Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Mbona wako kibao mtaani wewe
Unaishi kwenyw chungu au?
Mkuu siishi kwenye chungu, ninaishi tu mitaani.

Kusikia 'mtaani wapo kibao', unamaanisha jambo hili lipo sana katika jamii yetu, yaani: mwanamke mmoja kuweza kufanya mapenzi ama kuolewa na ndugu wawili wa damu, aidha mtoto na babake au mtu na kaka yake kwa kujua na maisha yakaendelea?

Yawezekana ikawa ni utamaduni wa eneo fulani nisikatae, lakini si mila za maeneo makubwa hapa nchini Tz.
Je waweza kutupa dokezo kidogo, wapi yanafanyika mambo hayo?
 
Aendelee na mtoto mwenzake.
Ile ni ajali katika uzinifu

Maana anaweza mkimbia baba mkwe akaenda kwingne ilawa ametembea na kaka mtu au mdogo mtu.
Malipo ya uzinifu ni uvumilivu wa magumu na yenye fedheha
 
Mkuu siishi kwenye chungu, ninaishi tu mitaani.

Kusikia 'mtaani wapo kibao', unamaanisha jambo hili lipo sana katika jamii yetu, yaani: mwanamke mmoja kuweza kufanya mapenzi ama kuolewa na ndugu wawili wa damu, aidha mtoto na babake au mtu na kaka yake kwa kujua na maisha yakaendelea?

Yawezekana ikawa ni utamaduni wa eneo fulani nisikatae, lakini si mila za maeneo makubwa hapa nchini Tz.
Je waweza kutupa dokezo kidogo, wapi yanafanyika mambo hayo?
Jambo limekuwa kawaida
Yani linaenda kuwa kawaida sana
 
Aendelee na mtoto mwenzake.
Ile ni ajali katika uzinifu

Maana anaweza mkimbia baba mkwe akaenda kwingne ilawa ametembea na kaka mtu au mdogo mtu.
Malipo ya uzinifu ni uvumilivu wa magumu na yenye fedheha
Sauwa
 
aendelee na mwanaume wake labda kama baba mkwe ataweka pingamizi ila kama akikausha na yeye akaushe
Lakini unazielewa 'swaga' zinazotokana na mtu kufanya mapenzi na mtu?

Unashauri 'akaushe', enhe, moyoni linafutika?

Bamkwe akitaka kutoa nasaha zake, af wewe unaanza kumtathimini kuanzia chini hadi juu na ukitaka apunguze ngebe zake unamkonyeza😂😂, bonge la jokes kulaleki.

Yaani kila aina ya gari wewe unalielewa uingizaji wake wa gea. Unakuwa ni bingwa.
 
Lakini unazielewa 'swaga' zinazotokana na mtu kufanya mapenzi na mtu?

Unashauri 'akaushe', enhe, moyoni linafutika?

Bamkwe akitaka kutoa nasaha zake, af unaanza kumtathimini kuanzia chini hadi juu na ukitaka apunguze ngebe zake unamkonyeza😂😂, bonge la jokes kulaleki, yaani kila aina ya gari wewe unalielewa uingizaji wake wa gea. Unakuwa ni bingwa.
Du
 
Back
Top Bottom