The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
- Thread starter
-
- #141
Hahahahaha mmoja mjini dar nilimshusha nikampa nauli apande daladalaMa dem wanazingua sana kwenye piki piki, kuna mmoja mi nshawahi mwambia NJOO UENDESHE WEWE, akabaki kimya
Hahaha haha yaani wana kera usipo fanya maamuzi mapema wanakusababishia ajaliHahahahaha mmoja mjini dar nilimshusha nikampa nauli apande daladala
Big up mzee Baba
Hizo BMW ni jina tu zikija Africa ni majanga. Kwa pikipiki huku kwetu Honda,Kawasaki,KTM ndio zinavumilia na zinahimili mikiki mikiki.Sio za Safari ndefu hizo.chukua bmw
natamani ungekuwa unajua unachokiandikaHizo BMW ni jina tu zikija Africa ni majanga. Kwa pikipiki huku kwetu Honda,Kawasaki,KTM ndio zinavumilia na zinahimili mikiki mikiki.
ndio tuelimishane mkuu usichokenatamani ungekuwa unajua unachokiandika
Akili fupi sana hizo ikiwa hutanii. Hawa watalii wanaokuja kutoka Norway, Finland na kwingineko hawana kazi?
Hii ni chai
Tufanye hesabu rahisi tu. Umetembea kwa masaa 18, kwa hiyo 300÷18= 16.7km/h. Yaani umetembea kilomiter 16 kwa saa moja. Hivi unazijua km 16 kweli wewe?Bibi ako kapika
Boxer umetoka Dar saa 10 Alfajili ukaingia Dodoma Saa 5. Mkuu ebu tuache basi ndugu yangu. Ulikuwa unatembea mwendo wa kilometa ngapi kwa saa? Boxer kumbuka ni pikipiki fupi sana. Ungekuwa na unaendesha XL 250 na kuendelea zile honda ningekuelewa ama ENDURO YAMAHA. Kuna mtu katoa angalizo kuwa hakuna mtu wa kusoma kakosea angesema hakuna mtu wa kukuelewa.Scania ama hizi Youtong zinakoma na Dar Tabora. Ebu njoo ufafanue vyema . Mimi napinga kbs.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar-Dom ni Km 450. Kama alitembea wastani wa Km70/h yuko sawa kabisa. Kumbuka pikipiki haina Tochi
1. Kuharibikiwa njianiUnaogopa nini
HNdo mana sipendi pikipiki ambazo ziko chini na hazina nguvu ..imagine una yamaha FZ 09 haka ka kitu ni 3cyl kama ka passo[emoji16] nan anakupita hapo bara baran sipendi piki piki ndogo kwa jinsi unakuta imeminywa wee afu haiendi kiasi kwamba bus hizi zina vts lkn huzikimbii wanakupita wanavoweza hilo ndo tatizo lkn ukiwa na kitu cha maana li kisbo likikupita unaliungia nyuma
vipi Lita Moja ya mafuta ulitembea km ngapi?duhh mkuu umenikumbusha me mwaka juzi nilikiwa na haojue 125-8 nilitoka saa 9 usiku dar saa 8 mchana niko singida
kusafiri na pikipiki ni burudan sana