Nilisafiri kwa pikipiki Dar mpaka Tabora

Ma dem wanazingua sana kwenye piki piki, kuna mmoja mi nshawahi mwambia NJOO UENDESHE WEWE, akabaki kimya
Hahahahaha mmoja mjini dar nilimshusha nikampa nauli apande daladala
 
Reactions: sab
Hizi tour za kwenda mkoani kufanya utalii wa ndani nitafanya nikinunua gari soon
 

Dar-Dom ni Km 450. Kama alitembea wastani wa Km70/h yuko sawa kabisa. Kumbuka pikipiki haina Tochi
 
H

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…