Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Vijana si hamtoi hela
Acha baba zenu wawatafunie,
Tamaa mbaya sana. Sometimes You have to be content with what you have. Huwezi ukakimbizana na Dunia sasa kama ni kweli huyo Binti alitembea na Baba wa mpenzi wake hapo kuna ndoa tena?
 
Tamaa mbaya sana. Sometimes You have to be content with what you have. Huwezi ukakimbizana na Dunia sasa kama ni kweli huyo Binti alitembea na Baba wa mpenzi wake hapo kuna ndoa tena?
Inategemea na akili za muoaji
Skuhizi wanaoa tu
Maana kama hutologwa basi utapewa mali kauli utawowa
 
Back
Top Bottom