwa ya mashoga wanamipasho kama wa dadaUmempiga teacher lakini hata kuandika Kiswahili fasaha huwezi, sasa Kiingereza si ndiyo majanga? Wenzenu wasukuma wanavuta bangi iwasaidie kulima na kufanya kazi...
hakuna mtu wa Arusha anaandika hivi.Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.
Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.
Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.
Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.
Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu
Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.
Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.
Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.
Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue
Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.
Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.
Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.
Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.
Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.
Itaendelea...
Endelea mkuu achana na hao wababaishaji iwe kweli au story tu wewe endelea kutuburudisha.Nikikutana na comments kama hizi moja kwa moja wewe bwabwa,asilimia kubwa ya mashoga wanamipasho kama wa dada
Comment za bwabwahakuna mtu wa Arusha anaandika hivi.
Comment za wanaumeEndelea mkuu achana na hao wababaishaji iwe kweli au story tu wewe endelea kutuburudisha.
Mkuu hii ilikuwa comment kwenye Uzi mmoja uko humu ,sijui kama uliiokota huko au wewe ndio umeandika kuleHii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.
Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.
Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.
Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.
Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu
Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.
Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.
Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.
Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue
Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.
Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.
Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.
Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.
Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.
Itaendelea...
Hii Thd ni ya kujisifia kwa Mwanafunzi kumpiga Mwalimu wake?
Au mimi ndio sijaelewa? au pengine mimi nipo nyuma ya muda au muda ndio upo nyuma yangu?
Inaendelea....Inaendelea......
Niliishia pale walinzi waliponikamata,wakaniweka chini ya ulinzi...
Nilipokuwa pale chini ya ulinzi, ndio ilikuwa mda wa wanafunzi kwenda nyumbani, ilikuwa assembly wanafunzi wote wa shule wapo..
Academic master alipomaliza kuongea na wanafunzi, akanifuata huku ameshika fimbo kama la kuua nyoka, akaniambia simama, Academic alinichapa kinoma, yani fimbo yote ikavunjika, halafu Academic alikuwa mjeshi..
Fimbo ilipovunjika akaanza kunitandika makofi,nilikula makofi na mitama,kama ningekuwa sina mazoezi ningekuumia sana,maana makofi mengine niliyablock,sema sikutaka kumrudishia maana ningeharibu zaidi..
Nilipigwa mpaka wakaingilia wale walinzi walionishika,wakaniamua wakanipeleka kwa head master.
Nikapewa suspension ya week 2,nilipoenda nyumbani mzazi alikuwa kashapigiwa simu kutoka shule,kuwa nimempiga mwalimu akazimia.
Nilipofika nyumbani baba alinipokea kwa ngumi,mpaka mama akawa anapiga ukunga uwiiii uwiiii,ndo wakaja ndugu wakaamua huku mimi sura imezimba hatari..
Niliuguzwa siku nne,bila kutoka nnje,nilikuwa nakula kwa shida maana mdomo ulivimba sana..
Suspension ilipoisha nilienda shule na baba,akaonge na head master kwa mda mrefu mpaka nikasamehewa ila nikapewa masharti mawili..
Sharti la kwanza nikubali kuwa kaka mkuu wa shule...
Sharti la pili nipambame na wanafunzi wote wahuni,wavuta bangi,yote hayo nilikubali.
Sasa kazi ikaanza kama kaka mkuu wa shule,huku ndo kuna kimbembe hatari..
Itaendeleeea....
Niliandika mimiMkuu hii ilikuwa comment kwenye Uzi mmoja uko humu ,sijui kama uliiokota huko au wewe ndio umeandika kule
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Alafu ukute katoka chuo,wanakuwa na muku ya kufundisha sanaSafi ungemmaliza huyo kenge. Wana vihere here sana.
Yani asilimia kubwa form 3 ndo hua wanaanza kujifunza misumali......Mim kuna ticha ety alimtongoza rfk angu kamkataa tukala pesa zake ety akatangaza vita na mim me nkamwambia ww ni mkubwa lkn vita na mim uwez.Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.
Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.
Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.
Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.
Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.
Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu
Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.
Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.
Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.
Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue
Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.
Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.
Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.
Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.
Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.
Itaendelea...
Panya road labda wawe wengi sana,wakinipa chance ya hatua 3 ya kugeuka na kurusha mateke yani watakimbia wenyeweMzee baba kuna mbinu za kurusha mateke pia zimeelezewa, yanaweza saidia wakati wa kupambana na panyaroad...