Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Safi kabisa, swali langu rahisi sana tunajua wote Luka hakumuona Yesu. Katika andiko hapo juu halijawaainisha hao walio shuhudia na kuwahadithia kwa maana ya kuwa walihadithiwa na nani na kina nani waliwashuhudia. Sababu andilo la Luka la kwanza linaonyesha kabla yake wapo walio andika maandiko kinyume na wale walio wa shuhudia. Je walio shuhudia ni kina nani ? Wanafunzi wa Yesu au kina nani ?

Pili, hujajibu hoja yangu ya kunyesha ya kuwa matini inatakiwa isomeke hivi "Nimemsikia Yesu akisema kadha wa kadha" au "Nimemuona Yesu akisema kadha wa kadha" au "Ametuhadithia mwanafunzi wa Yesu kadha wa kadha"

Mungu inakuwaje afe na alifufuka au alifufuliwa na kama alifufuliwa nani alimfufua ?

Wapi Yesu anasema ya kuwa naondoka nawaachia Roho mtakatifu kwa ajili ya kuwafunulia mambo ?

Tutajuaje kama hayo ni maono na si maoni ya waja ?

Unakubali kwamba Yesu ameondoka hakuacha kitu kinachoitwa BIBLIA ?

Nisaidie maswali yafuatayo :

1. Nipe ushahidi ya kuwa Marko alifunuliwa hayo aliyo yaandika.

2. Nipe ushahidi wa kuwa ni kweli Marko ni yeye aliandika hayo aliyo yaandika.


3. Sitaki kujua aliandika lini, ila nataka ushahidi unao onyesha ya kuwa ni kweli aliandika.
Abdool son of Mutah,
1. Nipe ushahidi ya kuwa Muhamma alifunuliwa hayo aliyoyaandika kuhusu Musa au yakub

2.nipe ushahidi Alie andika Koran no hafs waislamu maika 200 baada ya mtume Alie kufa kwa sumu?

3. Sitaki kujua mambo ya hafs ila kwa nini ilitoka kwake miaka 200 baada ya Muhammad?













?
 
Nacheka sana, nilikwambia tangu mwanzo mimi naandika elimu wewe unaandika umbeya na upotoshaji. Tulia nikutie adabu, ninapoamua kukukalia kimya sababu nakumudu na najua wewe ni mwepesi sana, sababu hufanyi utafiti. Huwa nasema hivi nikiamua kuwa naweka maandiko yenu humu si mtapoteana ?

Chain ya Muhammad na Issa ni ufunuo toka kwa Allah. Yaani ni chain iliyo tukuta, chain ambayo iko hivi "Kutoka kwa Allah kwenda kwa Jibril kwenda kwa Mtume". Allah ndiye aliyemuumba Issa kisha akamtuma kwa wana wa Israeli.
Alie andika Koran kaleta habari za miaka zaidi ya elfu , ametoa wapi?
 
Nacheka sana, nilikwambia tangu mwanzo mimi naandika elimu wewe unaandika umbeya na upotoshaji. Tulia nikutie adabu, ninapoamua kukukalia kimya sababu nakumudu na najua wewe ni mwepesi sana, sababu hufanyi utafiti. Huwa nasema hivi nikiamua kuwa naweka maandiko yenu humu si mtapoteana ?

Chain ya Muhammad na Issa ni ufunuo toka kwa Allah. Yaani ni chain iliyo tukuta, chain ambayo iko hivi "Kutoka kwa Allah kwenda kwa Jibril kwenda kwa Mtume". Allah ndiye aliyemuumba Issa kisha akamtuma kwa wana wa Israeli.
Abdool son of MUTAH nimekwambia acha unafiki , chain ya Isa unakubali , ila chain ya Yesu hutaki kukubali, acha upumbavu kwanza NDio tu debate

Chain ya Isa - Allah-jibril-muhammad unakubali
Chain ya Yesu - Jehovah- Gabriel - watu - unakataa

Acha ushenge kwanza
 
Abdool son of MUTAH nimekwambia acha unafiki , chain ya Isa unakubali , ila chain ya Yesu hutaki kukubali, acha upumbavu kwanza NDio tu debate

Chain ya Isa - Allah-jibril-muhammad unakubali
Chain ya Yesu - Jehovah- Gabriel - watu - unakataa

Acha ushenge kwanza
Nimecheka sana. Ngoja nikufundishe kijana. Sababu wewe siyo msomaji.

Kwanza mimi naamini Injili ya Yesu, ambayo chain yake ni "Allah kwenda kwa Jibril kwenda kwa Yesu kwenda kwa Wanafunzi wa Yesu" kizaa zaa kinaanzia hapa tokea kwa wanafunzi wa Yesu, kama unao ushahidi unao onyesha ya kuwa Wanafunzi wa Yesu walikuwa wanaandika mafundisho ya Yesu tuwekee hapa.

Sasa mimi nakupa kazi kijana, tuwekee chain za kina Marko, Luka, Yohana na Matayo zifike mpaka kwa Yesu ukiweza mimi nakuwa Mkristo.

Nikipata muda kuna siku nitaanzisha mada niwaonyeshe maajabu yaliyomo katika elimu ya Hadithi, ili mkizisikia Hadithi mkae mbali na mjue zimehifadhiwa kwa namna gani na kwa umakini wa hali ya juu kwa namna gani.
 
Usije ukajichanganya, yaani wewe ni mgalatia ukataka kuoa binti ambaye wazazi wake ni wafuasi wa bwana mudi utakuja kukwaaaama...!!!?..Mimi Sina hamu kabisa,yaani ni rahisi kwa waislamu kuoa binti wa kikristo,lakini si mkristo aoe binti wa kiislamu..yaani jamaa hawapendi kabisa fair play,yaani kukubali matokeo,hawapendi kabisa nakwambia..tena ukiforce yan mtoto awe amekuzimia sanaaa hapo jamaa watakutupia hata kajini maimuna katakuzingua kichizi..mi nna xpiriensi nao hao jamaa ni wabinafsi kama mtume wao mudinho...yan usijaribu bora uoe mgalatia mwenzako
 
Safi kabisa, swali langu rahisi sana tunajua wote Luka hakumuona Yesu. Katika andiko hapo juu halijawaainisha hao walio shuhudia na kuwahadithia kwa maana ya kuwa walihadithiwa na nani na kina nani waliwashuhudia. Sababu andilo la Luka la kwanza linaonyesha kabla yake wapo walio andika maandiko kinyume na wale walio wa shuhudia. Je walio shuhudia ni kina nani ? Wanafunzi wa Yesu au kina nani ?

Pili, hujajibu hoja yangu ya kunyesha ya kuwa matini inatakiwa isomeke hivi "Nimemsikia Yesu akisema kadha wa kadha" au "Nimemuona Yesu akisema kadha wa kadha" au "Ametuhadithia mwanafunzi wa Yesu kadha wa kadha"

Mungu inakuwaje afe na alifufuka au alifufuliwa na kama alifufuliwa nani alimfufua ?

Wapi Yesu anasema ya kuwa naondoka nawaachia Roho mtakatifu kwa ajili ya kuwafunulia mambo ?

Tutajuaje kama hayo ni maono na si maoni ya waja ?

Unakubali kwamba Yesu ameondoka hakuacha kitu kinachoitwa BIBLIA ?

Nisaidie maswali yafuatayo :

1. Nipe ushahidi ya kuwa Marko alifunuliwa hayo aliyo yaandika.

2. Nipe ushahidi wa kuwa ni kweli Marko ni yeye aliandika hayo aliyo yaandika.


3. Sitaki kujua aliandika lini, ila nataka ushahidi unao onyesha ya kuwa ni kweli aliandika.

Mkuu i can't fill your cup its already full yani kama umesoma hapo na hujaelewa kwaheri napoteza nguvu zangu bure[emoji23][emoji119]
 
Nakukumbuka kipindi nipo chuo mwaka wa pili kuna kidem cha form six kilinielewa nilikutana nacho kwnye harusi ya braza.
Braza yy ni muslim Kutakona Mzazi mmoja muislim mwngine mkristo so braza kafata upande mmoja ambao ni Muslim na mm upande mwingine , sasa akajua na mm ni muislim kwa sababu hata jina langu ni la kislam .

Sasa kipindi cha likizo akanipanga twende tukatembee koko beach asubuhi asubuhi tukaanza safarii tumefika kwny mapango chezea sana mtoto twende lodge ile sehem sio Salama lakn kabla hatujaenda lodge tupitie kwny mihogo ndo tule twende tumeshiba.
Tumefika kweny mihogo tumeagiza kabla hatujala si nikapiga ishara ya msalaba Mtt alivyooniona hvyoo alinibadilikia na nyegee alizokuwa nazo zote zikaisha shughuli ikaishia pale pale bembeleza sana wapi basi kila mtu akachukua njia yake tunda sikula
 
Nakukumbuka kipindi nipo chuo mwaka wa pili kuna kidem cha form six kilinielewa nilikutana nacho kwnye harusi ya braza.
Braza yy ni muslim Kutakona Mzazi mmoja muislim mwngine mkristo so braza kafata upande mmoja ambao ni Muslim na mm upande mwingine , sasa akajua na mm ni muislim kwa sababu hata jina langu ni la kislam .

Sasa kipindi cha likizo akanipanga twende tukatembee koko beach asubuhi asubuhi tukaanza safarii tumefika kwny mapango chezea sana mtoto twende lodge ile sehem sio Salama lakn kabla hatujaenda lodge tupitie kwny mihogo ndo tule twende tumeshiba.
Tumefika kweny mihogo tumeagiza kabla hatujala si nikapiga ishara ya msalaba Mtt alivyooniona hvyoo alinibadilikia na nyegee alizokuwa nazo zote zikaisha shughuli ikaishia pale pale bembeleza sana wapi basi kila mtu akachukua njia yake tunda sikula
We nae umezidi mikwara, bora alivyokunyima tu.
 
Unawezaje kumuamini Mungu bila yeye kukupa muongozo ? Alikuwa anamuamini vipi Mungu ?

Siyo tu Ibrahimu bali mpaka nabii Nuhu ambaye alikuwa kabla yake alikuwa Muislamu. Anasema Allah mtukufu :

71. Wasomee khabari za Nuhu alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu!Ikiwa kukaa kwangu nanyi na kukumbusha kwangu kwa Ishara za Mwenyezi Mungu kunakutieni mashaka basi mimi namtegemea Mwenyezi Mungu. Nanyi tengezeni mambo yenu pamoja na washirika wenu, na wala mambo yenu yasifichikane kwenu.Kisha nihukumuni, wala msinipe muhula.

72. Lakini mkigeuka, basi mimi sikukuombeni ujira. Ujira wangu hauko ila kwa Mwenyezi Mungu. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waislamu. (Yunus : 71-72)

Akasema tena kuhusu Ibrahiim ;

130. Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na kwa yakini Sisi tulimteuwa yeye katika dunia; na hakika yeye katika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.

131. Na Mola wake Mlezi alipo mwambia: Silimu, Nyenyekea! Alinena: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote.

132. Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu. (al-Baqarah : 130-132)

Kwa ufupi hakuna nabii wala mtume ambaye hakuwa Muislamu.

Uislamu aliokuja nao mtume Muhammad umetofautiana na walio mtangulia katika sheria ila imani na itikadi zao ni sawa.
Sasa wewe unamuamini Allah!.???..Allah mwenyewe ni muongo muongo tu,Allah si ndiye aliyesema ameumba aeroplane kwenye quran!!!..je ni kweli Allah aliumba aeroplane!?..lini!?.wakati tunajua aeroplane zinaumbwa Japan,China na America!
Ukiamini hii midini yenu hii mnakuwa wajinga wa kutupwa
 
Tukio kama hili lilishamtokea Kaka yangu. Yeye alipendana sana na Binti ambaye ni Muislam, tena Baba yake ni Shehe kabisa. Bro aivyoenda kujitambulisha aliambiwa labda abadili Dini ndio itawezekana. Vinginevyo hawezi kupata mke pale.

Kwa kuwa walikuwa wanapendana basi Binti akashika ujauzito wa Bro. Wazazi wa Binti walivyogundua tu, walimfukuza kwao na wakawa wamempiga marufuku asirudi tena kwao na hata ndugu zake wengi nao ni kama vile nao walimtenga.

Bro aliamua kuishi tu na yule Mke wake bila kupata baraka za wazazi wa Binti. Walikuwa wakiishi vizuri tu na walibahatika kupata watoto wawili hadi mwaka jana Mke wa Bro alipopata ajali ya Gali kisha kufariki.

Wazazi wa Binti bado waligoma kuupokea mwili wa Binti yao hata alipofariki hata kwenye mazishi hawakuja. Bint alizikwa Kiislam kwa msaada wa majirani na waislam wenzake na sisi ndugu wa mwanaume.

(Rest In Peace Shem wangu, ulikuwa na upendo wa kweli, mcheshi na uliwahi kunijuza kuwa hukupenda kuwa kwenye ndoa za wake wengi kama ilivyokuwa kwa Baba yako, kuna vitu uliviona na ukavichukia).

Tukio hili la Bro lilinifanya nijifunze kitu, kila ninapopata Dem wa dini Tofauti na yangu najikuta nalikumbuka hili tukio.
Hiyo ni roho mbaya wallah,looh mtoto wao wa kumzaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ostazat alikwambia kuzaa nje ya ndoa mtume hataki

Vp kuhus kudinyana mtume anaruhusu

Nisawa kukubali ukimw na kukataa mimbaaa
 
Mkuu i can't fill your cup its already full yani kama umesoma hapo na hujaelewa kwaheri napoteza nguvu zangu bure[emoji23][emoji119]
Shida siyo kwamba ni kusoma shida maelezo yenu hayajibu maswali yangu.

Shukrani.
 
Sasa wewe unamuamini Allah!.???..Allah mwenyewe ni muongo muongo tu,Allah si ndiye aliyesema ameumba aeroplane kwenye quran!!!..je ni kweli Allah aliumba aeroplane!?..lini!?.wakati tunajua aeroplane zinaumbwa Japan,China na America!
Ukiamini hii midini yenu hii mnakuwa wajinga wa kutupwa
Naomba unionyeshe kwenye Qur'aan amesema hivyo wapi ? Ukinionyesha nakuwa Mkristo.

Shida yenu mnakuwa wajinga mpaka ujinga unawashangaa, hamsomi mnapenda kusikia na kusambaza maneno.
 
Hiyo ni roho mbaya wallah,looh mtoto wao wa kumzaa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Na kuapa una apa tena bibie ?

Kama mtoto mjinga mjinga unamfanyaje ? Kwani alilazimishwa kufanya hayo aliyo yafanya ? Wazazi wako sahihi na Mola awalipe kheri kwa msimamo wao.

Watoto wa kike wana upendo wa kijinga wa Tamthiliya, hapo huenda wazazi walimpa sana nasaha lakini kwa kupenda kwa watoto wa kike akakaidi na huenda aliwajibu mbovu sana wazazi wake.

Wengi wanahisi hakuna maisha baada ya kupenda na kuzaa, bali kuna maisha baada ya kifo na mengineyo unaandaa nini huko unakoenda.

Allah awaepushe mtihani huu mabinti zangu na awahifadhi pia.
 
Back
Top Bottom