Niliota nimefariki na baadae nikafufuka. Sijawahi kuota hivi na wala sikuwa na mawazo ya aina hii kabla ya kulala. Nisaidieni tafsri

Niliota nimefariki na baadae nikafufuka. Sijawahi kuota hivi na wala sikuwa na mawazo ya aina hii kabla ya kulala. Nisaidieni tafsri

NDOTO ZA KUFA AU KUZIKWA KABURINI AU KUPIGWA RISASI huwa zinafuatiwa na UGONJWA MBAYA kama KANSA, KISUKARI, UKIMWI, KUPOOZA na VIFUNGO VIKALI VYA KIROHO.
Hapa mimi naotaga nafukuzwa na Polisi tena wazungu yaan unakutwa naswakwa na zile ndege za kijeshi full kukoswakoswa
Hiyo sio kitu kizuri kaka ktk ulimwengu wa roho upande wa giza, usipuuzie hata kidogo anza kufuatilia. Mimi nimepitia hayo na sasa niko kwenye shida mwaka wa tatu huu nlianza kuona mambo ktk ndoto nikadharau n kujua ni ndoto tu.

Unaweza kusoma thread yangu kwa ufupi.
Yapi mkuu tufumbuane, maan mimi nimetoa Miaka mingi sana ndoto hizo sasa hivi anasumbuliwa na mguu mwaka wa pili huu hela zote zinaisha huko
 
Did I mention that dream in which
me and Putin went to commit an act of terrorism.
Kwanza Putin akaenda kwenye parking lot,akapapasa tairi la gari moja pale,akatoa microfilm,akaikunjua akaisoma.
Next we had to go and bomb this lab where a scientist who had defected from Russia was working.
Halafu nilipoamka asubuhi,Mufti (Zuberi) na delegation yake walikuwa wamekuja kutembea nyumbani. But I did not get to see them because I had not been informed.
 
Wakuu jana niliota nimekufa hadi msiba wangu ulitokea na nilikuja kukufuka na wakabomoa jeneza kunitoa kabla ya sijazikwa

Kuna maana yoyote hapa au ni muvi tu za usiku?

Mshana Jr Da'Vinci
watu wengine sijui wapojetushaanza kula pilau jitu linafufuka.... ningekua karubu ningekupiga nyundo urudi ulipotoka..... ona sasa pilau sijala kisa ujinga wako wa kuamka kwenye kifo....


ila fresh tu kesho inajirudia tena
 
Ndoto inayokuwa inahusiana na MAISHA yako Mara nyingi huwa inakuwa IPO katika Symbolic dream

Yaani baada ya kuota inakuhitaji kukaa na kuanza kuichambua na sio hizi ndoto za kawaida amabazo hutokana na mawazo mengi kichwani
 
Did I mention that dream in which
me and Putin went to commit an act of terrorism.
Kwanza Putin akaenda kwenye parking lot,akapapasa tairi la gari moja pale,akatoa microfilm,akaikunjua akaisoma.
Next we had to go and bomb this lab where a scientist who had defected from Russia was working.
Halafu nilipoamka asubuhi,Mufti (Zuberi) na delegation yake walikuwa wamekuja kutembea nyumbani. But I did not get to see them because I had not been informed.
Dude oh dude.
 
IMG_5004.jpeg
 
NDOTO ZA KUFA AU KUZIKWA KABURINI AU KUPIGWA RISASI huwa zinafuatiwa na UGONJWA MBAYA kama KANSA, KISUKARI, UKIMWI, KUPOOZA na VIFUNGO VIKALI VYA KIROHO.
Uko sahihi bichwa, mi baadhi ya ndoto huja na sauti ya kunitafsiria, niliota ndg yangu kapigwa risasi ya shingo na kuwekwa ICU, niliposhtuka ikanitafsiria kuwa abadili mwenendo wake kazini ama la watamuua,,,,,, kumwambia mlengwa si akapuuza mwaka huu mwanzoni kaondoka kwa ajali, basi natamani nirudishe siku nyuma lkn siwezi nawaza nisingemwambia je ningekuwa katika hali gani ya kuhisi hatia?
 
Uko sahihi bichwa, mi baadhi ya ndoto huja na sauti ya kunitafsiria, niliota ndg yangu kapigwa risasi ya shingo na kuwekwa ICU, niliposhtuka ikanitafsiria kuwa abadili mwenendo wake kazini ama la watamuua,,,,,, kumwambia mlengwa si akapuuza mwaka huu mwanzoni kaondoka kwa ajali, basi natamani nirudishe siku nyuma lkn siwezi nawaza nisingemwambia je ningekuwa katika hali gani ya kuhisi hatia?
BORA ULIMWAMBIA.

Wengine wabishi kama hawa UCHWARA wa humu.

Ati ooohhh ndoto ni hisia tu.... THUBUTUUU!!

Ndoto ni RADAR inayonasa mashambulizi, kazi ni kwako kuyapangua.

Ukizubaa unakwenda na maji au unaingia kwenye giza la ajabu, mamikosi na vifungo vikali sana.

Kuchomoka ni mpaka utumie nguvu kubwa sanaa tena sanaa....
 
K
Uko sahihi bichwa, mi baadhi ya ndoto huja na sauti ya kunitafsiria, niliota ndg yangu kapigwa risasi ya shingo na kuwekwa ICU, niliposhtuka ikanitafsiria kuwa abadili mwenendo wake kazini ama la watamuua,,,,,, kumwambia mlengwa si akapuuza mwaka huu mwanzoni kaondoka kwa ajali, basi natamani nirudishe siku nyuma lkn siwezi nawaza nisingemwambia je ningekuwa katika hali gani ya kuhisi hatia?
Kwahyo ajali ilikuwa ya kusababbishiwa?
 
M
BORA ULIMWAMBIA.

Wengine wabishi kama hawa UCHWARA wa humu.

Ati ooohhh ndoto ni hisia tu.... THUBUTUUU!!

Ndoto ni RADAR inayonasa mashambulizi, kazi ni kwako kuyapangua.

Ukizubaa unakwenda na maji au unaingia kwenye giza la ajabu, mamikosi na vifungo vikali sana.

Kuchomoka ni mpaka utumie nguvu kubwa sanaa tena sanaa....
Mashambulizi huwa yanatoka kwa watu?
 
Back
Top Bottom