Mi nitakuja kuoa muislamu japo mi ni mkristo najipanga kukabiliana na upinzani au vikwazo vyovyote kutoka kwa wazazi wa pande zote itabidi niazime mbinu kwa putin za kupambana na sanctions ambazo nitawekewaKabisa mkuu wanawake wa dini yetu wangekuwa wanajua mahaba tusingekuwa tunaangaika na hawa wakislamu lakini Ndio hivyo sijui tutafanyaje alafu wengi wao sio wachoyo kukupa game tofauti na hawa wakwetu
Ni washirikina balaaMi nitakuja kuoa muislamu japo mi ni mkristo najipanga kukabiliana na upinzani au vikwazo vyovyote kutoka kwa wazazi wa pande zote itabidi niazime mbinu kwa putin za kupambana na sanctions ambazo nitawekewa
Huna unalojua ushawekewa na huelewi sasa hapo tuseme unajua nini zaidi ya umajinuni tu.Mwenzako alisema nimuwekee mpaka 21 wewe unataka niweke lote. Ili kuepuka usumbufu nisaidie wewe kumalizia hapo nilipoishia halafu utoe sababu au uonyeshe ulazima wa kutaka wewe liwekwe andiko lote, kwamba je limebadilisha nilichokiweka hapo awali.
Acheni kuruka kuruka, mnatakiwa haya maandiko myachambue kielimu siyo mnaruka ruka huku na kule kisha hamtoi ufafanuzi wa kielimu. Nawaonea huruma sana.
Sheikh mbona huulizi Qurani ina vitabu vingapi na kwanini baadhi ya aya ziliondolewa ebu tupe hapo elimu na Sisi tuelimike.Humu ndimo wajanja wanapiga hela na nyinyi mnakubali. Kusema tu Yesu ni mungu na mnamuabudu huu ni USHIRIKINA sababu mnamuabudu mja na si Mungu.
Sasa kama ni kitabu special kwanini kina uchafu mwingi na uongo mwingi ? Kwanini kuna vitabu 66 nyingine zina vitabu 73 ?
Mimi nakupa kazi uthibitishe ya kuwa Qur'aan inatumika kuua watu na kuwapa majini watu ? Shida yenu Wakristo hamsomi mkisikia mambo mitaani mnayachukua pasi na kufanya utafiti, sasa sisi wenzenu hatuko hivyo,sisi tunasoma tunafanya utafiti.
Kwani hii Biblia imeandikwa na nani kwa mara ya kwanza ? Wanafunzi wa Yesu au ?
Utukufu wa Biblia uko wapi ? Hali ya kuwa hakuna Taurati halisi bali kuna kumbukumbu la Taurati ? Hakuna Injili ya Yesu bali kuna Injili ya Marko hakumuona Yesu, Injili ya Yohana kadhalika hakumuona Yesu, Injili ya Marko kadhalika hakumuona Yesu na Injili ya Matayo naye vivyo vivyo utukufu wa Biblia unatoka wapi ?
Acha uwongo mmehifadhi wachache wenu kwa kukariri Sisi hatuna haja ya kukariri,sisi tunaelewa maandiko sio kukariri ndio maana mnakuwa watumwa wa kifikra kukariri pasipo kuelewa ujinga mtupu tuNasubiri utoe maelezo juu ya Biblia yenu, nimeweka tu maandiko machache mnayakimbia hamyatolei ufafanuzi.
Nimekuja kuona nyinyi nyote hiyo Biblia yenu hamuisomi, ndiyo maana mnakimbia kutolea ufafanuzi maandiko yenu.
Ni mjinga pekee anaye ilinganisha Qur'aan na vitabu vingine hakuna kitabu kitabu kuzidi Qur'aan, kitabu ambacho hata asiyejua Kiarabu anakihifadhi moyoni chota kuanzia watoto mpaka wazee, vipofu wamekihifadhi, leo hii hata vitabu vyote vya Qur'aan vichomwe bado inabaki, ila ajabu unayesema Biblia ni tamu hakuna hata mtu mmoja duniani amekihifadhi chote kichwani na moyon.
Hayo mengine si maneno ya kielimu ni upotoshaji na unafurahisha nafsi yako.
Sasa hivi nakuwa nawawekea maandiko yenu tu mpambane nayo, naona ni weupe sana.
Huwa hawataki kujibu hili swali,,jamaa alikufa kwa kipindupindu na sumu juu.kisai hebu twambie mtume muhammad alikufaje vipi? Natural death? Alipewa sumu?
Muhammad aliwekewa sumu na aliwekewea sumu baada ya kuwa na tabia zake mbovu mbovu za kutaka kila mwanamke anayemtamani ili akihojiwa ashushe aya ingine kuwa karuhusiwa,jamaa alikuwa anawaingiza chaka sanaMtume alikufa, aliumwa akafa.
Natural Death ndiyo nini ?
Hakupewa sumu, bali alikuwa nyama ambayo ilikuwa na sumu. Hoja yako iko wapi ?
Navyojua mimi kifo ni muda tu, na hizi nyingine huwa sababu.
Sasa hoja yako ni ipi ? Kwamba mitume hawadhuriwi au ? Manabii wangapi wame uliwa na Wayahudi ? Sababu za Mayahudi kulaaniwa miongoni mwa sababu nyingi walikuwa wakiwaua manabii wa Allah.
Yesu ambaye nyinyi mnamuita Mungu, huwa napata ukakasi sana nikitumia hili tamko, sababu mnamdhalilisha nabii na mja wa Allah na kumdhihaki Allah, alipitia shuruba kiasi gani ?
Sasa nasubiri kuona hoja yako ilipo.
Tuache watu wapendane wazaliane waijaze dunia tufe waje wengine...!Hapa ndipo vijana wengi tunapokwama.
Unajua fika wewe ni dini tofauti na mpenzi wako. Unajua fika ukifosi kuna sehem pande zote mbili kwa wazazi na ndugu mtatengwa. Tena hata mkifosi mkaoana kuna uwezekano watoto wakakosa direction na kujua wafate mafundisho ya dini gani maana wazazi mpo dini tofauti. Mmoja anasali msikitini mwingine kanisani. Wapo mtakaosema ikitokea tumezaa mtoto akikua ataamua afate dini ipi! Jamani mafunzo mazuri ya dini siku zote huanzia utotoni, hapo ndipo mtoto anapopata good narration to see the right and wrong.
Hali hii itazidi kuwatafuna kadri vizazi vyenu vitakavyoendelea na hakutakua na amani ndani. Trust me hakutakua na amani. Najua wapo watakaonipinga na kusema mapenzi hayaangalii dini. Ni kweli mapenzi hayaangalii dini, lakini kuishi na mtu kama mke na mume dini lazima ipewe kipaumbele chake. Tena ni kigezo muhimu sana hiko wala tusidanganyane.
Tusitake kuishi kizungu wakati bado tamaduni zetu hazijafika huko. Na sidhani kama tutafika huko maana kila dini ina mafundisho yake na tunarithishana vizazi na vizazi. Kuepuka usumbufu wowote ule na mpasuko ktk familia ni bora uwe na mahusiano na mtu wa dini yako. Itakuweka huru sana.
Ifike hatua tusiishi kwa kuendeshwa na hisia bali akili. I REST MY CASE.
Vibonge ni wavivu hadi kuchat 😀Ni mvivu kuandika mkuu na kujibu comment
Hapa huna hoja unalalamika sasa. Onyesha wapi tumeulizwa kwenyw Qur'aan tunaruka ruka ?Huna unalojua ushawekewa na huelewi sasa hapo tuseme unajua nini zaidi ya umajinuni tu.
Kwenye qurani yenu mshapigwa maswali kibao na bado mnarukaruka mpaka kesho hamna majibu.
Kila mnapouliza maswali yenu mnapata majibu na mnakuwa hamuelewi tatizo ni wewe na wenzako hamuelewi vichwa vigumu poleni.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Thibitisha haya mawili, kwanza kwamba alikuwa anamtaka kila mwanamke, pili hiyi ndiyo ilikuwa sababu ya kuwekewa sumu.Muhammad aliwekewa sumu na aliwekewea sumu baada ya kuwa na tabia zake mbovu mbovu za kutaka kila mwanamke anayemtamani ili akihojiwa ashushe aya ingine kuwa karuhusiwa,jamaa alikuwa anawaingiza chaka sana
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Umejuaje😬😁😁Vibonge ni wavivu hadi kuchat 😀
Kukariri jambo moja kuelewa lingine, vyote viwli vimefanyika.Acha uwongo mmehifadhi wachache wenu kwa kukariri Sisi hatuna haja ya kukariri,sisi tunaelewa maandiko sio kukariri ndio maana mnakuwa watumwa wa kifikra kukariri pasipo kuelewa ujinga mtupu tu
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hili la vitabu vingapi. Inabidi ulielezee wewe, kwangu jipya hili. Huo ujinga kwetu haupo, Qur'aan ni kitabu kimoja pweke.Sheikh mbona huulizi Qurani ina vitabu vingapi na kwanini baadhi ya aya ziliondolewa ebu tupe hapo elimu na Sisi tuelimike.
Sasa huyu Salman Rushd huyu alipotosha juu ya aya za shetani maana alisema kuna aya za shetani jambo ambalo si kweli. Laiti mngekuwa mnasoma hii Qur'aan hata nyinyi mngemshangaa Mtu huyo.Vipi kuhusu Salman Rashad aliyetoa siri za uozo wa qurani kwenye kitabu chake cha satanic verses.
Haya ndiyo matatizo ya kutokusoma. Nani amekwambia Qur'aan ina aya 114 ? Qur'aan ina sura 114 siyo aya 114. Rekebisha hapo.Quran si mnasema ina aya 114 mbona ziko nyingi tu zingine za hovyo na zikafichwa kwa sababu ni za hovyo zaidi ya uhovyo ulizonazo hizi mnazosomeshwa sasa.
Sasa ilikuwaje vikawa 73 kwa muda wote huo na mkaja kuvipunguza mpaka kufikia 66 ? Hicho kitabu cha kina ujumbe gani mpaka mkakitoa ? Kilitolewa na nani ?Biblia ina vitabu 73,kuna vingine sio vitabu vya biblia na havikubaliki kama sehemu ya biblia kama vile kitabu cha enoch kwa sababu kipo kama sehemu ya wasumeria na hadithi zao na hakina uvuvio wa roho Mtakatifu.
Biblia haijaandikwa na mtu mmoja au sio taasisi moja ndio imekaa na kutunga ila na mkusanyiko wa matukio ya tangu kuumbwa kwa ulimwengu mpaka wakati wa Yesu na baada ya Yesu(Ufunuo)
Safi gani andiko gali lilipotea ?Qurani haijaandikwa na muhamad yeye alikuwa anaweka watu waandike yale anayoyasema na kuna historia zipo maandiko mengine yalipotea na kwa sehemu kubwa mengi alikuwa anayasema watu wake aidha wanaandika na wengine kukariri sasa hapo mnasemaje kitabu chenu kimekamilika.
Hapa unatakiwa uweke ushahidi, hakuna muandishi ambaye hakuwa muislamu. Kwanza aisyekuwa muislamu angeanzaje kuandika ?Na baadhi ya waandishi wake wala hawakuwa waislamu walifanya tu kazi ya kuandika.Lakini mara zote
Sasa kama siyaelewi si mnanielewesha ? Wenyewe maandiko yenu mnayakimbia hamyatetei zaidi ya kutoa maelezo ya jumla na yasiyo jibu hoja zangu. Nilichokiona ni kuwa nyinyi Biblia yenu hamuisomi.Maandiko ya biblia wewe huyaelewi au unajitoa ufahamu kwa sababu unajua utashindwa hoja na ukishindwa hoja utaona aibu kusalia kwenye uislamu.
Tutapambana hukohuko katika ulimwengu wa kirohoNi washirikina balaa
Huwa hawapendagi shida kabisa !Umejuaje😬😁😁
Kumbe kwa kinyakyusa Yesu anaitwa kyala? Wewe ni mnyakyusa wa wapi?Ulivopakazania hapo pakusema Allah sio Mungu sasa,
Mi mnyakyusa yesu namwita Kyala.......!!! napo utakataa utasema huyo Yesu na kyala ni watu wawili tofauti.
Yani wakristo na waislamu imefika point nawaonaga wapuuzi tu,.....wana haribu image ya Mungu, wameharibu na kuvuruga ovyo maandiko ya Mungu kwenye vitabu vyake, mfano wew mleta mada hapa......umejawa chuki uliolishwa na wachungaji zako....
Atakuja muislamu nae atashusha chuki juu ya ukristo aliolishwa na mashekhe wake na maustadh.
Kwa kifupi kuna wakati nawaona nyie wote mafala tu.
Mmejitoa kabisa katika ibada na misingi sahihi ya Mungu.
Utafiti uliofanyika mwaka 2013 unaonesha utofauti wa dini na mafundisho yake unachangia 30% ya chuki baina ya binadamu na binadamu duniani.
Ndo zinafata tofauti kama "Rangi za ngozi, Mali, Ukabila, etc
Mungu tangu zamani aliwakataza watu wanaomwamini kuwaoa watu wasiomwamini YEYE. Mfano Samson alizuiwa kuwaoa wafilisti na jamii za wamoabu na waamori. Nafikiri matokeo ya ukaidi wa Samsoni yalikuwa wazi. Hata katika agano jipya Kuna watu waliitwa wasamalia Hawa walitengwa sababu walikuwa machotara toka makabila ya kipagani.Tulikuja kugawanyika baada ya Yesu.
Soma biblia vzr kwann Mungu alikuwa anawakataza wana waisrel kuoa,kuolewa kila mahali?
Ngoja nitafute zile verse
Kweli?YUPO KWENYE BIBLIA. ANAITWA BARNABA
Asante[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zero brain elimu huna