Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

😂😂😄😂Akiwa na kikoti cha suti utasema utajiri huu hapa, gusa unase sasa
 
Nakumbuka aliponipigia simu akanambia ananionea sana huruma kwa jinsi navoteseka na mapambano yangu ya ukwaju ili hali kuna fursa ambazo naweza fanikiwa kwa kutumia nguvu kidogo tu.
“Ukiona unaitwa Kwenye Fursa basi jua wewe ndio Fursa yenyewe”
 
Umeonge

Umeongea kwa hisia sana mkuu na sikupingi katika hili Dar wajanja wajanja ni wengi sana si kwa vijana hadi wazee...


Kiufupi watu waaminifu wapo mikoani, Dar uaminifu ni nadra sana wengi wana tamaa hasa wazawa wa pale
Yani mpaka Leo najiuliza shida ni Nini watu wa huko? Kwanza Imani yao ni ndogo muda wote wanahisi wanatapeliwa..
 
Yani mpaka Leo najiuliza shida ni Nini watu wa huko? Kwanza Imani yao ni ndogo muda wote wanahisi wanatapeliwa..
Ni nature ya jiji lilivo uwongo uwongo mwingi ndio maana hata mpenzi wako akihamia dar ni vema umsahau tu
 
Kwakweli nimekutana na hizi mbanga za uuzaji wa products hizo lkn sijawahi jiunga nawaambia ntarud nikitoka block na kufuta namba kabisa

Hela yangu kidg walio faidi ni mtu atakwambia naa shida nikopeshe ukimpa kamtimkia mitini

Saa hz nimekula buyu sitoi hata hamsini kauli ni moja sina Niko vibaya kiuchumi
 
Ubaya Ubwela Hiyo
 
Kuna m
Ubaya Ubwela Hiyo
wingine toka 2020 ananisumbua akila block anakuja na new number juz kanichek Tena nikamwambia ok....

Tukutane next week hapo mikocheni Mayfair akileta kiswahili cha hela namwambia tumia yako.,...... Unisimamie niwe chini yako nikitoka hapo kuniona labda paradiso.....

Hajui mm mtoto wa mjini eeh
 
Wewe ni kauzu kweli kweli
 
Jamani hv hawa wanaojiita Global Alliance wanatoa mafunzo ya Afya,uchumi na ujasiriamali nao vip wapo salama? unakuta watoto wanatoka mikoa mbalimbali kuja kupata mafunzo hayo ya kimtandao kiingilia sh35,000 ada 600,000 ukishalipia ada tu unaambiwa wewe ndo msimamizi mkuu kuanzia leo hvo unatakiwa umtafute mwingine, ukimpata akilipia utapata mgao wako hapo..hawajamaa wanakodi sehem ya ukumbi wanageuza ndo chuo unakuta wanafunzi wapo kama wanachuo vile.Mliopata ujuzi wa hv vyuo vya uchochoroni mtujuze kabla wazazi hatujamalima mifugo yetu.
 
Ni utapeli kn
Ni utapeli kama utapeli mwingine tu kama una kijana au ndugu yako huko mwambie akimbie upesi
 
Ni nature ya jiji lilivo uwongo uwongo mwingi ndio maana hata mpenzi wako akihamia dar ni vema umsahau tu
Yani ww ni mpambanaji unahitaji mzigo unaogopa ku risk hata 50elfu uzalishe,, yani wanaishia kulialia mara huna ndugu huku umtumie nitachukua kwake... Hata ukisema umsikilize maelekezo yake mzigo utatuma kwa huyo ndugu sim zako hatopokea na ndio imeisha hiyo🤣
 
Dar kila mtu kontawa ila Arusha ndo kiboko yao, unatapeliwa/ kuibiwa hadi akiba
 
😂😂😂😂ila dar🙌
 
Kuna classmate wangu aliingia akaanza na kutamba mwisho wa mwaka ananunua gari, kilichomtokea hasahau maishani mwake.

Kuna wa hawa wanaojiita LBL nae naona kasi yake si nzuri.
Kuna hawa wa kujiita NeoLife, walimpiga mtoto wa sista angu 700k hanaga hamu kila akikumbuka analia peke yake 😂
 
Mimi nikiwa na pesa mtu hata aite jina la mama yangu la utoto sigeuki ng’o 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…