HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
OKIlirudi 2013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OKIlirudi 2013
Hali yangu ya kiafya au kijamii?Mkuu vp hali yako kwa sasa,
Ilianza kabla wewe hujazaliwa, ilisimama miaka ya 1990'.JKT kwa mujibu imeanza 2014 hivi
Mafanikio yako mafanikio yetu,kama ulipata ukachezea kufaulu kwako kufaulu kwetu pia,hivyo kama yamejikita ni muda wa kutuliza akili ili isiingie kwenye lile kundi la kichaa mmoja kati ya watz 4.kwa mijini ya takwimu za wadau fulani,ilikuwa sijui twaweza wale🥱Mafanikio yangu yanakuhusu nini?
Who are you?
Kafoka huyo ,balaa kama hayuko juu ya mawe pamoja na madolari aliyoyaeleza ya enzi hizo sijuuui🥱Atalijibu tu wacha nizungumze nae kwa kina
ExtrovertAlooh kweli mzee, ma Ranger wana mkwanja yani hela sio ya wasiwasi kabisa. Ishu ya Riziki ni Mungu tu mzee kwa sababu ndani ya muda mchache unaweza kufunguliwa koki ya hela usielewe hata imekuwa kuwaje yani.
Utashanga mambo yana flow unakamilisha plan zako zote kwa wakati muafaka bila kukwama yani. Ni riziki tu Mungu anakunyooshea na hamna mtu wa kuzuia
katukera kuacha kazi wakati alikuwa na muda wa kuendelea kufanya makusanyoKwa
Kwani hapa kaja kuomba msaada au kuelezea tu? Kuna sehemu kajutia!!
Nilitoka huko miaka 9 imepita. Nisije nikajibu outdatedMkuu hivi Kwa wanaofanya internship TANAPA huwa Wana posho maana nilitaka niombe nafasi ya internship
VP mkuu ulirudi Tena kwenye ajira?Nilitoka huko miaka 9 imepita. Nisije nikajibu outdated
Niliacha huko baada ya miezi michache nikapata kazi sehemu nyingine.VP mkuu ulirudi Tena kwenye ajira?
Anhaa sawa sawa. Uko vizuri mkuu.Niliacha huko baada ya miezi michache nikapata kazi sehemu nyingine.
Si unajua enzi za Kikwete ajira za kujichotea tu