Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Nipo mkuu, CPA bado tunapambana nikiipata mbona ntakualika kwenye graduation. Why ujione ushafeli? Si tunapewa msamaha na kurekebisha tulipokosea na our Almighty God, bado tuna nafasi ya kurekebisha nayo ni sasa.
 
Nipo mkuu, CPA bado tunapambana nikiipata mbona ntakualika kwenye graduation. Why ujione ushafeli? Si tunapewa msamaha na kurekebisha tulipokosea na our Almighty God, bado tuna nafasi ya kurekebisha nayo ni sasa.
Mungu kusamehee haimaniknishi kuwa ataondoa madhara ya yale uliyofanya. Hayo yapo pale pale my dear.

Pamba nije kula pilau la cpa. Totoz isi kali alafu una cpa...mhm kweli kuna kuolewa hapaπŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Mungu kusamehee haimaniknishi kuwa ataondoa madhara ya yale uliyofanya. Hayo yapo pale pale my dear.

Pamba nije kula pilau la cpa. Totoz isi kali alafu una cpa...mhm kweli kuna kuolewa hapaπŸ€”πŸ€”πŸ€”
Acha basi, CPA na kuolewa havihusiani banaπŸ˜‚
 
πŸ˜…πŸ˜…Pisi kali gharama bloo,unakimbia kugharamia wakati hitaji lako ni kupiga na kusepa?au ulitaka kuweka kambi?πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Kula uliwe
 
Naona mmetuamulia kulee mtu kaagiza JD na chakula gani Sijui cha bei kubwa hukuu watu wazima wamenyweshwa Novida!!

Deeeeeejjjaayyyyyy ongeza sautiiiii!πŸ—£οΈ
 
Naona mmetuamulia kulee mtu kaagiza JD na chakula gani Sijui cha bei kubwa hukuu watu wazima bwamenyweshwa Novida!!

Deeeeeejjjaayyyyyy ongeza sautiiiii!πŸ—£οΈ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…