Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changanya kokoto na mawe mwishoni kitaelewekaHaya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?
Hadithi kaitoa kutoka tamthilia ya Jua Kali,huyo atakua ndiyo Maria!!Haya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?
Damn hii ngoma nzitoHaya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?
Huyo ni baba mkwe baada ya kuolewa.. kabla huyo ni mteja km wateja wengne.Haya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?
Baba mkwe anasemaje ???Haya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?
Binti ana laana saana kuliko woteKwahiyo unamshaurije binti?
JESUS LOVES THEM AND US ALLHaya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?
Yesu anahusika kila maharishiUmewaambia habari za Yesu? Ungekuwa umeleta maswali namna ya kuwashuhudia Neema ya wokovu ni sawa. Usimtaje Yesu mahali ahusiki.
Keshamkubali mtoto bro soma tena uziKanuni ni ile ile, kama ulivyomkubalia baba, mkubalie na mtoto.
Inajulikana sa ndio kapendwa na mtoto afahyaje?Yesu ana upendo huku mkiendelea kufanya uzinzi wenu?
Kwani haijulikani kama huyu yesu hapendi uzinzi?
Asaidiweje?
UweeeSio mbaya mtoto kula sahani moja na baba.
UweeeSioni hasara katika hilo... Sana'a ni faida tu. Narudia
NI FAIDA TU.
AiseeWametest mitambo? Atakuwa na sura mbili
- Huyo ni mwanaye
- Huyo ni mume mwenzake