Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Baba mkwe(father-in-law) na hujaolewa bado!!! Haya maneno mkwe, shemeji, wifi, mchumba yanatumika kiholela holela tu, hata barua hujatolewa keshakua baba mkwe!!
 
Haya mje wana

Kuna dada amemwaga maji huko

Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.

Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa

Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake

Sasa ananiuliza hapa afanyaje?

Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
Heading haifanani na content
 
Haya mje wana

Kuna dada amemwaga maji huko

Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.

Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa

Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake

Sasa ananiuliza hapa afanyaje?

Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
HALAFU unajua dunia inaenda kasi sana lakini pia vijana wa leo naona kama sisi wazee tunawakimbiza kweli, hii ni kutokana na kupenda urahisi wa mambo.
Vijana ndo walipaswa kula wasicha, vijana wenzao bahati mbaya wanakimbilia kwa mashangazi halafu wanaacha ombwe kwa wenzao wa rika lao. Matokeo sisi wazee tunakuwa na kazi mara mbili.
KWANZA kudeal na rika letu AKA Mashangazi, pili turudi tena kuwasidia kwa hawa watoto wenzenu, hebu mjiongeze basi.

Mtasema ohoo mzee mhuni hapana kwa nature sisi wanaume tunapaswa kula zaidi mara moja ndo maana mwanamke kwa mwezi anatoa yai moja ili hali sisi kila siku unaweza kupiga mbilimbili zenye thamani ya mamilioni ya hela.

Sasa mmeubuka eti kataa ndoa acheni ujinga
 
Ndio madhara ya Watoto wa kike kutembea na Wanaume ambao kiumri ni sawa na Baba zao.
Bado haujasema! hayo ni madhara ya kuzini kabla ya ndoa, mbaya zaidi kuzini bila hata malengo ya hiyo ndoa yenyewe (na baba mkwe).

Ukiishia kuwa tatizo ni wanawake kutembea na wanaume sawa na age za baba zao hapo sikubaliani na wewe, vp kama alitembea na mtu aliyemzidi umri wa miaka mitano then ukaja kugundua ni shemeji yako, mbaya zaidi vp kama mwanamke ametembea na zaidi ya ndugu wawili bila kujuana? (na hii inawezekana sana hasa katika jamii zilizo nje kidogo ya miji mikubwa na zenye idadi ndogo ya watu)

Wanawake acheni kutoa uroda kabla ya ndoa, period!
 
Back
Top Bottom