Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #81
Mwenyewe umejikuta umepatiiiia maskini ya Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe umejikuta umepatiiiia maskini ya Mungu
Mshauri basi kabla mwisho haujafikaChanganya kokoto na mawe mwishoni kitaeleweka
Unahisi baba ataendelea kumtafuna?Na kijana akioa hakyanani ameletea baba ake utamu nyumbani
We ungemshaurije maria sasa?Hadithi kaitoa kutoka tamthilia ya Jua Kali,huyo atakua ndiyo Maria!!
We ndio mtoto ungefanyaje?Damn hii ngoma nzito
Nene mbaya?Ngaii 🙆♂️
So is your mom kama hakuolewa bikraWew ni malaya
Kwahiyo kijana akimuoa, na akiwa baba mkwe unamshaurije msichana wa watu?Huyo ni baba mkwe baada ya kuolewa.. kabla huyo ni mteja km wateja wengne.
Jamaan umefika mwisho wa kufikiriA?Aolewe tu
Hajaongea kabisa, amemkata jicho tu mrembo wa watuBaba mkwe anasemaje ???
Uweee!Binti ana laana saana kuliko wote
Huenda ana copy kwanguUna pigo kama za Unique flower
Kwahiyo binti amuache kijana au?JESUS LOVES THEM AND US ALL
THEY SHOULD AVOID THAT BURDEN OF CURSE EARLY AS POSSIBLE![]()
Sawa bossWakati unatembea na huyo mzee hakuwa mkwe na mlishamalizana. Aendelee na taratibu za kuolewa na kijana wa huyo mzee ila asitembee na huyo mzee baada ya ndoa. Mana baada ya ndoa ndio itatambulika kuwa ndio mkwewe
Sana tu kama wote hawana adabu. Labda tu baba amkatalie kijana kwamba hakuna kuoa hiyo mbuziUnahisi baba ataendelea kumtafuna?
Hata hicho kichwa cha habari chenyewe inabidi kibadilishwe.Haya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
Uzinzi tupu unawatafuna wote.Baba mkwe hataki aolewe na mwanae
Sasa umetombwa na baba then ukampe mtoto? Kitulize hiichoSo is your mom kama hakuolewa bikra