uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Ameuliza hapa
Mama.hana
Mjibu, na muulize anakuaje Baba mkwe wakati ajaolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameuliza hapa
Mama.hana
Anayo yaNipe namba yake nimwelekeze kwa Mtaalam wa Ushauri na saikolojia ya maisha
Ikawe hivyoAtasikia
Baba mkwe mtarajiwaMjibu, na muulize anakuaje Baba mkwe wakati ajaolewa?
AtasikiaSasa nashangaa nini? Mwambie akatubu mbele ya Mungu kwa viongozi wake wa imani Money Penny
Ngoja nikuangalizie hapa yeye anapiga simu bure na anashauriwa bure.Anayo ya
Mauki
Aunty sadaka
Anasema wote wana.bei hana.hela
Baba mkwe mtarajiwa
UweeeNgoja nikuangalizie hapa yeye anapiga simu bure na anashauriwa bure.
UweeeMwambie aende YouTube kuna channel inaitwa Jitambue atapata masomo ya maana kuliko hata hao wakina Chriss Mauki wanao copy na ku paste
Money Penny
Ila Yesu alikufa kwa ajili ya laana za watuHao wafu waache wazikane, usiongee nao wala kuwashauri hata harufu hao ni laana.
Ila Yesu alikufa kwa ajili ya laana za watu
Kama Yesu ana upendo.hivyo we kwanini usimpe ushauri binaadam mwenzio?
Kanuni ni ile ile, kama ulivyomkubalia baba, mkubalie na mtoto.Haya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?
Yesu ana upendo huku mkiendelea kufanya uzinzi wenu?Ila Yesu alikufa kwa ajili ya laana za watu
Kama Yesu ana upendo.hivyo we kwanini usimpe ushauri binaadam mwenzio?
Wametest mitambo? Atakuwa na sura mbiliHaya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je wewe unamsaidiaje huyu binti?