HALAFU unajua dunia inaenda kasi sana lakini pia vijana wa leo naona kama sisi wazee tunawakimbiza kweli, hii ni kutokana na kupenda urahisi wa mambo.
Vijana ndo walipaswa kula wasicha, vijana wenzao bahati mbaya wanakimbilia kwa mashangazi halafu wanaacha ombwe kwa wenzao wa rika lao. Matokeo sisi wazee tunakuwa na kazi mara mbili.
KWANZA kudeal na rika letu AKA Mashangazi, pili turudi tena kuwasidia kwa hawa watoto wenzenu, hebu mjiongeze basi.
Mtasema ohoo mzee mhuni hapana kwa nature sisi wanaume tunapaswa kula zaidi mara moja ndo maana mwanamke kwa mwezi anatoa yai moja ili hali sisi kila siku unaweza kupiga mbilimbili zenye thamani ya mamilioni ya hela.
Sasa mmeubuka eti kataa ndoa acheni ujinga