Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Watu wale wana Mungu wao na wale wana Allah wao, na wale wana Yesu wao na Wale wana Nabii wao...
 
Dah umenikumbusha kaka yangu alipomfata ex wangu eti niachane nae kisa ni dini tofauti tena alimfata na panga hiki kisa natamani niazishie uzi yale mahusiano nilipigwa mikanda sana home[emoji51]
Ukianzisha uzi wake nitag
 
Sipati picha ungekuwa mzazi wa binti yako amekuja kumtambulisha mchumba wake wa kikristo nazani mngemkatakata na mapanga na damu kuinywa supu si kwa chuki hizi ulizonazo kwa dini ya kikristo as if inakusaidia kuondoa matatizo ya maisha yako
The lastborn9319
Tychob
TZ-1
 
Sipati picha ungekuwa mzazi wa binti yako amekuja kumtambulisha mchumba wake wa kikristo nazani mngemkatakata na mapanga na damu kuinywa supu si kwa chuki hizi ulizonazo kwa dini ya kikristo as if inakusaidia kuondoa matatizo ya maisha yako
Shida hamjaelewa. Siyo kwamba tuna chuki, maisha hayaishii katika kuzaa au kupendana tu. Kuna maisha baada ya hapo.

Hatakatwa mtu mapanga wala haluna haja hiyo. Sini yetu hairuhusu Mkristo kumuoa Muislamu ila sisi tunaruhusiwa kuwaoa walio pewa kitabu, japo hili lina maelezo marefu.
 
Mbona tunauona wakristo wanaona waislamu?
 
allah is already dead.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanini dada zangu wakikristo tukiwazifia wenzetu roho Zenu zinaumia wakati ndio uhalisia wenyewe ukweli siku zote haukimbiwi
Sijaumia nimesema ni kweli
 
Miafrika haitaki kuoa/olewa nje ya dini zao wala familia zao hazisapoti kabisa kama tu huna hela na wewe ni Mmatumbi mwenzao.

Ukiwa na hela au a different race wanasahau Kila kitu.
 
Kwenye mavazi na usafi naweza kukubaliana na wewe, na ni kweli wengi huvutiwa nao ila linapokuja swala la maadili, mabinti wa kiislamu wengi wanafeli pakubwa. Sio kwamba uislamu una mafundisho mabaya, ila ni kwasababu umewatenga wanawake kwenye baadhi ya mambo.

Mfano swala la kufanywa kinyume na maumbile limechipukia sana kwenye nchi za kiarabu kuliko kwingine, ikumbukwe huko ndiko uislamu ulikoshamiri. Ikiwa hutaki kufikiria uarabuni (ni mbali sana na pengine huwezi kufika) basi fikiria kuhusu Zanzibar tu.

NB: Huo ujunga hufanywa pia na wakristo, ila nimeutumia hapo kwakua umekithiri sana upande ule.
 
Unakosea sana unapo generalize hivyo, kuna watu humu tunakuona ni limbukeni wa mapenzi na kwamba unaamini hivyo ili kutafuta uhalali wa kinachoendelea kati yako na huyo binti wa kiislamu.

Linapokuja swala la mahaba, dini haiwezi kuwa kigezo kwakua wapo waliooa mabinti wa kiislamu na wengine tumewachezea sana tu ila hatukuwa/ hawaoni cha ajabu. Na kuna watu wamekolezwa na mabinti wa kikristo kiasi kwamba hawana cha kufanya.

For your case, nauona ulimbukeni wa mapenzi zaidi kuliko facts.
 
Tusitake kuishi kizungu uko sahihi lakini kwanini watu hutolea mifano kwa wazungu tu vipi jamii zingine tulizoiga tamaduni zao na kudharau mpaka lugha zetu za asili tukihusisha kila kilicho chao na imani?huu upofu unaletwa na nguvu gani?!
Waafrica (hasa africa ya mashariki na kusini) ni wajinga sana.
 
Mimi ilitokea tu demu mlokole akataka kunihamishia kwao mm Protestant tukaamua kuachana mana si vyema mwanaume ukubali kuburuzwa
 
Daaah wewe mpaka upigwe tukio zito ndio utakaa level na kuamini kwamba swala la mapenzi na mahaba halihusiani na dini.

Wewe upo field ila kuna raia humu tumecheza sana na hao mabinti unaowasifia na mwisho wa siku hatukuona la maana ambalo litatufanya tuombe na kusifu kwenye kila comment. Mimi ni mkristo lakini utaniambia nini ambacho sijui kuhusu hao mabinti?

NB:Sifia uliye nae hakuna atakae kukataza lakini isiwe kama umemaliza mabinti wote wa kikristo na kuona kama hawafai, au uwe kama vile umetembea na wanawake wote wakiislamu ukaona wote wapo vizuri. Jisemee wewe mkuu, hakuna aliyekutuma kusemea wanaume wakikristo humu Jf, binafsi naaenjoy penzi langu kwa binti wa kikirsto kuliko hata nilivyowahi kwa hao waislamu.

Kwahiyo na mimi nianze kuwaponda mabinti wa kiislamu kwakua nimezama kwa mkristu?
 
Ni kweli upendo huisha ila kwakua sasa bado haujaisha acha andelee, huko mbeleni ukija kuisha atatafuta mwingine.

Au unataka kumaanisha kwamba akio wa dini yake, ndio upendo hautakuja kuisha?

NB: Sio kwamba siiungi mkono hoja yako, ila jinsi ulivyoiwasilisha inazua maswali mengi. Huwezi kutumia kigezo cha "upendo huisha" kuonyesha ubaya wa mtu kuhusiana na mtu asiyekuwa wa dini yake. Kwakua hata kwa wale wa dini moja, bado upendo unaweza kuisha.
 
Hiyo siyo kweli hili jina wanalitumia kimakosa. Nabii Ibrahimu alikuwa Muislamu, Uyahudi na Ukristo ni Dini zilizo kuja kuzuliwa, ukiziangalia zote zimewakana mitume walio fata baadae.
Uislam ni dini ya mwisho , Sasa ilikuwaje ikawa kabla ya uyahudi na ukristo? Hujui kuwa hujui. Ibrahim alikuwa myahudi na mitume wote kumtoa Mohamed walikuwa wayahudi by default.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…