Niliota nimefariki na baadae nikafufuka. Sijawahi kuota hivi na wala sikuwa na mawazo ya aina hii kabla ya kulala. Nisaidieni tafsri

Niliota nimefariki na baadae nikafufuka. Sijawahi kuota hivi na wala sikuwa na mawazo ya aina hii kabla ya kulala. Nisaidieni tafsri

Hapa mimi naotaga nafukuzwa na Polisi tena wazungu yaan unakutwa naswakwa na zile ndege za kijeshi full kukoswakoswa

Yapi mkuu tufumbuane, maan mimi nimetoa Miaka mingi sana ndoto hizo sasa hivi anasumbuliwa na mguu mwaka wa pili huu hela zote zinaisha huko
Matokeo ya ndoto hizo huwa ni magonjwa yasiyoisha, vifungo vikubwa vya maisha vinavyotokana na mambo ya giza.
 
Katika ulimwengu wa kiroho unakumbushwa kubadili mtindo wako wa maisha, inaonesha unafanya dhambi sana na hiyo dhambi unayoitenda itakusababishia umauti, badilika haraka sana.
 
Hizo ndoto muda mwingine sio za kuamini hazina kweli yoyote
Imagine Mimi nimewahi kuota katika kipindi tofauti kuwa tupo karibu na diamond zaidi ya Mara 3 katika maisha yangu yaan tupo marafiki
Tumewahi kumuota Muhammad huyu Nabii wa waislam katika sehemu tupo wote ananifunfisha
Nimewahi kumuota Cr7 yupo Manchester tunacheza wote mpira na mm nikiwa katika hiyo timu ya Manchester
Nimewahi kuota vita ya Dunia ambayo urusi ndio ilipoanza na mm nikiwa urusi basi nikawa napigana na maadui na kuwapiga peke yangu nikawa nawaauwa sana na likarushwa bomu la nyukilia likawa linakuja pale nilipo kuwa mm napigana watu wakawa wanapiga kelele bomu ilo linakuja watu wakaanza kukimbia ovyo Mimi nikaruka na kupaaa na kulidaka angani ni kuruka juuu na kulikamata kwenda kulitupa nje ya dunia
Embu angalia hizi ndoto utakuja kuona hakuna maana yoyote zaidi ya kufurahi ukiwa ndotoni ukiwa na ndoto nzuri
 
Hizo ndoto muda mwingine sio za kuamini hazina kweli yoyote
Imagine Mimi nimewahi kuota katika kipindi tofauti kuwa tupo karibu na diamond zaidi ya Mara 3 katika maisha yangu yaan tupo marafiki
Tumewahi kumuota Muhammad huyu Nabii wa waislam katika sehemu tupo wote ananifunfisha
Nimewahi kumuota Cr7 yupo Manchester tunacheza wote mpira na mm nikiwa katika hiyo timu ya Manchester
Nimewahi kuota vita ya Dunia ambayo urusi ndio ilipoanza na mm nikiwa urusi basi nikawa napigana na maadui na kuwapiga peke yangu nikawa nawaauwa sana na likarushwa bomu la nyukilia likawa linakuja pale nilipo kuwa mm napigana watu wakawa wanapiga kelele bomu ilo linakuja watu wakaanza kukimbia ovyo Mimi nikaruka na kupaaa na kulidaka angani ni kuruka juuu na kulikamata kwenda kulitupa nje ya dunia
Embu angalia hizi ndoto utakuja kuona hakuna maana yoyote zaidi ya kufurahi ukiwa ndotoni ukiwa na ndoto nzuri
Hhahahha daaah
 
Back
Top Bottom