Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Kwahiyo binti amuache kijana au?
kung'ang'ana na laana si jambo jepesi hata kidogo, ni mzigo mzito Kweli Kweli, na hua inaanza na kuwachukia wanaokushauri uepukane na kikombe hicho 🐒

but it will reach a time of realities, mikosi, uharibifu na mfululizo wa mabalaa within your life, then normal sense will start to work and it will be to late, umri umesonga, nguvu zimepungua, binadamu wa kumuomba msamaha hatakuwepo na unaweza kukufuru kwa kuhisi hakuna Mungu 🐒

ajifunze kujitegemea kimwili na kiroho lakini pia awe na hekima na busara kuamua hatma njema ya maisha yake bila kua na makando kando yenye sura ya laana, mahangaiko, uharibifu, majuto na mikosi baadae...

awe mstahimilivu, mwenye subra na maono.🐒

Nami nawaombea vijana wote wa nyakati hizi waliojaa kiburi, majivuno na tamaa, Roho Mtakatifu alainishe mioyo yao migumu sana, iweze kutambua na kuskia vyema sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yao.
Aimen...

Have a very beautiful Sunday 🌹
 
Haya mje wana

Kuna dada amemwaga maji huko

Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.

Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa

Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake

Sasa ananiuliza hapa afanyaje?

Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
Kuna muvi inafanana na stori yako niliangalia miaka mingi naitafuta nimeisahau jina mwenye kuikimbuka aniwekee mwishoni mwa hii movie kijana alimfumania baba yake na mke wake lodge ghorofani akatahayari na kuanguka kutoka juu ya ghorofa lakini mwisho wa movie Mzee alifukuzwa kazi baada ya kashfa yake kusikika kazini kwake aliishi maisha ya kifukara sana
 
Hata hicho kichwa cha habari chenyewe inabidi kibadilishwe.
Alikuwaje baba mkwe wako kabla hata hamjakutana na huyo mwanaye?

Ila hii story inatafakarisha sana!!!
Baba; after 3 yrs mtoto wake!!!!
Fungua uzi weka kichwa cha habari kinachofaa tuje tu comment
 
Kuna muvi inafanana na stori yako niliangalia miaka mingi naitafuta nimeisahau jina mwenye kuikimbuka aniwekee mwishoni mwa hii movie kijana alimfumania baba yake na mke wake lodge ghorofani akatahayari na kuanguka kutoka juu ya ghorofa lakini mwisho wa movie Mzee alifukuzwa kazi baada ya kashfa yake kusikika kazini kwake aliishi maisha ya kifukara sana
Jamaan
 
kung'ang'ana na laana si jambo jepesi hata kidogo, ni mzigo mzito Kweli Kweli, na hua inaanza na kuwachukia wanaokushauri uepukane na kikombe hicho 🐒

but it will reach a time of realities, mikosi, uharibifu na mfululizo wa mabalaa within your life, then normal sense will start to work and it will be to late, umri umesonga, nguvu zimepungua, binadamu wa kumuomba msamaha hatakuwepo na unaweza kukufuru kwa kuhisi hakuna Mungu 🐒

ajifunze kujitegemea kimwili na kiroho lakini pia awe na hekima na busara kuamua hatma njema ya maisha yake bila kua na makando kando yenye sura ya laana, mahangaiko, uharibifu, majuto na mikosi baadae...

awe mstahimilivu, mwenye subra na maono.🐒

Nami nawaombea vijana wote wa nyakati hizi waliojaa kiburi, majivuno na tamaa, Roho Mtakatifu alainishe mioyo yao migumu sana, iweze kutambua na kuskia vyema sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yao.
Aimen...

Have a very beautiful Sunday 🌹
Amina mtumishi
 
Haya mje wana

Kuna dada amemwaga maji huko

Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.

Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa

Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake

Sasa ananiuliza hapa afanyaje?

Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?
akubali kuolewa hakuna shida
 
Kumbeeee
Hata dubai ilikuwa inaiona marekani ni mavi
Ila juzi walipotengeneza mvua waliiona marekani perfume
Sikuhukumu bado hujaishi
Nimeishi sana kuna maamuzi mengine yanahitaji kutafakari sana kabla binti hujakurupuka na tamaa, kitu ambacho nlikuwa nacho kichwani toka naanza ubinti ni kutoka na mzee wa kunizidi miaka zaidi ya 10 hukoo wakati huo sijaolewa akuuuu nlikataa na ntaendelea kukataa hata stim haziji
 
Nimeishi sana kuna maamuzi mengine yanahitaji kutafakari sana kabla binti hujakurupuka na tamaa, kitu ambacho nlikuwa nacho kichwani toka naanza ubinti ni kutoka na mzee wa kunizidi miaka zaidi ya 10 hukoo wakati huo sijaolewa akuuuu nlikataa na ntaendelea kukataa hata stim haziji
Sauwa
 
Back
Top Bottom