Nilitaka kupigwa Kalynda ila nikastukia

Tanzania utamkuta baba anabet, mama anacheza Chota mihela, watoto wanabet, hivi kwa dizaini kama hii taifa litaendeleaje?
 
Kama ingewezekana KUAPROXIMATE kiasi gani umenusurika ningeweka hapa, sema napata shida sana KUAPROXIMATE maumivu aliyopata aunt, ila nachojua maumivu yanauma sana kuliko utamu.
 
Kama ingewezekana KUAPROXIMATE kiasi gani umenusurika ningeweka hapa, sema napata shida sana KUAPROXIMATE maumivu aliyopata aunt, ila nachojua maumivu yanauma sana kuliko utamu.
Aunt alipelekwa hospital kazirai
 
Kila nikimkumbuka yule dada nabaki kumcheka alivyokuwa ananishauri ili apate commission
Kuna wengine ukimuuunga mtu unahama level sijui level one sijui level two...na aliyekuwa ana nishawishi ni daktari kabisa kwamba hiyo kampuni inasambaza vifaa Tiba Tanzania.... Nkamwambia tu sawa kaka ukifanikiwa kutoa utaniambia ..siku anatoa wakamwambia asubiri masaa72 ...ndio ntoleee... Alifika milioni 8 .... aliashapigwa Mama na Mama mkwe kwenye kupanda mbegu DECI na walikuwa wastaaafu niliwaonea huruma sana.
 
Hiyonya kupanda mbegu deci walipigwa wengi sijui hii wamepigwa wangapi
 
Aisee wengine tuko nyuma hii Kalynda nimeiona tangu juzi mitandaoni kabla ya hapo sijawahi kuisikia wala kuona hata tangazo lake

Kwangu naona ni kitu kigeni kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…