Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Nimependa hapo kwenye kiroho kinadunda ulivomuona kumbe inatukuta wengi
 
Aaaah madam na unaonekana we pis kali sana.
Maana majina ya Aaliyah wee si mchuzi.
Kama Mpaji Mungu anazingua tuje tutie maguu tuoe mathnaa huko ama thulatha.
Nina wake wawili nataka niongeze wa tatu.
Kuna vijanawenzio wako single hawana hata mmoja 🀣🀣🀣🀣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila African mama wamepinda jamani yaani hajataka kujichosha kukuuliza kajua tu foolish age inamsumbua huyu
Kwenye hii story mama ndiye main character hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…