mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Asante umenitoa woga, kesho naanza kwa kutoka Iringa hadi Tosamaganga, safari yangu ndefu ya kwanzaNa sio hapo kumbuka hata ule muda ambao nilifika Tabora nilifika sawa na mabasi yanayotoka Dar lengo halikuwa kushindana na muda mwenyewe katika safari yangu nilikuwa na target zangu hasa kwenye mwendo na usalama wangu mwenyewe ukizingatia usafiri niliokuwa nautumia , halafu kuna hali ya bara bara dar to dom magari ni mengi barabarani kuliko ukitoka pale dom kuelekea singida kidogo kule gari zinapungua barabarani
Lakini isijekuwa wale waenda mbio bila life assurance. Mi napenda kusafiri lakini sio kufa, kuna kikundi cha watu wa ajabu niliwahi kukutana nao Mkomazi wakiwa kwenye mwendo ambao sidhani kama dharura ikitokea uhai wako una guarantee. Ngoja niwacheki hawa ulioniambia, thanks!Mkuu kuna jamaa wanafanya hapa Tanzania wacheki Instagram wanaitwa Dar Bikes and Coffee huwa wanafanya tour. Nimewahi kuwaona mara nyingi wakienda Arusha kwa Misafara maeneo ya Korogwe.
Hawa wanafanya utalii wa kuzunguka maeneo mbalimbali, wengi wana pikipiki za maana.
Mzee aibu nami niliunge na kaTVS kangu hapo [emoji1787][emoji1787]Mkuu kuna jamaa wanafanya hapa Tanzania wacheki Instagram wanaitwa Dar Bikes and Coffee huwa wanafanya tour. Nimewahi kuwaona mara nyingi wakienda Arusha kwa Misafara maeneo ya Korogwe.
Hawa wanafanya utalii wa kuzunguka maeneo mbalimbali, wengi wana pikipiki za maana.
Mkuu polepole ndio mwendo kuna siku utapata kama hizo.Mzee aibu nami niliunge na kaTVS kangu hapo [emoji1787][emoji1787]View attachment 1435226View attachment 1435227
Sent using Jamii Forums mobile app
Watafute wakina Masoudy Khamis na Juma kwenye page za Instagram huwa wanachezea bike pale Tanganyika packers pia ni mafundi.Mzee aibu nami niliunge na kaTVS kangu hapo [emoji1787][emoji1787]View attachment 1435226View attachment 1435227
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mimi nina TVS mkuu sasa hao jamaa mizigo yao wanaweza kuniacha njiani na kibaskeli changuMkuu polepole ndio mwendo kuna siku utapata kama hizo.
Kama unapenda Adventure za pikipiki uwe unaenda Pale Tanganyika Packers Jumapili hata kubadilishana Mawazo na wadau kwenye michezo ya pikipiki.
Hawa wengi ni watu wazima tena wanaojitambua. Vijana wapo wachache sana, sisi vijana mwisho wa kucheza ni Tanganyika packers.Lakini isijekuwa wale waenda mbio bila life assurance. Mi napenda kusafiri lakini sio kufa, kuna kikundi cha watu wa ajabu niliwahi kukutana nao Mkomazi wakiwa kwenye mwendo ambao sidhani kama dharura ikitokea uhai wako una guarantee. Ngoja niwacheki hawa ulioniambia, thanks!
Mkuu kuna wengine wanaenda Tanga, kupitia Bagamoyo-Sadani-Pangani kwa kutumia bike za mchina.Tatizo mimi nina TVS mkuu sasa hao jamaa mizigo yao wanaweza kuniacha njiani na kibaskeli changu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea vizuri mzee siku nami ntaliunga masafa marefuMkuu kuna wengine wanaenda Tanga, kupitia Bagamoyo-Sadani-Pangani kwa kutumia bike za mchina.
Usijione mpweke cheza kwenye level yako unainjoi vizuri.
Wewe unataka usafiri umbali gani.Tatizo mimi nina TVS mkuu sasa hao jamaa mizigo yao wanaweza kuniacha njiani na kibaskeli changu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umetumia lita ngapi,na muda gani?Mimi nimetoka Mwanza juzi Tu...hili swala la kawaida tu! Wala sio la kushangaza sana...
Kwa Mara ya kwanza jaribu route za umbali wa kawaida kama Dar kwenda Moro.mkuu umetumia lita ngapi,na muda gani?
manake mimi luti za dar mwanza ni nyingi kama vp na mm nimenye boxer yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninayo toleo la kwanza huu mwaka wa saba bado inadai.Zile ni mashine ila hizi za sasa japo wamezipa gia tano ila bado namashaka kwenye uimara wake
Una boxer upitwe na gari kubwaDah hongera mkuu ,hii kitu naiogopea magari makubwa njiani namna yanavyokupita ,unaweza jikuta mtaroni na huwa hawathamini pikipiki ,
Vp hii changamoto ulikabiliana nayo vp ,maana ujanja wangu pikipiki mwisho mjini,
Hii ni chaiUtalii wa hivo nimefanya na baskeli kilometa 300+ siku moja ila gharama yan unakula zaidi ya nauli ya hiyo sehemu
@kisalio haha haha UMECOMENT BILA KUSOMA
Jamani me Nina tvs 150x hili toleo jipya natoka kwenda dodoma kutoka hapa dar . Vipi tafika kweli na hii chombo au ndo itanifia njiani?
Sent using Jamii Forums mobile app