Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Alikwambia nani kwenda shule ni kujua kiingereza wewe!!! Hata mtoto wa miaka mitano aliyezaliwa katika nchi ambayo kiingereza ni lugha ya kwanza au kifaransa hajaenda shule lakini anaweza kuzungumza kwa ufasaha lugha hizo.
Ungekuwa umeenda shule usingrandika huu ujinga uliouandika hapa kuunga mkono udikteta na udhalimu unaoendelea kushamiri nchini ili tu kuendelea kung’ang’ania madarakani.
B8C91FEE-402F-493B-8775-09E4433DBFDE.jpeg

Eti nini? Mimi nimeenda shule boss! Ndo maana English inapanda than any of your interpreted dream. French pia niliipata mikononi mwa waalimu Pas proche de votre compréhension. Naijua Sayansi na laws of universe. Nawakumbuka akina De broglie.
Twende polepole. Wewe unakumbuka nini kuonesha umekwenda shule?
 
Ukitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.

Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.

Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?

ANGALIZO

Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.

Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
Wewe nae ni wale mnaotuharibia taifa letu, huna lolote,ila unafiki ule was viwango vya kitanzania
 
Mkuu wangu GENTAMYCINE amini usiamini, njia yeyote atakayopitia Ndg Aikaeli atafikia ukomo wa KUINULIWA Sana ktk nchi hii.

Mungu hapokei hongo!!
 
Ukitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.

Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.

Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?

ANGALIZO

Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.

Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
Hutaki kuulizwa huku ukileta uzi jf , huo ubabe wa kibwege unataka kumfanyia nani ? nani asiyekujua wewe kuwa ni mamluki wa ccm ambaye unyama unaotendwa unaufurahia ?
 
Nilitukanwa sana hapa na Wafuasi wake wakati GENTAMYCINE nilikuwa na nia njema nae tu ili asaidiwe Kiushauri na Kimawazo na Wadau mpaka Wataalam wa Kisheria.

Sasa kuanzia leo tutaheshimiana vizuri.
Heshima wanayokupa wanaokuheshimu kwani haikutoshi!? Maana naona unalilia sana kuheshimiwa.
 
Mkuu tena nakumbuka niliwaambia kuwa kama Sabaya atafungwa basi na Mwamba wao atafungwa na akiachiwa Huru nae Mwamba ataachiwa na kuwapa sababu ya 'Kimkakati' juu ya hili wakaacha Kunielewa na Kunitusi na Kunishambulia tu hapa.

Haya leo kiko wapi? Nikionya kinakuja.
Kesi yake imeisha kwa hiyo na tayari kashanyoa!?
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Duuuh masikini kumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Wewe ulijuaje mkuu?
 
Ukitulia kabisa na kama tokea mwanzoni umeangalia Kesi ilivyoanza na inavyoenda huhitaji Akili Kubwa sana kujua kuwa ni Kesi ya 'Kimkakati' zaidi na lazima lililopangwa litokee.

Kwa nia njema tu nikaja na Threads zangu Mbili ( ambazo hata hivyo mpaka leo sijui kwanini ziliunganishwa au kufutwa ) kwa Makusudi kabisa nikitaka Mjadala wa 'Kihoja' uanze ili angalau Mawakili Wasomi wanaompambania waokote okote Mawili Matatu ya Kisheria waongezee na yao waliyonayo ili Mhusika anasurike na 'Kesi Mkakati' inayomkabili GENTAMYCINE nikaishia Kutukanwa, Kushambuliwa na Kudhihakiwa.

Haya baada ya Kilichotokea kwa hatua hii tu ya awali kile nilichokisema na Kukitahadharisha ukiwa na Akili Timamu na Kusoma pia Mazingira na Mtiririko wake mnadhani Mhusika haendi Kuozea Jela na labda ni suala la muda tu?

ANGALIZO

Sijamtaja Mtu katika Uzi wangu huu bali nimeelezea tu hivyo sitaki Kuulizwa namuongelea nani na mtakayemhisi huyo mmemuhusi nyie ila siyo Mimi Mleta Mada.

Taratibu sasa tutaanza Kuelewana JF!!!!
Wanajaribu kuzuia hii kesi isiendelee ife kwa kuzua technicalities. Utawala wa haki lazime u prevail. Sio ushahidi upo wa ugaidi halafu mtu aachiwe kiujanjaujanja.
 
Tusiwachanganye watu. Jaji wa kwanza kujiondoa ni kutokana na Mbowe kutokuwa na imani naye hovyo kulazimika kuondoka si vinginevyo. Huyu amejiunga kwa sababu ya nafasi aliyonayo sasa ambayo haimwezeshi kuwa na muda wa kutosha kusikiliza kesi hii. Hili lazima liwekwe wazi hata kama watalaumu wajue sababu za majaji hao wawili kujitoa
 
Back
Top Bottom