#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Hii ni campaign,kama wewe umekubali kufanyiwa majaribio ni wewe,sisi wengine hatupo tayari.
 
Huwezi kuishi kwa kupiga ramli kama hivyo. Madhara ya muda mrefu yapo hata kwenye vyakula vinavyolimwa kwa mbolea, kupulizia dawa za wadudu na kuhifadhia nafaka. Madhara yako kwenye soda, juices na madawa tunayotumia tukiumwa.

Hata watoto wanapopaata chanjo wengi wao hupatinda homa na kutulozwa kwa Panadol na barafu. Kaka huna sababu ya maana ya kukataa chanjo eti kuogopa madhara ya muda mrefu.
Bora hayo, ila nyie subirini kuwa mazombi na kuzaa mapredector
 
Kinga za mtoto haziwezi kuwa sawa na Mzee.
Ndy maana hata jua Kali la saa 7 mchana ,,Mzee atavaa koti la baridi.
Na hapo haumwi ila anahisi baridi..

Hivyo umri ni tatizo tosha kwamba covid inapenya kwa urahisi sana
Mambo mengine mm sio mtaalam na kujuwa zaidi.
Ila mm nawaamini scientists japo kuwa sio scientist.
Chanjo hazikufanyiwa majaribio kwa watoto haijulikani ina effect gani kwa watoto.
 
Chanjo hazikufanyiwa majaribio kwa watoto haijulikani ina effect gani kwa watoto.
Na bado hakuna aliyepinga chanjo za watoto.
Mtoto wa Tanzania hadi akifika miaka 5 ana chanjo zaidi ya 5.
Na hakuna aliyehoji hadi Leo.
 
Na bado hakuna aliyepinga chanjo za watoto.
Mtoto wa Tanzania hadi akifika miaka 5 ana chanjo zaidi ya 5.
Na hakuna aliyehoji hadi Leo.
Unazungumzia chanjo za watoto ila mimi nazungumzia chanjo za corona kuwa hazikufanyiwa majaribio kwa watoto, chanjo huwa zinajaribiwa kwa rika tofauti tofauti kwahiyo siku kusudia hizo chanjo ambazo ni kwa ajiri ya watoto.
 
Acha ujinga basi!
Hivi kabisa na akili zako timamu unalinganisha essential service kama choo na chanjo ambazo watengenezaji wenyewe wanasema ziko kwenye clinical trial? Hivi akili huwa mnaziweka wapi inapokuja suala la chanjo?

Nakuwekea hii fact sheet ya mtengenezaji wa chanjo hii. Soma halafu ukome kutoushughulisha ubongo wako. Yaani akili unaweka likizo kisa ni chanjo?


Hizi ni baadhi ya nukuu:

- "The Janssen COVID-19 Vaccine may prevent you from getting COVID-19. There is no U.S. Food and Drug Administration (FDA) approved vaccine to prevent COVID-19"

Hi chanjo haijawa approved kwa sababu hawajaweza ku ascertain usalama wake. Hawa ndio wenye teknolojia na ndio nchi iliyotengeneza chanjo. Sasa kama ni salama kama unavyodaio, kwa nini hawajipitisha? Unadhani unaijua chanjo kuliko wao? Ukiweza kupunguza kiherehere, ukaamua kuutumia ubongo wako kufikiri, utaelewa sababu!

- "The Janssen COVID-19 Vaccine may not protect everyone."
Okay mjuaji wa yote umeisoma hiyo? Sasa niambie unajuaje kama yupi itaweza kumlinda na yupi haitamlinda? Unadhani unajua sana chanjo kuliko walioitengeneza? Kama sio kiherehere ni nini? Ni ngebe tu, hamna unalojua!

- "The Janssen COVID-19 Vaccine has not undergone the same type of review as an FDA-approved or cleared product. FDA may issue an EUA when certain criteria are met, which includes that there are no adequate, approved, and available alternatives"

Umeelewa hiyo mjuaji wa chanjo? Hii chanjo haijapitishwa kwa sababu haijapitia hatua ambazo dawa na chanjo nyingine ambazo huwa mnazifanya kichaka chenu zimepitia. Kwa hiyo haiwezi kuwa salama kwa sababu hakuna anayejua juu ya usalama wake!

- "The Janssen COVID-19 Vaccine is an unapproved vaccine. In an ongoing clinical trial, 21,895 individuals 18 years of age and older have received the Janssen COVID-19 Vaccine"

Bwana/Bibi mjuaji umeisoma hiyo? Kama data anazo refer ni za ongoing trial, huoni kama hili linaloendelea pia ni sehemu ya hiyo trial? Maana hakuna aliposema trial imefikia mwisho. Kwa hiyo kwa akili zako, dawa iliyo kwenye majaribio inafaa kuwa mandated na serikali? Hivi hizo akili umepewa urembo ama? Yaani kabisa unalinganisha choo ambacho usalama wake tunaujua na hii chanjo ambayo wenyewe walioitengeneza wanakwambia kabisa iko kwenye majaribio yanayoendelea? Are you that dumb in any other area?

-"Blood clots involving blood vessels in the brain, lungs, abdomen, and legs along with low levels of platelets (blood cells that help your body stop bleeding), have occurred in some people who have received the Janssen COVID-19 Vaccine"

Kama una akili timamu mpaka hapa unapaswa kuwa mdogo kama dawa za mafua. Unajua athari ya damu kuganda kwenye mishipa ya Ubongo wewe? Au unadhani haya ni mambo ya ushabiki? Ukiona tunawaambia nyie kachanjeni tuacheni tulivyo, sisi sio vichaa!

- "Guillain Barré syndrome (a neurological disorder in which the body’s immune system damages nerve cells, causing muscle weakness and sometimes paralysis) has occurred in some people who have received the Janssen COVID-19 Vaccine. In most of these people, symptoms began within 42 days following receipt of the Janssen COVID-19 Vaccine"

Kausome huu ugonjwa halafu uje uniambie nani yuko tayari ku risk hii kitu kwa sababu ya Covid ambayo tumeumwa na kupona! Yaani nipate ulemavu wa kudumu kwa sababu ya chanjo? No way! Wewe kachanje tu bibi/bwana mjuaji, ila tuache kama tulivyo. Na hayo ni madhara waliyoyajua baada ya watu kuchanja ndani ya siku 42. Unajua madhara yake miaka 10 ijayo wewe? Aun una kiherehere tu kama kuku wa mdonde?

-"In an ongoing clinical trial, the Janssen COVID-19 Vaccine has been shown to prevent COVID-19 following a single dose. The duration of protection against COVID-19 is currently unknown."

Mpaka hapo kama una akili timamu unajua kwamba mko mnafanyiwa majaribio. Tunawashukuru kwa kuwa sehemu ya majaribio. Pengine mbeleni tutapata chanjo bora au mtaishia kupata madhara, hakuna anayejua. Lakini msilazimishe wengine tusioitaka hiyo chanjo. Na hapo wamekwambia kabisa hiyo chanjo inakukinga muda gani, hawajui. Sasa wewe ndugu kiherehere umeandika as if hiyo chanjo ni absolute protection, una akili kweli? Yaani aliyeitengeneza anasema hajui inakukinga kwa muda gani, halafu wewe chakujua ambaye hata maabara hujawahi ingia unaongea pumba tu.

Halafu unajifanya hujui kwa ni serikali imeifanya hiyari?

Kiufupi wewe na madiketa wenzako mnaoishauri serikali ilazimishe chanjo ni weupe kabisa kichwani. Msidhani sisi tulioamua kutochanja ni mazwazwa na wapumbavu. Tunawaangalia tu mnavyoropoka tunacheka. Kwa sababu muda mwingi hata mnachokisema hakina akili.

Serikali imeamua hii issue ni hiyari, nami naipongeza. Iendelee kuwapeni mnaoitaka chanjo na iendelee kuilinda hii hiyari ili tusioitaka tupewe uhuru wetu. Naiomba serikali iachane na vilaza wa aina yako wanaoishauri wakiwa hata hawajasoma walichoandika watengenezaji wa hizi chanjo. Hawa wakisikilizwa watalea chaos ambazo hazina msingi. Serikali isimamie hapo: Chanjo ni hiyari na anayetaka akachukue. Serikali isiingie kwenye mtego wa kulazimisha hizi chanjo. Naamini watakuwa wanafuatilia yanayoendelea duniani.

Tuna kazi ngumu ya kuujenga uchumi wetu, isikubali hii issue ya chanjo ituondoe huko!

Siku njema mjua yote!

Acha ujinga basi!
Hivi kabisa na akili zako timamu unalinganisha essential service kama choo na chanjo ambazo watengenezaji wenyewe wanasema ziko kwenye clinical trial? Hivi akili huwa mnaziweka wapi inapokuja suala la chanjo?

Nakuwekea hii fact sheet ya mtengenezaji wa chanjo hii. Soma halafu ukome kutoushughulisha ubongo wako. Yaani akili unaweka likizo kisa ni chanjo?


Hizi ni baadhi ya nukuu:

- "The Janssen COVID-19 Vaccine may prevent you from getting COVID-19. There is no U.S. Food and Drug Administration (FDA) approved vaccine to prevent COVID-19"

Hi chanjo haijawa approved kwa sababu hawajaweza ku ascertain usalama wake. Hawa ndio wenye teknolojia na ndio nchi iliyotengeneza chanjo. Sasa kama ni salama kama unavyodaio, kwa nini hawajipitisha? Unadhani unaijua chanjo kuliko wao? Ukiweza kupunguza kiherehere, ukaamua kuutumia ubongo wako kufikiri, utaelewa sababu!

- "The Janssen COVID-19 Vaccine may not protect everyone."
Okay mjuaji wa yote umeisoma hiyo? Sasa niambie unajuaje kama yupi itaweza kumlinda na yupi haitamlinda? Unadhani unajua sana chanjo kuliko walioitengeneza? Kama sio kiherehere ni nini? Ni ngebe tu, hamna unalojua!

- "The Janssen COVID-19 Vaccine has not undergone the same type of review as an FDA-approved or cleared product. FDA may issue an EUA when certain criteria are met, which includes that there are no adequate, approved, and available alternatives"

Umeelewa hiyo mjuaji wa chanjo? Hii chanjo haijapitishwa kwa sababu haijapitia hatua ambazo dawa na chanjo nyingine ambazo huwa mnazifanya kichaka chenu zimepitia. Kwa hiyo haiwezi kuwa salama kwa sababu hakuna anayejua juu ya usalama wake!

- "The Janssen COVID-19 Vaccine is an unapproved vaccine. In an ongoing clinical trial, 21,895 individuals 18 years of age and older have received the Janssen COVID-19 Vaccine"

Bwana/Bibi mjuaji umeisoma hiyo? Kama data anazo refer ni za ongoing trial, huoni kama hili linaloendelea pia ni sehemu ya hiyo trial? Maana hakuna aliposema trial imefikia mwisho. Kwa hiyo kwa akili zako, dawa iliyo kwenye majaribio inafaa kuwa mandated na serikali? Hivi hizo akili umepewa urembo ama? Yaani kabisa unalinganisha choo ambacho usalama wake tunaujua na hii chanjo ambayo wenyewe walioitengeneza wanakwambia kabisa iko kwenye majaribio yanayoendelea? Are you that dumb in any other area?

-"Blood clots involving blood vessels in the brain, lungs, abdomen, and legs along with low levels of platelets (blood cells that help your body stop bleeding), have occurred in some people who have received the Janssen COVID-19 Vaccine"

Kama una akili timamu mpaka hapa unapaswa kuwa mdogo kama dawa za mafua. Unajua athari ya damu kuganda kwenye mishipa ya Ubongo wewe? Au unadhani haya ni mambo ya ushabiki? Ukiona tunawaambia nyie kachanjeni tuacheni tulivyo, sisi sio vichaa!

- "Guillain Barré syndrome (a neurological disorder in which the body’s immune system damages nerve cells, causing muscle weakness and sometimes paralysis) has occurred in some people who have received the Janssen COVID-19 Vaccine. In most of these people, symptoms began within 42 days following receipt of the Janssen COVID-19 Vaccine"

Kausome huu ugonjwa halafu uje uniambie nani yuko tayari ku risk hii kitu kwa sababu ya Covid ambayo tumeumwa na kupona! Yaani nipate ulemavu wa kudumu kwa sababu ya chanjo? No way! Wewe kachanje tu bibi/bwana mjuaji, ila tuache kama tulivyo. Na hayo ni madhara waliyoyajua baada ya watu kuchanja ndani ya siku 42. Unajua madhara yake miaka 10 ijayo wewe? Aun una kiherehere tu kama kuku wa mdonde?

-"In an ongoing clinical trial, the Janssen COVID-19 Vaccine has been shown to prevent COVID-19 following a single dose. The duration of protection against COVID-19 is currently unknown."

Mpaka hapo kama una akili timamu unajua kwamba mko mnafanyiwa majaribio. Tunawashukuru kwa kuwa sehemu ya majaribio. Pengine mbeleni tutapata chanjo bora au mtaishia kupata madhara, hakuna anayejua. Lakini msilazimishe wengine tusioitaka hiyo chanjo. Na hapo wamekwambia kabisa hiyo chanjo inakukinga muda gani, hawajui. Sasa wewe ndugu kiherehere umeandika as if hiyo chanjo ni absolute protection, una akili kweli? Yaani aliyeitengeneza anasema hajui inakukinga kwa muda gani, halafu wewe chakujua ambaye hata maabara hujawahi ingia unaongea pumba tu.

Halafu unajifanya hujui kwa ni serikali imeifanya hiyari?

Kiufupi wewe na madiketa wenzako mnaoishauri serikali ilazimishe chanjo ni weupe kabisa kichwani. Msidhani sisi tulioamua kutochanja ni mazwazwa na wapumbavu. Tunawaangalia tu mnavyoropoka tunacheka. Kwa sababu muda mwingi hata mnachokisema hakina akili.

Serikali imeamua hii issue ni hiyari, nami naipongeza. Iendelee kuwapeni mnaoitaka chanjo na iendelee kuilinda hii hiyari ili tusioitaka tupewe uhuru wetu. Naiomba serikali iachane na vilaza wa aina yako wanaoishauri wakiwa hata hawajasoma walichoandika watengenezaji wa hizi chanjo. Hawa wakisikilizwa watalea chaos ambazo hazina msingi. Serikali isimamie hapo: Chanjo ni hiyari na anayetaka akachukue. Serikali isiingie kwenye mtego wa kulazimisha hizi chanjo. Naamini watakuwa wanafuatilia yanayoendelea duniani.

Tuna kazi ngumu ya kuujenga uchumi wetu, isikubali hii issue ya chanjo ituondoe huko!

Siku njema mjua yote!
WHO wameipitisha, au na hilo hulijui? kama una ufahamu fulani basi utakuwa unafahamu maana ya crisis management and namna ya contain epidemics/pandemics. unaposafiri na gari likakuharibikia njiani na porini utang'ang'ania upate chakula cha biriani? nyoka akiingia ghafla chumbani kwako utachagua cha kumpiga nacho? mtengenezaji na WHO walijiridhisha kuwa chanjo inaweza kutoa kinga dhidi ya corona kwa zaidi ya asilimia 70, yaani inaweza kupunguza idadi ya wanaokufa sasa, wanaougua sasa, waliojilock down sasa kwa zaidi ya 70%, wewe na wenzio mnasema hapana tuwaache hawa wafe tu kwakuwa hiyo chanjo pamoja na kupunguza kufa kwa zaidi ya 70% lakini haijulikani madhara yake ya muda mrefu. Tungekuwa na watu wanaofikiri kama hivi dunia ingeangamia yote siku nyingi, maana mpaka leo ziko dawa ambazo mwanzo zilionekana zinafaa lakini baadae zikaonekana hazifai na kupigwa marufuku kutumiwa na binadamu wote au makundi fulani ya watu kama watoto, wajawazito, wanaonyonyesha au wenye afya za aina fulani. Hata hizi chanjo zitaendelea kuboreshwa kadiri watu wanavyozitumia kama ulazima utakuwepo. Na chanjo nyingine bora zaidi zinaweza kutengenezwa, kama zilivyo antibiotics
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
wewe ni sheikh wa mkoa wa daresalaam?
 
Tugawane hio hela ulipewa ndipo nikusupport
 
Hakuna maswali yeyote, kinachosumbuwa watu kwa sasa ni utandawazi.

Hivi zile chanjo za surua, ndui, nk Nini walijadiliana na nani zikaletwa huku Afrika? Au zikakubalika na wengine?

Si tumeletewa tu? Au kulikuwa na mjadala kama huu wa chanjo ya uviko?

Kuna yeyote aliyehoji usalama wa chanjo zile?

Hakukuwa na mjadala. Kwa milongo kadhaa watu wanachanjwa ila leo kila mmoja amegeuka mwana sayansi. Nimechanja na kupata dalili za hapo juu. Kuhusu kuongezeka nguvu sijui ila najikuta nasukumwa wiki hii kusafiri kumfuata wa kumtima wangu nikampe yote ninayojisikia mwilini na moyoni.
 
Mlinganisho huo na wa polio surua haviendani mkuu sababu ilichukua muda mrefu kupatikana chanjo yake ila hii imekuja very soon yaani testing yake inafanyika directly ndio maana hata uchanjwe bado uko hatarini na zinapingwa kwa sehemu kubwa sana

Ilichukua muda kwa sababu teknolojia ilikuwa haijakua. Usilinganishe. Pia urgency ni kubwa kwa huu UVIKO-19.
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko poa, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana kwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Amka toka ndotoni utajikojolea bure.
 
Amka toka ndotoni utajikojolea bure.
Unatumia moyo badala ya ubongo kufikiri. Una faida gani hadi uogope kufa kwa chanjo? Hata upewe miaka 159 kuishi una nini Cha maana unafanya? Shetype
 
Hakukuwa na mjadala. Kwa milongo kadhaa watu wanachanjwa ila leo kila mmoja amegeuka mwana sayansi. Nimechanja na kupata dalili za hapo juu. Kuhusu kuongezeka nguvu sijui ila najikuta nasukumwa wiki hii kusafiri kumfuata wa kumtima wangu nikampe yote ninayojisikia mwilini na moyoni.
Hakika mkuu ,,,hii chanjo ni salama na hakuna madhara yeyote.
,tena haya mambo kufata mkumbo unaweza kuharibu maisha yako yote.

Jambo lolote kabla ya kulifanya kwanza unapaswa ulipime.

Wapo watu fulani waliambiwa kupata chanjo au kazi basi..
Wao waliamua kuacha kazi yenye maslahi kisa kukubali kuchanja.
 
Unazungumzia chanjo za watoto ila mimi nazungumzia chanjo za corona kuwa hazikufanyiwa majaribio kwa watoto, chanjo huwa zinajaribiwa kwa rika tofauti tofauti kwahiyo siku kusudia hizo chanjo ambazo ni kwa ajiri ya watoto.
Hebu tuambie namna chanjo ya polio, pertussis, Diphtheria, Tetanus, surua, na flu ambazo umeshachanjwa kabla hujafikisha umri wa mwaka mmoja zilivyotengenezwa na kilichomo kwenye chanjo hizo na madhara yake. Au unakariri kama kasuku tu.
 
Hakika mkuu ,,,hii chanjo ni salama na hakuna madhara yeyote.
,tena haya mambo kufata mkumbo unaweza kuharibu maisha yako yote.

Jambo lolote kabla ya kulifanya kwanza unapaswa ulipime.

Wapo watu fulani waliambiwa kupata chanjo au kazi basi..
Wao waliamua kuacha kazi yenye maslahi kisa kukubali kuchanja.
Kaka nimeshaona watu wengi ambao mwanzo walisita kuchanja sasa wananiuliza wapi wakachanje bila kukutana na foleni. Hawa ni wale waliokuwa wakisubiri damu za waliochanja zigande na kufa, lakini wanawaona wanadunda mitaani tena kwa furaha zaidi na kujiamini kuliko wao. Hata hawa wanaopinga humu jf wana wasiwasi kubwa mioyoni mwao kama wachanje au wasichanje, hasa baada ya kuona misululu ya watu wanaochanja wakiwemo watu muhimu kuliko wao kama Marais wa dunia, mawaziri, matajiri, wanajeshi wa marekani na NATO wote, wachezaji wote wa EPL, VPL (simba na yanga wote kabisa), Series A, LaLiga, Bunde na hata Messi. Wao wana thamani gani hata iwaogopeshe kuchanja, lazima wanakosa raha na amani kwenye nafsi zao.

Sisi bwana tumechanja, na tunaongozwa na misemo ya "Sayansi haidanganyi" na "kifo cha wengi harusi" na "kila nafsi itaonja umauti"
 
Kaka nimeshaona watu wengi ambao mwanzo walisita kuchanja sasa wananiuliza wapi wakachanje bila kukutana na foleni. Hawa ni wale waliokuwa wakisubiri damu za waliochanja zigande na kufa, lakini wanawaona wanadunda mitaani tena kwa furaha zaidi na kujiamini kuliko wao. Hata hawa wanaopinga humu jf wana wasiwasi kubwa mioyoni mwao kama wachanje au wasichanje, hasa baada ya kuona misululu ya watu wanaochanja wakiwemo watu muhimu kuliko wao kama Marais wa dunia, mawaziri, matajiri, wanajeshi wa marekani na NATO wote, wachezaji wote wa EPL, VPL (simba na yanga wote kabisa), Series A, LaLiga, Bunde na hata Messi. Wao wana thamani gani hata iwaogopeshe kuchanja, lazima wanakosa raha na amani kwenye nafsi zao.

Sisi bwana tumechanja, na tunaongozwa na misemo ya "Sayansi haidanganyi" na "kifo cha wengi harusi" na "kila nafsi itaonja umauti"
Hakika mkuu,,
Mimi nilipata moyo baada ya kuona hata wazungu wnyewe wanalazimishwa kuchanja.
Nikasema jinsi wazungu wanavyopenda raia wao,
Kweli watakubali wauwe watu wao?
Kwl watakubali kuwapa sumu watoto na jàmaa zao wafe?
Nikaona hapana..

Hii ni salama zaidi.
Hakuna chanjo ya majaribio ikapigwa dunia nzima..
Tena itafika wakati watachanjwa kwa pesa hapo ..
Wewe subiri tu.
Ngoja chanjo iwaingie akilini.
 
Hakika mkuu,,
Mimi nilipata moyo baada ya kuona hata wazungu wnyewe wanalazimishwa kuchanja.
Nikasema jinsi wazungu wanavyopenda raia wao,
Kweli watakubali wauwe watu wao?
Kwl watakubali kuwapa sumu watoto na jàmaa zao wafe?
Nikaona hapana..

Hii ni salama zaidi.
Hakuna chanjo ya majaribio ikapigwa dunia nzima..
Tena itafika wakati watachanjwa kwa pesa hapo ..
Wewe subiri tu.
Ngoja chanjo iwaingie akilini.
Kaka mtu huwezi kuishi kwa kubahatisha, huwezi kufikiria negative ukafika mbali, huwezi ukapinga na kushawishi watu kwakutumia dhana, eti eti eti. Bibi yangu alikufa hajapanda gari kwa kuogopa ajali barabarani, ingawa ni kweli magari yanasababisha ajali lakini ni kweli kila anaepanda gari atapata ajali? je, ni kweli kila gari barabarani litapata ajari?. Hivi huyo mtengeneza chanjo ana akili gani kushinda watu wote na taasisi zote (WHO, UNICEF, CDC, FDA, FBI, CIA, TAKUKURU) hadi aipe sumu dunia nzima kwa chanjo zake bila kugunduliwa?. Kweli wajinga hawaishi hadi dunia iishe. Yuko mtu mpaka leo yuko tayari kutii maagizo ya mganga apeleke kuku mwenye manyoa ya rangi tatu ili akatibiwe TB. Na kila taifa linao wajinga wao.
 
Back
Top Bottom