Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Wakati unatembea na huyo mzee hakuwa mkwe na mlishamalizana. Aendelee na taratibu za kuolewa na kijana wa huyo mzee ila asitembee na huyo mzee baada ya ndoa. Mana baada ya ndoa ndio itatambulika kuwa ndio mkwewe
 
Wakati unatembea na huyo mzee hakuwa mkwe na mlishamalizana. Aendelee na taratibu za kuolewa na kijana wa huyo mzee ila asitembee na huyo mzee baada ya ndoa. Mana baada ya ndoa ndio itatambulika kuwa ndio mkwewe
Sawa boss
Asante kwa ushauri
 
Haya mje wana

Kuna dada amemwaga maji huko

Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.

Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa

Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake

Sasa ananiuliza hapa afanyaje?

Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
Hata hicho kichwa cha habari chenyewe inabidi kibadilishwe.
Alikuwaje baba mkwe wako kabla hata hamjakutana na huyo mwanaye?

Ila hii story inatafakarisha sana!!!
Baba; after 3 yrs mtoto wake!!!!
 
Back
Top Bottom