Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Kuna mikasi humu kwenye stori yako mkuu???😂😂
Na matako ya kuning'inia??? Nataka kuweka kambi
 
Mkuu mimi nipo curious kujua hiyo hela ya kuweka akiba bank na nauli ulipataje kwakuwa umesema ulikuwa huna ajira na hali ya maisha ilikuwa ngumu kwako.

kila mtu ana benchmarks zake anaposema jambo. Like weweunaweza sema leo huna hela Same time una elfu 50 kwenye wallet. nahii inakua defined na uchumi wako.

Jamaa huenda ana uwezo wa kukusanya milionmoja but anahitaji milion100
 
kila mtu ana benchmarks zake anaposema jambo. Like weweunaweza sema leo huna hela Same time una elfu 50 kwenye wallet. nahii inakua defined na uchumi wako.

Jamaa huenda ana uwezo wa kukusanya milionmoja but anahitaji milion100
Sure Mzee kuna watu wakisema hawana pesa it doesn’t mean kwamba hana kabisa ila pesa alizonazo hamzitoshi kwa malengo yake aliyojipangia.
 
Stori inakatika Kama umeme wa tanesco!!
 
Hizi stori za hv nazisomaga kwa Makin Sana Kama nipo chumba Cha mtihani.

Zinanivutiaga Sana.
.Nawew ndo utupe nzima nzima Sas sio nusu nusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…