#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

Unateseka ukiwa wapi MKUU?
Nikiwa Sayari ya dunia. Sina cha kutesekea. Nina furaha tele ndani ya Yesu.

Uliza saudia wanatumia chanjo gani?
Dah! Yaani na wewe una ngebe nyingi ila ni mweupe sana. Kwa hiyo Saudi wakifanya kitu ndio standard ya kisayansi?
Mweupe kabisa wewe πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Wacha kuaminisha watu upuuzi,,
Watu weupe kichwani kama wewe huwa hawajibu hoja wanaongea tu maneno matupu. Onyesha upuuzi wangu kwanza. Sio unapiga taarabu zaidi hata ya Nasma!

Unaogopa chanjo lakini wanawake wabovu unagegeda pekupeku.
Nitake radhi kama ni muungwana. Umekosa hoja umekuja kwenye matusi. Ok, baada ya kunitusi, chanjo imegeuka kuwa salama? Au ndio majibu ya kisayansi haya mnayodai mnayo?

There is 1000 ways to die MKUU,,no way to escape death.
Waambie wenzako ambao mungu wao chanjo wanampigania kufa na kupona. Sisi wengine tunajua wakati wa BWANA ukifika unaondoka na tunaishi bila mashaka. Na ukweli tunawaambia kwa data kabisa. Sio kwa matusi kama yako.

Yaani tunawapa data toka jikoni kabisa. Na kwa kuwa hamuwezi kuzijibu mnabakia kutukana na kutishia watu. Hicho pekee ndio mnaweza kufanya kwa sababu sayansi na uhalisia havipo upande wenu!

Uwe na siku njema!
 
 
Side effects haziwezi kufanana kwa sababu uwezo/kinga katika mwili zinatofautiana kati ya mtu na mtu
 
Matusi yako wapi?
Kwani matangazo ya kutumia condom ni kutukana watu?

Ukwl mchungu,watu wanakataa chanjo wanasema sio salama.
Lakini kugegeda peku peku.
Unakwepa nn?

There are 1000 ways to die mkuu
pia, wapi nimesema Nina ngebe?

Nimetaja saudia baada ya kupinga hakuna chanjo duniani inaitwa faizer.
Nikamwambiya uliza Saudia wanatumia chanjo ipi?

Au hilo la peku peku nimepiga kwenye korodani?
 
Umeshindwa kusema ukweli mkuu. Hayo yote uliyosema yaweke kinyume chake.usidanganye watu !!!
 
Matusi yako wapi?
Kwani matangazo ya kutumia condom ni kutukana watu?
Mpumbavu kabisa wewe. Yaani umenitusi na hujaona? halafu unajiona una akili ya kuzungumzia sayansi kabisa.
Kwenda zako huko!

You are proudly getting into my ignore list. Won't waste time with reprobate idiots!
 
90% hawana magonjwa mengine.
Mfano kisukari,nk
Kwa ninavyoelewa mimi watu wenye hayo magonjwa kinga zao za mwili huwa ni dhaifu ndio maana wao kwenye hatari kubwa kwenye corona ila ukiachana na hayo yapo mambo mengine yenye kuweza kushusha kinga zetu za mwili.
 
Kinga sahihi kwa maradhi mbalimbali huwa inatengenezwa na mwili wenyewe kwa kula vyakula vya kuutosha mwili, ili kupona au kufa (natural history) unapopata maambukizi itategemea na idadi wajidudu vilivyoingia mwilini (dose of infection), ukali wa vijidudu (virulence), na uimara wa kinga ya mwili wa mtu (survival of the fittest). Mchakato huu unasababisha watu wengi kupoteza maisha, watu wengi kupata ulemavu na watu wengi kupona kwa mwili kuzalisha wenyewe kinga dhidi ya vijidudu vya ugonjwa (the fittest survived).

Matumizi ya chanjo yanasababisha hata wale ambao hawako fiti (wazee, wagonjwa, watoto na dhaifu), waliopata idadi kubwa ya vijijidudu vya maambukizi kwenye miili yao na waliombukizwa na aina (strain) ya vijidudu vikali sana waweze ku survive dhidi ya ugonjwa. Hivyo, chanjo inasaidia sana wale watu wenye hofu ya kufa, wasio na afya nzuri, wasio na kinga nzuri na wale ambao wanauwezekano mkubwa wa kupata vijijidudu vingi vya ugonjwa ndani ya miili yao kama vile wahudumu wa afya, watua usafiri wa daladala, wanaotazama mpira uwanjani na vibanda umiza, na kwenye mikusanyiko ambayo inachukuwa muda mrefu watu kukaa pamoja.

Kama ukikataa watu wasichanje maana yake unataka wabaki hai wale tu ambao miili yao ina uwezo wa kupambana ma maradhi hadi mwisho (afya bora), wanaozuia kuingiwa mwilini na vijidudu vingi sana vya maradhi (barakoa, kunawa, sanitize na kujitenga) na wale wanaoepuka kupata aina (strain) hatari zaidi ya vijidudu (kuepuka kusafiri kwenda sehemu zenye aina mpya na hatari ya vijidudu)
 
sijaona mwanasayansi hata mmoja aliyepinga hizi chanjo kwa kuzifanyia utafiti na kugundua namna zinavyohatarisha maisha ya watu. Wanasayansi wetu uchwara wanapinga kwa kutoa uzoefu wao tu wa inavyotakiwa kuwa. Lakini sijaona mwanasayansi alichukua kijichupa (vial) cha hizi chanjo na kwenda nazo maabara akizichambue kisayansi na kutuletea majibu kuhusu hatari za chanjo hizi. yaani ni madomokaya kaya yanaobwabwaja kwa kutumia hisia zao na kuelezea namna ya kutengeneza chanjo na hatua zake, lakini hawatuambii sayansi iliyomo ndani ya hizi chanjo, hasemi kuhusu mchango wa maendeleo ya sayansi kwenye tiba. Hawasemi kuhusu matumizi ya MRI badala ya X rays, hawasemi kuhusu Laser (matobo) kwenye upasuaji.
 
Sawa nitakulink pia na wachezaji wa Simba na Yanga na viongozi wao (cohort yetu) ambao Prof. Janabi aliwezesha uchanjwaji wao pale Muhimbili kabla ya kuelekea Morocco preseason ili upate feedback zetu kwa pamoja.
 
Kwa ninavyoelewa mimi watu wenye hayo magonjwa kinga zao za mwili huwa ni dhaifu ndio maana wao kwenye hatari kubwa kwenye corona ila ukiachana na hayo yapo mambo mengine yenye kuweza kushusha kinga zetu za mwili.
Ndy maana over 40 na kuendelea kinga muhimu sana.

Hivi MKUU Mara ya mwisho ni lini kufanya fully body check up ?
Na kujuwa huna tatizo lolote?
 
Mpumbavu kabisa wewe. Yaani umenitusi na hujaona? halafu unajiona una akili ya kuzungumzia sayansi kabisa.
Kwenda zako huko!


You are proudly getting into my ignore list. Won't waste time with reprobate idiots!
Mkuu mbona mapovu yamekutoka kiasi hicho?

Kwani kutumia kinga pia si hiyari?
Sasa kosa liko wapi kukwambiya unakwenda peku peku?

Ukigopa chanjo.
Na wanawake wabovu tumia mpira...
 
Duh!

Huo unaoita uzowefu wao ndio sayansi na ndio maana nikasema wanapinga kisayansi hivyo usichanganye na habari za Gwajima.
 
Nikiwa Sayari ya dunia. Sina cha kutesekea. Nina furaha tele ndani ya Yesu.


Dah! Yaani na wewe una ngebe nyingi ila ni mweupe sana. Kwa hiyo Saudi wakifanya kitu ndio standard ya kisayansi?
Mweupe kabisa wewe πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kuna walikuwa wakimtanguliza Mungu katika kila jambo na wameondoka kwa corona, na wengine walikuwa na makanisa kabisa. acha kumjaribu mungu wako bure.
 
Wrong analogy.
 
Duh!

Huo unaoita uzowefu wao ndio sayansi na ndio maana nikasema wanapinga kisayansi hivyo usichanganye na habari za Gwajima.
Yaani uzoefu wako ni kupanda bus la Lay-land lililochukua masaa 10 kutoka Dar-Moro, ukiambiwa siku hizi kuna yanayochukua masaa 3 tu hutaki. Ukiambiwa siku hizi kuna ndege inakwenda USA moja kwa moja bila kutuwa Amsterdam hutaki, hiyo ni sayansi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…