Acha ujinga basi!
Hivi kabisa na akili zako timamu unalinganisha essential service kama choo na chanjo ambazo watengenezaji wenyewe wanasema ziko kwenye clinical trial? Hivi akili huwa mnaziweka wapi inapokuja suala la chanjo?
Nakuwekea hii fact sheet ya mtengenezaji wa chanjo hii. Soma halafu ukome kutoushughulisha ubongo wako. Yaani akili unaweka likizo kisa ni chanjo?
Hizi ni baadhi ya nukuu:
- "The Janssen COVID-19 Vaccine
may prevent you from getting COVID-19. There is no U.S. Food and Drug Administration (FDA) approved vaccine to prevent COVID-19"
Hi chanjo haijawa approved kwa sababu hawajaweza ku ascertain usalama wake. Hawa ndio wenye teknolojia na ndio nchi iliyotengeneza chanjo. Sasa kama ni salama kama unavyodaio, kwa nini hawajipitisha? Unadhani unaijua chanjo kuliko wao? Ukiweza kupunguza kiherehere, ukaamua kuutumia ubongo wako kufikiri, utaelewa sababu!
- "The Janssen COVID-19 Vaccine may not protect everyone."
Okay mjuaji wa yote umeisoma hiyo? Sasa niambie unajuaje kama yupi itaweza kumlinda na yupi haitamlinda? Unadhani unajua sana chanjo kuliko walioitengeneza? Kama sio kiherehere ni nini? Ni ngebe tu, hamna unalojua!
- "The Janssen COVID-19 Vaccine has not undergone the same type of review as an FDA-approved or cleared product. FDA may issue an EUA when certain criteria are met, which includes that there are no adequate, approved, and available alternatives"
Umeelewa hiyo mjuaji wa chanjo? Hii chanjo haijapitishwa kwa sababu haijapitia hatua ambazo dawa na chanjo nyingine ambazo huwa mnazifanya kichaka chenu zimepitia. Kwa hiyo haiwezi kuwa salama kwa sababu hakuna anayejua juu ya usalama wake!
- "The Janssen COVID-19 Vaccine is an unapproved vaccine.
In an ongoing clinical trial, 21,895 individuals 18 years of age and older have received the Janssen COVID-19 Vaccine"
Bwana/Bibi mjuaji umeisoma hiyo? Kama data anazo refer ni za ongoing trial, huoni kama hili linaloendelea pia ni sehemu ya hiyo trial? Maana hakuna aliposema trial imefikia mwisho. Kwa hiyo kwa akili zako, dawa iliyo kwenye majaribio inafaa kuwa mandated na serikali? Hivi hizo akili umepewa urembo ama? Yaani kabisa unalinganisha choo ambacho usalama wake tunaujua na hii chanjo ambayo wenyewe walioitengeneza wanakwambia kabisa iko kwenye majaribio yanayoendelea? Are you that dumb in any other area?
-"Blood clots involving blood vessels in the brain, lungs, abdomen, and legs along with low levels of platelets (blood cells that help your body stop bleeding), have occurred in some people who have received the Janssen COVID-19 Vaccine"
Kama una akili timamu mpaka hapa unapaswa kuwa mdogo kama dawa za mafua. Unajua athari ya damu kuganda kwenye mishipa ya Ubongo wewe? Au unadhani haya ni mambo ya ushabiki? Ukiona tunawaambia nyie kachanjeni tuacheni tulivyo, sisi sio vichaa!
- "Guillain Barré syndrome (a neurological disorder in which the body’s immune system damages nerve cells, causing muscle weakness and sometimes paralysis) has occurred in some people who have received the Janssen COVID-19 Vaccine. In most of these people, symptoms began within 42 days following receipt of the Janssen COVID-19 Vaccine"
Kausome huu ugonjwa halafu uje uniambie nani yuko tayari ku risk hii kitu kwa sababu ya Covid ambayo tumeumwa na kupona! Yaani nipate ulemavu wa kudumu kwa sababu ya chanjo? No way! Wewe kachanje tu bibi/bwana mjuaji, ila tuache kama tulivyo. Na hayo ni madhara waliyoyajua baada ya watu kuchanja ndani ya siku 42. Unajua madhara yake miaka 10 ijayo wewe? Aun una kiherehere tu kama kuku wa mdonde?
-"In an ongoing clinical trial, the Janssen COVID-19 Vaccine has been shown to prevent COVID-19 following a single dose. The duration of protection against COVID-19 is currently unknown."
Mpaka hapo kama una akili timamu unajua kwamba mko mnafanyiwa majaribio. Tunawashukuru kwa kuwa sehemu ya majaribio. Pengine mbeleni tutapata chanjo bora au mtaishia kupata madhara, hakuna anayejua. Lakini msilazimishe wengine tusioitaka hiyo chanjo. Na hapo wamekwambia kabisa hiyo chanjo inakukinga muda gani, hawajui. Sasa wewe ndugu kiherehere umeandika as if hiyo chanjo ni absolute protection, una akili kweli? Yaani aliyeitengeneza anasema hajui inakukinga kwa muda gani, halafu wewe chakujua ambaye hata maabara hujawahi ingia unaongea pumba tu.
Halafu unajifanya hujui kwa ni serikali imeifanya hiyari?
Kiufupi wewe na madiketa wenzako mnaoishauri serikali ilazimishe chanjo ni weupe kabisa kichwani. Msidhani sisi tulioamua kutochanja ni mazwazwa na wapumbavu. Tunawaangalia tu mnavyoropoka tunacheka. Kwa sababu muda mwingi hata mnachokisema hakina akili.
Serikali imeamua hii issue ni hiyari, nami naipongeza. Iendelee kuwapeni mnaoitaka chanjo na iendelee kuilinda hii hiyari ili tusioitaka tupewe uhuru wetu. Naiomba serikali iachane na vilaza wa aina yako wanaoishauri wakiwa hata hawajasoma walichoandika watengenezaji wa hizi chanjo. Hawa wakisikilizwa watalea chaos ambazo hazina msingi. Serikali isimamie hapo: Chanjo ni hiyari na anayetaka akachukue. Serikali isiingie kwenye mtego wa kulazimisha hizi chanjo. Naamini watakuwa wanafuatilia yanayoendelea duniani.
Tuna kazi ngumu ya kuujenga uchumi wetu, isikubali hii issue ya chanjo ituondoe huko!
Siku njema mjua yote!