Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Akampigia
Irene akamsalimia akanipa simu
H;mambo
Mimi;poa Ile kinyonge
H;unasemaje
Mimi;nataka kukuelezea ilivokuwa
H; sitaki kusikia umeniumiza sana umevunja uamninifu kama unamtu si ungenambia kwanini unidanganye mim na wewe ndio basi na kesho naondoka siwez kukaa hapa na maumivu kiasi hiki na hutaniona Tena
Niliangua kilio kama nimefiwa nikawachukia watu sana hakusinisikiliza akakata na simu
Nilijiuliza hiyo story zilimfikiaje sikukaa pale hata dakika 10 nikajita kwenda pale nikajuta kuongea na yule kaka nilimchukia kupita kiasi

H akaondoka kweli hakutaka kuniona nikatuma barua hazikujibiwa nilihangaika sana Sasa kilichonitesa ni hisia zile moment zilinichanganya kuachwa ghafla kukanitesa kila nikipata memory kuhus H nahis naishiwa nguvu napata hali flan isiyo ya kawaida kwenye mwili Ni kama napigwa shot 😭😭😭Kila ikifika usiku naamka nakaa kitandani naanza kulia😂😂😂

Siku moja mamaang akanikuta nimeangua kilio balaa akasonya akaondoka
Kutoka wakat huo nikajua hisia zinatesa kuliko hata hayo mapenzi yenyew Ile hali ya kushindwa kujitetea na kutosikilizwa ilinitesa sana nilikuwa natamni aje nimwambie ila namuonea wapi nae hakutaka kabisa kurudi alivofanya mtihani akaenda Kwa nduguzake wengine Irene akasema nimuache tu Aishi maishayake
Uliniuzi sana nikaona nije zangu sumbawanga......
Irene ndie alinipa story kuhusu wew na yule jamaa. Irene n cuzo alikuw ananipenda muno 😄
 
Uliniuzi sana nikaona nije zangu sumbawanga......
Irene ndie alinipa story kuhusu wew na yule jamaa. Irene n cuzo alikuw ananipenda muno 😄
Unarudi lini sumbawangu nami nikufuate 😂😂
 
Mambo ya first love. Hivi hiki kitu hutokea mara moja tu maishani au!! Sijawahi kuwa tena na feelings kama zile kwa mwanaume!!! Yaani yule mwanaume unamfikiria then unajikuta tu unatabasamu. RIP my love.
Polesana
Yani zile feeling zinakuwaga za ajabu sana kiukweli
 
Hakuna namna Rafiki yangu umia tu..ila hao ndugu zako hakika wanasafari iliyondefu
Hahaha! Natania tu ila naishia kuzisoma tabia zao mtandaoni na kufurahi, natamani siku nikutane nao.
 
Asante mleta mada kwa ku share nasi, umekuwa uzi wenye tafakari fulani hivi nzuri!
Pamoja na maumivu makali ya hisia ipo nafasi ya kupona japo huacha jeraha ama kovu lakini kuna kupona.
 
Mambo ya first love. Hivi hiki kitu hutokea mara moja tu maishani au!! Sijawahi kuwa tena na feelings kama zile kwa mwanaume!!! Yaani yule mwanaume unamfikiria then unajikuta tu unatabasamu. RIP my love.
Nimesikitika aisee! Ajaliwe kupumzika kwa amani.
 
Dah umenikumbusha mambo ya barua aisee,kuna kabint kalikuwa kananiandikia barua halafu sikuwahi kukajibu hata siku moja,ilikuwa primary,halafu sina kumbu kumbu zile barua mwisho wa siku siku niliziweka wapi

Naomba tu anisamehe huko alipo

Bahati kutoka shule ya mbula karibia na dochi lushoto,ndio mimi am so sorry kpnz
 
Samahani me nilitegemea nakutana tu na point ya kuachwa kikatili nashanga mara H sijakaa sawa -Itaendelea mimi huyo 🏃🏽‍♂️💨
 
Hii wiki Niko very happy ngoja niwape kisa nilivyoachwa na mpenz wangu wa kwanza😃😃

Miaka mingi nyuma nilikuwa na rafikiyangu ambae ni jirani yetu pia alinizi kama miaka miwil umri, alikuwa anansoma shule ya boarding hivo tulikuwa tunaonana kipindi cha likizo.

Rafik yangu alikuwa ni wale watoto kwenye zile familia maarufu mtaani tumuite Irene
Siku moja tukiwa tunapiga story akanambia ana ujumbe kutoka Kwa H tumpe Hilo jina
nikamwambia anipe akaingia ndani akaja na barua 😃akasema Itabid nirudishe majibu kunamtu apewe aende nayo maana hayupo Kwa Sasa

Nikaichukua nikasema hebu nikaifungue nikiwa home bhana nafungua nakutana na ujumbe maridadi kweli kweli.

Barua ya mapenz iliyoshiba kweli kweli maneno matamu mwanzo Hadi mwisho nakupenda nying sana huku mwisho na dedication za kutosha nlisoma Ile barua huku natabasamu vibaya mno 😃😃

Kuhusu H
Ni mkaka fulani mpole sana ni binamu wa rafikiyangu hivo nilikuwa namuona maranyingi akija kutembea kwa shangazi yake huku mtaani kwetu.

Alikuwa anasoma shule moja ya kubwa ya seminary hapo mkoani babayake alisoma pamoja na mama yangu enzi hizo hivo namfahamu japo hatukuwa na ukaribu

Ile barua nilifurahia mno H alikuwa kijana smart sana,na hii ndo Ilikuwa mara ya kwanza kwangu kuvutiwa na mvulana nikamwambia akamwambie anipe muda nifikirie nitampa majibu wakat huo H alikuwa likizo Dar Kwa nduguzake wengine so barua alimpa rafikiyake wakiwa shule Ili inifikie Kwa urahisi na sikuwa natumia simu kipindi hiko.

Bas bhana feeling Kwa H zikaanza japo sikuwa naelewa Kwamba mapenzi ndio yalivo nikawa naona ni busara kuisoma Ile barua Kila mara Kwa kuirudia rudia😃😃😃

Baada ya wiki 2 nikaenda kwao na Irene Ile nafika sebuleni namkuta H kajaa tele nikaona aibu sana akanisalimia nikakaa kwenye kochi kiroho kinadunda sana nikaona hapa siwezi nikaaga nikaondoka muda huo H akanikata jicho la wizi wizi 😃

Wazazi wao hawakuwepo mda huo mara Irene akaniita niende kuongea na H

Akatoka nje nikamfuata tukakaa sehemu nyuma ya nyumba ya shangazi yake

Akauliza kuhusu jibu lake nikaanza kujizungusha zungusha nikakataa H alilalamika sana nikaona machozi yanaanza kumtoka 😭

Akabembeleza sana mwisho nikakubali wakat huo tumekaa mbali kidogo hivo hatukushikana hata mkono H akaaga akaondoka.

Safari ya mapenzi ikaanza
Kimbele mbele kikazidi 😃😃
Ilikuwa siku chache aondoke shule na Huwa akiwa shule hatumii simu mm pia sikuwa na simu kabisa akaja kuniaga akaondoka

Inaendelea sio ndefu
Nani sasa ulimtunuku b,*kr baada ya H kususa?
 
Back
Top Bottom