Nilimwalika peke yake kaja na wenzie 4, nimewaagizia Novida

Usisahau kutupa updates mkuu
 
Simba leo
 
Acha ubahil wewe vitu vizur vitam lazima ugharamie.
Yeye kaamua kukutambulisha kwa wenzie kwan kuna ubaya gani??
UMDHURU eeeh[emoji1][emoji2][emoji2]
Imekula kwako jombaa[emoji120]
 
Nae pengine anaalikwagwa nae

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣 Yelewiiii
 
Zipo supermarkets,kwenye maduka ya jumla ya vinywaji wanauza kwa katoni na kuna bar ,hotels wanazo pia. Maharusini walikua wanaziweka ila naona bei yake imewashinda.

Bei ni 2000 au 2500
Location pa kuzipata kipenzi?
 
Zipo supermarkets,kwenye maduka ya jumla ya vinywaji wanauza kwa katoni na kuna bar ,hotels wanazo pia. Maharusini walikua wanaziweka ila naona bei yake imewashinda.

Bei ni 2000 au 2500

Okay asante...
 
Kabisa wakijanhivyo wapo tayari kugegedwa threesome foursome wewe tuu. Cha msingi savannah desparados na nyama kwa wingi. Baadae unajilia mbususu wee nikubafikisha tobo tuu
Aiseee🙌
 
Mkuu OKW BOBAN SUNZU ,Naomba kuuliza kama utakuwa na uzoefu wa bei za viwanja maeneo ya Malimbe ama Buhongwa. Kiwanja tambarare cha kunyenyua nyumba ya vyumba sita kinaweza dai Tsh Mil ngapi?

Nimekufuata PM nikakuta imefungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…