Nilitaka kupigwa Kalynda ila nikastukia

Hao wakwenye level za juu wamepigwa sana ni kama aunt alikuwa level ya juu sana
 
Haha nimeponyoka aisee, kuna mtumishi mwenzangu alikuwa kila siku ofisini ni lazima anishawishi kujiunga na Klynda mara anioneshe akaunti yake ilivyokuwa ikiongezeka kwa kasi. Moyo wangu ulikuwa mzito sana kujiunga kumbe mambo yameshakuwa sio mambo tena..
 
Siku zote hiamini roho yako
 

ajabu ni kwamba kesho itakuja kampuni nyingine,kwa uwekezaji aina hii hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kisha wazee wa ku grab the chance before it is too late,wataingia tena na watatawadhwa tenaaaaa[emoji1787][emoji1787]

wengine enzi za escorow hatukuwa kwenge mifumo ya a maisha ya hela,ila Qnet,fliving,D9,mr kuku ni tayari tuliishakuwa wajuaji,hawa wa mwaka huu kupigwa naona ni watoto wa 2008 kuja juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Your browser is not able to display this video.
Au ndo hii mana kuna rafki angu haipiti wk ananitumia ma link tu…
 
Aisee wengine tuko nyuma hii Kalynda nimeiona tangu juzi mitandaoni kabla ya hapo sijawahi kuisikia wala kuona hata tangazo lake

Kwangu naona ni kitu kigeni kabisa
Mm nimepewa had uadimin ili niweze kujiunga ila niligoma mm sipendi ubahatishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…