Nilivunja urafiki na kumshushia heshima Mjomba wangu baada ya kugundua ni mtu mwenye tabia ya kuingilia faragha yangu

Kawaida mjomba ni mtu wa heshima sasa akishakuwa na maswali ya hovyo sidhani kama ataheshimika tena
Yeye ameacha mke nyumbani yupo mjini
Wewe kabila gani?
Ninavyojua katika watu ambao hawajiheshimu basi ni wajomba kwa wapwa zao.!!
Mjomba anaweza kuongea pumba zozote kwa mpwa wake na isiwe big issue….

Mimi anko wangu bhana ashawahi kutusuluhisha ugomvi na mpz wangu kisha akamwambia muombe game ili tujue km kweli kakusamehe 😹😹😹

Naye lilivyo jinga likaja kunisimulia nikabaki nasikitika.!! Huyo mjomba wako anakuzingua km mtani wake wala hamaanishi..!!
 
Kwani sijaoa, mchumba wangu wa kwanza wao ndio waliomfitini mpaka tukaachana nilipopata huyu wa pili sikutaka tena kushirikisha mtu kila mtu afe na maisha yake
😹😹😹
Huyo mjomba bila shaka type ya kina Shaban Madobe.
Mwambie aache unaa, ila na wewe si ungemwambia nishaoa
 
😹😹😹
Huyo mjomba bila shaka type ya kina Shaban Madobe.
Mwambie aache unaa, ila na wewe si ungemwambia nishaoa
Nilipowaeleza kipindi nipo na mchumba wa kwanza ndipo mahusiano yetu yalivunjika
 
Kiranga A.K.A mchicha mwiba. Pole!
 
Hapo ndipo akili yako ilipoishia, huwezi kujadili hoja unaleta viroja.
Hoja zipi wakati utaanza kutumia tumia viswahili na hoja hujibu chochote tunakujua aisee. Hoja ngapi huwa unakimbia hewani kwa kutumia kivuli cha kutumia viswahili visivyo na msingi?
 
Hoja zipi wakati utaanza kutumia tumia viswahili na hoja hujibu chochote tunakujua aisee. Hoja ngapi huwa unakimbia hewani kwa kutumia kivuli cha kutumia viswahili visivyo na msingi?
Basi niweke ignore list usione ninachoandika tena maana sina hoja.

Mimi nakuweka ignore list kuanzia hapa sitaona unachoandika maana naona huna hoja.

Naondoa mzozo usio na muelekeo, maana wala tija.
 
Basi niweke ignore list usione ninachoandika tena maana sina hoja.

Mimi nakuweka ignore list kuanzia hapa sitaona unachoandika.
Usinipangie nini cha kufanya wewe kama unaweka hiyo ignore list weka.
 
Mjomba kuuliza umeoa si jambo la kukasirika. Na kuhusu wanaume kuolewa Kuna kitu amesoma kwako utakua unakaa kiupinde upinde
 
Mjomba kuuliza umeoa si jambo la kukasirika. Na kuhusu wanaume kuolewa Kuna kitu amesoma kwako utakua unakaa kiupinde upinde
Hana lolote mwehu tu yule ni mwanaume wa hovyo kwasababu ana chokochoko wanaume hawako hivyo
Mjomba ni mtu wa heshima sana yeye hajui maana ya heshima
 
Huyo mjomba hakuona jambo lingine zaidi ya kuowa na kuolewa? Lakini mjomba ni Mama.
 
Mjomba ni mama.

Mjomba wako ana mashaka na yas yako
 
Ndugu hukunelewa vizuri, mm ni mtu ninayechukia sana umbea sikuchukia maswali bali ni umbea hata mke wangu ananifahamu mambo yangu na familia yangu hayamhusu mtu mwingine kila mtu afe na yake
Basi mjomba yako hajui kama Una Mke teyari...
Mpotezee na hifadhi heshima yake..
 
Kufanya hivyo amenikosea adabu kwasababu umri wangu sio mtu wa kuniuliza maswali hayo, afe na maisha yake na mimi ni deal na yangu chokochoko kwa wanaume hazifai, hayo maswali akaulize watoto wake
Relaax😄
Sikuhizi wanajibu 'sijaoa ila pia sijaolewa'
 
Oy mkuu haya maisha unayachukulia siriazi sana. Maisha hayataki usiriazi kihivyo. Kula vizuri, Kunywa maji mengi, fanya mazoezi na hakikisha huchukulii Kila jambo Kwa usiriazi.
Tofauti na hapo utakuwa unahisi Kila mtu anakufuatilia.
Nb
Umri unavyozidi kwenda one day utakuja kugundua hats hakuna aliyekuwa anakufuatilia
 
Inatafakarisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…