Nilitangaza ndoa ila mwisho wa siku akazalishwa na mume wa mtu. Anaomba turudiane wakati nina mke sasa

Nilitangaza ndoa ila mwisho wa siku akazalishwa na mume wa mtu. Anaomba turudiane wakati nina mke sasa

Karma is bitch.

Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.

Mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa, kimbembe kikaanza hapo sasa. Vituko kibao sijui tuwachane, kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.

Nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

Niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba, anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

Kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

Prof. Jay-Nikusaidiaje
Yaani wanaume tukipenda aisee huwa tupo tayar kutoa kila kitu , alaf umpende binti na yeye akupende , hata Mungu huwez msikiliza 😁😁😁😁 Mzee Adam alidhibitsha hili Kwa Eva , akatuuza mazima.... sema hii kutokea ni 20% , wengi tunaoana tuu sababu umri umeenda na unahtaji familia sasa , unaangalia tuu anayeeleweka eleweka ndaniii..
 
Kufurahia masaibu ya mtu ili aone umuhimu wako ni tabia za ajabu, mzee. Mwanaume unasonga na yako, mengine waachie wao na ulimwengu. You need to heal, brother.

Pia hiyo avi uliyoweka inasema mengi sana kukuhusu.
 
Karma is bitch.

Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.

Mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa, kimbembe kikaanza hapo sasa. Vituko kibao sijui tuwachane, kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.

Nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

Niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba, anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

Kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

Prof. Jay-Nikusaidiaje
Sikutegemea wewe Kaka yake shetani uje kulialia vitu vidogo kama hivyo hapo mdogo wako Shetani angemkubalia alafu amfumue marinda basi
 
mkuu huyo alikuwa anakuchiti siku nyingi (kipindi cha uchumba)
na atakuwa alishtuka ulivyo tangaza ndoa....kwani alikuwa na mtu wake na hakuwa tyari kumuacha...
 
Hao wanawake ambao kila siku wakiachwa wanachoka alf wanarudi tena kubembeleza kurudiana mnawapatia wapi jamani
Mnatudharau sana wanawake
 
Anakimbia mume wa mtu kisha anataka mume wa mtu tena
 
Halafu stori za hivi karibia zote mwanamke ndiye huwa amechakaa, maisha yamempiga akibembeleza kurudiwa.

Sijawahi soma hata moja ambapo mwanaume ndiye kachoka na binti kanawiri maisha yamemnyokea....

Kuna mushkeli mahali na hizi TATEPA [emoji16][emoji16]
Sio kwamba wanaume uwa hatuchakai, ila ni vigumu sana mwanaume aliyechakaa kumtafuta demu kuanza kuomba msamaha. Inatokea mara chache sana.
 
Halafu stori za hivi karibia zote mwanamke ndiye huwa amechakaa, maisha yamempiga akibembeleza kurudiwa.

Sijawahi soma hata moja ambapo mwanaume ndiye kachoka na binti kanawiri maisha yamemnyokea....

Kuna mushkeli mahali na hizi TATEPA [emoji16][emoji16]
Ofisa mwanaume Hana Expiry date kamata hii,
 
Afu kwanini wanawake wenzenu wakiharibu mnawatetea? Acha wachakae
Huyo kaka yake shetani bado anampenda sana huyo binti basi tu roho inamuuma kuzalishwa na mume wa mtu,,
 
Back
Top Bottom