Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

mhhh una haki na mali yako tuu...

the rest ulikosea telekeza family bila taarifa. akikushitaki thru family law unamakosa.
kwa sheria ya land and mortgage utashinda nadhani.
 
mkuu Kaveli darasa uliotoa limeniingia vilivyo, asante
 
Last edited by a moderator:
mhhh una haki na mali yako tuu...

the rest ulikosea telekeza family bila taarifa. akikushitaki thru family law unamakosa.
kwa sheria ya land and mortgage utashinda nadhani.

Ni kweli, ila makosa yangu hayafuti ya kwake pia
 
bobby freetown

Kweli umekosea na lawama ni za kwako maana ulivyoondoka kimya kimya ulidhani yeye angeota upo angol?
 
Last edited by a moderator:
hujakoseam kabisa maamuzi magumu ndio yamerudisha mafanikio na njia nzuri...labda ulikosea kuchgua mke ambaye ukifulia anakulaumu hataki ukatafute af analalamika...huyo hafai kuendekezwa af kwa ujinga wake anabadili hati kumpa mwanaume umiliki....mjinga sana...kuchagu atuu ulibugi ila mengine big up komaa mali ni za watoto wako hapo
 
2006 - 2009 ulikua beach Nimekuelewa mnoo!!! Dah umenikumbusha maisha ya kibeach boy Ndani ya Capetown 2007 inataka moyo wa kishujaa...Awali ya yote pole sana tafuta wakili mzuri utashinda
 
Mh.Kaveli asante kwa darasa lako nina swali hapa kesi kama hiyo ya wanandoa kuoa au kuolewa bila ya kupeana talaka.Kwa mfano mume na mke wametengana kwa zaidi ya miaka mitano,mume akaamua kuoa bila ya mke kujua baada ya hiyo miaka mitano,sheria inasemaje hapo iwapo mke ataenda mahakamani kudai haki yake.
 
Chai bora tuinywe chai bora


Hahahahahaj

Kweli chai bora....katunyweshaje

Mnagunduaje kwamba ni chai? Nimerudia×2 nimeshindwa kuona mnachosema, mtusaidie mawazo

Pia nimeona umechangia mwanzo watu8 amekuja kusema chai umeungana nae so anakushikia akili (hypocrisy) anyway napenda kujua mnajuaje, otherwise kama ni assumption then mnamkosea heshima na haki yake mleta Uzi

Thanx
 

Hakuna ulipokosea mkuu....Endelea kumtumaini Mungu aliyekuwezesha kupita katika jaribu hilo. Siku moja huyo mwanamke atakujia akiwa analia.
 
Hebu muache mwenzio alee watoto na ampendae....
 
Ndugu usidandie treni kwa mbele.....

Mimi nimemuelewa Watu8 alipoweka wimbo wa chai

Kama unahitaji kujua alimaanisha nini muulize

Mwisho nina maamuzi ya kukomenti chochote kwenye uzi au komenti yoyote


 
Last edited by a moderator:
Wazo langu la kuitelekeza familia nimeliahirisha kutokana na. Uzi huu hadi hapo ntakapotangaza tena.Ijumaa Kareem

Ukiitelekeza nayo ITAKUTELEKEZA. si umeona jamaa hapa "wamemkata" na kwenye mahesabu kama mwaanafamilia wamemtoa. Angalia "USIKATWE".
aljumaa mubarak
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…