Sio sound bar kipenzi ni home theater DZ650 watts 1000 [emoji1787][emoji1787] me hata waiponde kikubwa kwangu naenjoy nayo vizuri tu haya mambo mengine tunawaachia wenyeweSijui ni kwenye uzi gani nilikuona unasifia Sound bar ya sony ikiwa inapiga mayday ikiwa inadunda huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watts 1000, ikiwa ni sound bar au home theater? Extrovert aje atofautisha.
Music is a therapy
Naweza nisiwashe Tv kama sina movie mpya, ila radio must.
[emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna duka nimewapa 500k yangu wanaishika maana hawakuwa nayo watts 320. Nikawa nasubiri walete.. Kumbe naenda kuzika hela? Kwahiyo nikaichukue nimpe bwana angu akaile tu?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usicheke 🤣🤣 aniambie kama nachezea hela nikazichukue tu. Maana watts 320, walisema 630k. Kwa kuwa hawakuwa nayo, nikapunguza nikaacha 500k. Ni duka nalofahamiana nao,,[emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana
HT ina mvuto. Alot of speakers 😍Sio sound bar kipenzi ni home theater DZ650 watts 1000 [emoji1787][emoji1787] me hata waiponde kikubwa kwangu naenjoy nayo vizuri tu haya mambo mengine tunawaachia wenyewe
[emoji1787][emoji1787] Ebu chukua kama yangu achana nazo hizoUsicheke [emoji1787][emoji1787] aniambie kama nachezea hela nikazichukue tu. Maana watts 320, walisema 630k. Kwa kuwa hawakuwa nayo, nikapunguza nikaacha 500k. Ni duka nalofahamiana nao,,
Michezo ya kuzika hela sichezagi [emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787] umeshavuta picha yako eenhHT ina mvuto. Alot of speakers [emoji7]
Hiyo Tv showcase lazima iwakeeee
Shukrani mkuu, kwa Dar naweza pata wapi? Kkoo zipo?Kama wewe ni mtu unapenda mziki mnene mzuri kama ule wa zamani wa vitofa vya kupanga- Tuner, Cassete Deck, Equilizer na Amplifier, Sony siku hizi wana HIFI MUSIC SYSTEMS za series SHAKE-10D to SHAKE-100D.
Kwa DSM zinapatikana SHAKE-10D hadi SHAKE-70D.
Njoo Mbagala me naziuza 🤣Shukrani mkuu, kwa Dar naweza pata wapi? Kkoo zipo?
Mapema alfajiri kabla jogoo hajawika 🤣🤣[emoji1787][emoji1787] umeshavuta picha yako eenh
Dar mia ngapi? Nifanye window shop na mlinganisho[emoji1787][emoji1787] Ebu chukua kama yangu achana nazo hizo
Ukweli mchunguHapo Kwenye Lg,Sony na Samsung wengi mnauziwa kampuni au brand....Ila miziki mizito mnaiacha Kwa mchina
Bei gn hiyo[emoji1787][emoji1787] Ebu chukua kama yangu achana nazo hizo
Bei?Nilikua nataka kununua speaker ambayo ninaweza tembea nayo. Kwa budget yangu nikapata W-King T8, aiseeh mziki inayotoa sina mpango wa kununua sound system nyingine tena.
Mapema alfajiri kabla jogoo hajawika [emoji1787][emoji1787]
Dar mia ngapi? Nifanye window shop na mlinganisho
Bei gn hiyo
Very good. Ahsante mamyNilinunua laki 7 miaka hiyo sijui kwa sasa zimeshuka au zimepanda ebu jaribu kuuliza