Nilimpiga Mwalimu akahama shule

Nilimpiga Mwalimu akahama shule

Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.

Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.

Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.

Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.

Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu

Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.

Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.

Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.

Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue

Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.

Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.

Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.

Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.

Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.

Itaendelea...
Vipi sasa hivi umetusua kimaisha?
 
Umempiga teacher lakini hata kuandika Kiswahili fasaha huwezi, sasa Kiingereza si ndiyo majanga? Wenzenu wasukuma wanavuta bangi iwasaidie kulima na kufanya kazi...
Nikikutana na comments kama hizi moja kwa moja wewe bwabwa,asilimia kubwa ya mashoga wanamipasho kama wa dada
 
Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.

Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.

Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.

Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.

Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu

Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.

Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.

Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.

Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue

Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.

Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.

Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.

Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.

Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.

Itaendelea...
hakuna mtu wa Arusha anaandika hivi.
 
Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.

Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.

Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.

Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.

Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu

Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.

Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.

Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.

Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue

Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.

Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.

Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.

Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.

Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.

Itaendelea...
Mkuu hii ilikuwa comment kwenye Uzi mmoja uko humu ,sijui kama uliiokota huko au wewe ndio umeandika kule

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Inaendelea......


Niliishia pale walinzi waliponikamata,wakaniweka chini ya ulinzi...


Nilipokuwa pale chini ya ulinzi, ndio ilikuwa mda wa wanafunzi kwenda nyumbani, ilikuwa assembly wanafunzi wote wa shule wapo..

Academic master alipomaliza kuongea na wanafunzi, akanifuata huku ameshika fimbo kama la kuua nyoka, akaniambia simama, Academic alinichapa kinoma, yani fimbo yote ikavunjika, halafu Academic alikuwa mjeshi..

Fimbo ilipovunjika akaanza kunitandika makofi,nilikula makofi na mitama,kama ningekuwa sina mazoezi ningekuumia sana,maana makofi mengine niliyablock,sema sikutaka kumrudishia maana ningeharibu zaidi..

Nilipigwa mpaka wakaingilia wale walinzi walionishika,wakaniamua wakanipeleka kwa head master.
Nikapewa suspension ya week 2,nilipoenda nyumbani mzazi alikuwa kashapigiwa simu kutoka shule,kuwa nimempiga mwalimu akazimia.

Nilipofika nyumbani baba alinipokea kwa ngumi,mpaka mama akawa anapiga ukunga uwiiii uwiiii,ndo wakaja ndugu wakaamua huku mimi sura imezimba hatari..
Niliuguzwa siku nne,bila kutoka nnje,nilikuwa nakula kwa shida maana mdomo ulivimba sana..
Suspension ilipoisha nilienda shule na baba,akaonge na head master kwa mda mrefu mpaka nikasamehewa ila nikapewa masharti mawili..
Sharti la kwanza nikubali kuwa kaka mkuu wa shule...
Sharti la pili nipambame na wanafunzi wote wahuni,wavuta bangi,yote hayo nilikubali.
Sasa kazi ikaanza kama kaka mkuu wa shule,huku ndo kuna kimbembe hatari..
Itaendeleeea....
Inaendelea....


Baada ya kuwa kaka mkuu wa shule, changamoto ilianza sasa, wanafunzi niliokuwa na vuta nao bangi wakaniona shushushu, wakatengeneza bifu kwa kuwa nilipokuwa nawakuta wanavuta bangi, walichezea makofi, machimbo yanayouza bangi pembeni ya shule nilikuwa nayafahanu..

Nilitengeneza bifu sana kwa wanafunzi wahuni, nakumbuka siku moja tulienda picnic mlima meru kwenye ile falls ya maji, ilikuwa ni tabia ya wanafunzi wa arusha kwenda picnic mlima Meru, Duluti, Mlima Tembo (ngaramtoni), kuna club ilikuwaga usa River tulikuwa tunaikodisha kila jumamosi, tunaenda kula bata huko tulikutana wanafunzi wakila shule Arusha, wahuni, wapole, kipindi hicho bia ya banana ilikuwa imeingia, ukitoa buku unapewa tatu yaani hizo tatu ukizimaliza umelewa hatari...


Sasa tukiwa kwenye ile miteremko ya kuelekea kwenye falls, nikiwa mimi na mshikaji wangu ambae tulikuwa marafiki sana, mazoezi ya taekwondo tunapiga wote wawili daily.

Ghafla kundi la vijana wahuni wasiopungua 9, walituzunguka, nikiwa mimi na msela wangu tuliwekwa kati.

Oya wewe ndio unajifanya komando wa shule, unapeleka siri zetu kwa walimu, unatufanya sasa hivi atuvuti bangi kwa amani? Sasa leo hatoki mtu huku, hata uwe fiti vipi lazima tukukomeshe, aliongea jamaa mmoja akiwa ameshika pisi la gogo..

Samahani wakuu, nitakuwa nawapa muendelezo hivyo hivyo maana sipati chance nzuri yakuandika vinzuri, tusameheane

Muendelezo soma Nilimpiga mwalimu akahama shule
 
Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.

Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.

Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.

Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.

Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu

Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.

Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.

Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.

Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue

Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.

Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.

Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.

Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.

Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.

Itaendelea...
Yani asilimia kubwa form 3 ndo hua wanaanza kujifunza misumali......Mim kuna ticha ety alimtongoza rfk angu kamkataa tukala pesa zake ety akatangaza vita na mim me nkamwambia ww ni mkubwa lkn vita na mim uwez.
Ticha kaja class kanipa swali la Physics form two nikafanya vzuri nkaweza, akanipa tena swali la kuchora preparation ya oxy from hyro peroxide......eh bana si nkachora nkasahau kulabel manganese dioxide eeeh ticha akasema ujalabel hapa nkamwambia nmesahau tu kwa sabb muda umenipa mdg na me sio mzuri kweny kuchora chora akasema ety adhabu kubeba ndoo kumi za mchanga na kufagia ofisini ya walimu week nzima nkamwambia mie ni kiongoz siruhusiwi kufanya Kazi yyte zaid ya kutoa dawa kwa wagonjwa na kuhakikisha wanapatiwa huduma ya kwanza.......Ety unanijibu dharau mim nkukute administration block nkamwambia haina noma Edson.
Kwanza nkaingizwa kwa Second master, na displine master Alf second master mwenyewe alikua ananitokea........
Kuingia nikaaanza kujiliza ilivofika zamu yangu ya kujielezea nkasema kila kitu hadi alivomtongoza rfk angu na alivonitangazia vita.......Mim nliambiwa kesi yangu imeisha wakabaki na huyo ticha sijui aliliwa kiboga maan alitoka kachomoa shati
 
Mzee baba kuna mbinu za kurusha mateke pia zimeelezewa, yanaweza saidia wakati wa kupambana na panyaroad...
Panya road labda wawe wengi sana,wakinipa chance ya hatua 3 ya kugeuka na kurusha mateke yani watakimbia wenyewe
 
Back
Top Bottom