Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Bahati yako suti iliwaangusha maana ungekuwa na makasiriko hadi uzeeniMimi waliniita lakini Mungu alikuwa upande wangu π π π niliwasikiliza halafu nikawaambia sitaki π π .
Nimefika pale wakamwita dada mmoja anajifanya alikuwa mwanachuo na sasa anamiliki gari kali baada ya kuuza madawa yao ππ π .
Nikamchunguza nikaona kama ni kikoti cha mtumba kavaa halafu kimenyooshwa sana π π π sikuishia hapo nikashuka kwenye kiskuna weee cha kuokoteza Mwenge. Nikawaambia asante. Nikaishia π
Alafu kati yao 20% wakiwahiwa wanapona.πKuna 10% nyingine hapo wana depression, either iliyosababishwa na mapenzi,umasikini ama magonjwa
Kuna 40% zinatakiwa kwenda kwa members ambao madishi yalishayumba kwasababu mbali mbali
Aise mambo ni mengi
π€£Kutapeliwa kupo kama hujawahi ipo siku tu na wewe utadandia mtumbwi wa vibwengo
Na ulikuwa ushamwambia kuwa una hela?Kaka ni ugeni tu jijini ilinipa funzo pia
ππNyingine nikuongezee wapi π π π π nahisi hujazijua
Suti ya kuunganisha π ni nyeusi lakini kuna mpauko na iliyokolea sanaπ π π Koti la Karume Skirt ya Mwenge ππππ Viatu vimepigwa kiwi πBahati yako suti iliwaangusha maana ungekuwa na makasiriko hadi uzeeni
Alafu kati yao 20% wakiwahiwa wanapona.π
Alikuwa anafahamu asee maana alisema yupo tayari kuniongezea kwa package nyingine nikimaliza hii ya kwanzaNa ulikuwa ushamwambia kuwa una hela?
Narudi πππ
We niongezee tu
Kuna hawa pia, ni kampuni ya mkopo, aliyewahi kupewa pesa aje kutuelezaKuna classmate wangu aliingia akaanza na kutamba mwisho wa mwaka ananunua gari, kilichomtokea hasahau maishani mwake.
Kuna wa hawa wanaojiita LBL nae naona kasi yake si nzuri.
π una bahati sanaSuti ya kuunganisha π ni nyeusi lakini kuna mpauko na iliyokolea sanaπ π π Koti la Karume Skirt ya Mwenge ππππ Viatu vimepigwa kiwi π
Wanakuja mkuuKuna hawa pia, ni kampuni ya mkopo, aliyewahi kupewa pesa aje kutueleza
View attachment 3213912
Hao labda kifo kisaidie πHiyo 20% ilobaki ndo basi tena? Tuishi nao tu π€£π€£
Aliyekuwa ananielezea sasa π π π ππ una bahati sana
π€£π€£ππkaka alitaka kukugeuza fursa chap na ungenasa kiurahisi kwa maana mapenzi ni upofuAisee umenikumbusha kipindi kuna manzi nilikiwa namlia timing namuona kabisa huyu anaigia kwenye mtego mwisho wa siku ananiambia tukutane sijui kwenye mkutano halafu mwisho wa siku tukaingia ukumbini naambiwa Good morning mchana wa jua kali nikaona huu msalaπΌ
Mimi natamani niandike kisa changu ila kuna mtoto wa mtu kashanivuruga na sms yake ya "nna shida" πAliyekuwa ananielezea sasa π π π π
Itabidi kiingilie katiaise ! ππ