Nilipomuona Lissu jana hapa Mwanza machozi yalinitoka, hakika Mungu yupo na anaishi

Litakuwa kumshape Magufuli ila sio kuwa raisi.
 
A living miracle of our time, shalom wapendwa! Binadamu aliyelala usingizi wa mauti karibu miezi 3 kisha kunyanyuka kutoka usingizini huku akiwa hajapoteza kumbukumbu zake na zaulimwengu wake! Hakika Mungu yupo.
#Ni yeye 2020
Mwambie wale wenzie akina Umber Luth wamehukumiwa jana kifungo cha miaka mitatu gerezani au kulipa faini ya milioni kumi na tano
 
Nani katenda kinyume na kwa Nani?
 
A living miracle of our time, shalom wapendwa! Binadamu aliyelala usingizi wa mauti karibu miezi 3 kisha kunyanyuka kutoka usingizini huku akiwa hajapoteza kumbukumbu zake na zaulimwengu wake! Hakika Mungu yupo.
#Ni yeye 2020
Lissu ni MUUJIZA unaotembea, hakuna namna ya kuelezea uponyaji wake nje ya Mungu.
 
Mimi pia ninamwamini Mungu na kumuabudu.

Subirini October 28.
Muwe surprised na huyo pandikizi la mabeberu.
Kama unamuamini Mungu kweli huwezi kumshabikia magufuli aliyefukuza watu kazi kwa vyeti feki na kumuacha makonda akisema hata kama ana vyeti feki hawezi kumfukuza kazi kwa sababu mchapa kazi!

Kama unamuamini Mungu kweli huwezi mshabikia magufuli aliyemtesa kijana wa watu kabendera aliyekuwa akikosoa tu Sera zake hadi kusababisha kifo cha mama yake!

Kama unamuamini Mungu kweli huwezi kumshabikia magufuli ambayo amesema hawezi peleka maendeleo kwa wapinzani wakati kila mtanzania analipa kodi

Anaemshabikia magufuli ni wakala wa shetani. Nothing more
 
Vice versa is true.

Wewe kwa sababu uko upande wa pili huwezi kuliona hilo.

Utahisi unaonewa. Ila JPM is right hayo mengine ni mapungufu ya kibinadamu.
 
Vice versa is true.

Wewe kwa sababu uko upande wa pili huwezi kuliona hilo.

Utahisi unaonewa. Ila JPM is right hayo mengine ni mapungufu ya kibinadamu.
Majibu yako ni hitimisho tosha kuwa hauko kwa Mungu. Kwaheri shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…