Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

BAADA YA H KUONDOKA

Penzi likianza nilikuwa sijui how mapenz yapoje bhana nikawa naona nafurahia tu kusoma barua hatukuongea Tena na H na Irene alirudi shule kuendelea na masomo


Baada ya mwezi mmoja nikapokea barua kutoka Kwa classment nilosoma nae primary alikuwa anasoma pamoja na H barua nzuri kuwa amenikumbuka na maneno mazuri mazuri mengi ya kunsifia nilivo mpole na msichana mzuri Sana hakika siku ikabarikiwa
H alikuwa na hati safi kiingereza kilichonyooka nafikiri mlosoma hizo shule za seminary mnaelewa nami nikaandika yangu chap nikampa kabla hajaondoka akaifikishe Kwa H huko shule nikimtamkia masomo mema

Kwakweli nilimuelewa H lakin sikuwa mtaalamu wa mahusiano hivo haikunipa shida sana kuhandle situation ila Kuna wakat rafikizangu walikuwa wanashangaa mbona namtaja H Kila muda 😃

Nikikutana na baba yake H njiani ni kujichekelea kumuona ba mkwe 😃 na babakake annaiita bintiyake sababu anamjua mamayngu na pia aliniona tangu nikiwa mdogo sana nazaliwa

Ikawa ndio habari akiona mtu anakuja kwani vijana wengi wa hiyo shule wnatoka hapo kijijini tunapoishi ni lazima wakija Wana barua yangu nami nawapa ya H mapenz yalinoga Yani ikawa namuongelea H muda wote natembea na zile barua kwenye begi hata nikiwa shule ninazo 😂😂😂😂
Nilikuwa nimechanganyikiwa nyie Hao H hajwah nishika hata mkono

Baada ya miez sita likizo ikakaribia shule za private hufunga wiki moja kabla yetu sisi wa shule za serikali
Nikasema hii Sasa ndo yenyewe babe anarudi nilifurahi kusikia wamefunga shule japo H sikumuona na wakat huo yupo kidato Cha nne hivo hupewa wiki 2 tu then wanarudi shule kuendelea n maandaliz ya mitihani
Mama H 😜😜😜😅😅👏🏻👏🏻
 
Kunatukio nilisahau

Baada ya Ile siku ya tukio na kuachwa nilikutana na yule kaka nilosimama nae pale kwenye sherehe nae alisikia hiz tetesi nilimlaum nikajua yeye ndio kaongea uongo akasema nitampata alisema sababu story mtaani Ilikuwa hiyo tu mm kuliwa na kuachwa na H 😂😂😂

Baada ya masaa hiv nikaja kuitwa na Irene yule kijana alimpata aliesambaza hizo habari za uongo alafu yule kijana aliekuwa ananiaproach alikuwa Mkubwa kuliko sisi hivo Ilikuwa rahis kumpata nikamkuta kamshika shati kisawa sawa

Nilivofika akasema aniambie alichosema akakubali yeye ndio alisema baada ya kuona tumesimama pale akawaambia watu hiyo taarifa lakin hakuwa na uhakika kama tulitoka pamoja

Jamaa akamzimua makofi mawili matatu mda huo vijana wa pale mtaani walikuwa kma 7 hivi wakamzomea ikawa nafuu yangu lakini nilishapoteza tayari

Baada ya miak kupita nikawa na mahusiano mengine ila nilimpenda sana H baada muda hasia zikaanza kupungua nikawa najihis nakuwa sawa hata kumfikiria kukapungua namba yake ya Simu ikaanza kufutika

Nikawa namuona H ila sikufanikiwa kuongea nae chochote akaenda kusomea udaktari nikaambiwa,nami nikaenda chuo
Sikumoja nipo likizo nikapigiwa simu namba ngeni

Nikapokea
Halloo nikauliza nani akasema ni H
Mmh nikamuuliza kama yukoo poa akasema yupo sawa akaomba kuniona siku ya pili nikamwambia kama nitakuwa na nafasi nitamjulisha nikapotezea japo nilikuwa na shauku ya kumsikia anachotaka kuniambia

Siku ya pili sikumtafuta siku ya Tatu akanipigia akasema yupo mtaani kwetu nikamwambia sawa nikaenda kumuona akasema amenikumbuka
Akasema usiku ule alipigiwa simu na watu akaambiwa kuwa nipo na yule kijana pia kuwa ni mwanaume wangu na nilitoka nae usiku ule roho ilimuuma sana na kibaya zaidi akaambiwa kuwa nililala na yule kijana alafu yule kijana ni wale mabishoo wa pale mtaani na ni Mkubwa kuliko sisi Hilo lilimuumiza Zaidi
Lakin Bado ananipenda tuwe pamoja 😀😀😀
Nikamuuliza sababu ya kutonisikiliza akasema ni hasira na maumivu alihis kile kitu ni Cha kweli ila anajutia
Hapo kuni namba ya simu, ivi why ukimoenda mtu namba unaikariri then mkiachana namba mdg mdg inaanz kupotea kichwani 🤣
 
Chai
 

Attachments

  • FB_IMG_1723660520036.jpg
    FB_IMG_1723660520036.jpg
    53.4 KB · Views: 7
Eeeh m mwenyewe sinywi pombe ila siwezi kumbuka ivo weeeeeee
Tonatofautiana vipawa my love hatuwez fanana mm siwez kuwa wewe Wala huwez kuwa mm

Kwakuwa wewe huwez hiki haimaniishi na mm siwez au mwingine hawezi
by nature naweza elezea tukio Kwa kuandika kuliko kuzungumza Kuna anayewaza kuzungumza kuliko kuandika

Naweza soma kitabu Cha kurasa 100 Kwa masaa machache sana kilamtu kuna alivo
Inaweza kuwa wewe huwez au ni Zaid 🙏
 
Upo sahihi.

Mimi Kuna wanawake sikuwahi kulala nao lakini sina hisia nao Tena, hata ikitokea wakinipa sasa hivi nitakula kwa kulinda heshima tu na kupita kushoto
 
Ulikutana na mlamba midomo wa sinza ,yaani uingie lodge na hela nimelipa alafu eti uniambie habari za huna hisia na Mimi ? Haki basi utanilamba lamba tu ili niridhike nikiruhusu uende zako
Nikishaeleza sifa za H ni kweli ni tofaut na wengine ila sio mlamba lips
 
Back
Top Bottom