Changamoto kweli hapa maana hatujui kilichowafanya wakosane kiasi hiki.Ni kwamba mama yao kawakataza kuwasiana na wewe ama wewe umekosa namna ya kuwasiliana nao kwenye ulimwengu huu wa kidigitali.
HahahahahaaaaaHizi story za kuzamia zimenikumbusha jamaa tunafahamiana kiasi, kaenda States 2019 hapo kama daktari na hata stethoscope hawezi kuitaja achilia mbali kuijua.
Mwingine kasepa Canada mwaka jana, kufika inabidi ajifanye kakimbia vitendo vya unyanyapaa na ukatili kwa mashoga. Na mshkaji ni muislam safi, na hajui kitu kabisa kuhusu hizo mambo.
Cc dronedrakeYule mwanamke wa kizungu alifanya niwachukie wanawake wote,nikapata mwanamke wa kichaga baada ya kurudi nchini nae alinizingua sana,nina chuki na wanawake na sitokuja kuoa
Chai ya leo ya moto
Inawezekana kabisa kwa vile pengine hakuwa hata na work permit kwa hivyo alijulikana kuwa ni illegal immigrant.Kofi moja tu iwe sababu ya kuwa deported kama "Prohibited Immigrant", tena same day unatinga jela? Polisi waliokukamata ndiyo walifanya maamuzi ya kukupakia kwenye ndege bila ya kushirikisha immigration?
Hiyo ni next available flight na ukitua bongo unafikia jelaInawezekana kabisa kwa vile pengine hakuwa hata na work permit kwa hivyo alijulikana kuwa ni illegal immigrant.
Illegal immigrant ukikamatwa kwa kitu cha kijinga tu unarudishwa nyumbani na hupewi hata nafasi ya kupita nyumbani kubeba vitu vyako.
Siyo kweli. Huyu jamaa hakutiwa hatiani kwa lolote na alikuwa na familia. Kumpiga wife kofi moja siyo sababu ya kuwa deported bila kufikishwa mbele ya hakimu kwenye immigration court. Hata wale Wahamiaji Haramu wanaokamatwa kwa makosa ya traffic hufikishwa mbele ya hakimu, na hukaa rumande miezi mingi kabla ya hatma zao kuamuliwa. Isitoshe, Polisi hawana mamlaka ya kufanya deportation. Hiyo ni kazi ya ICE .Inawezekana kabisa kwa vile pengine hakuwa hata na work permit kwa hivyo alijulikana kuwa ni illegal immigrant.
Illegal immigrant ukikamatwa kwa kitu cha kijinga tu unarudishwa nyumbani na hupewi hata nafasi ya kupita nyumbani kubeba vitu vyako.
Kwa ambao hawajawah kusoma au kufika nje watajua ni chai. Nishaona wa Nigeria kibao wanalala Central Station hadi wapate mademu wa kuwabeba wapambane maisha yaende.Ahaaa nipo huku Kizuramimba naendesha bodaboda
Nimeandika kwa ufupi sana ila yule mama alijipanga kuna makandokando mengi nilikuwa nayo siwezi kuyaanika hapa,ukichanganya nilikuwa na student visa na sikuwahi kujoin chuo chochoteSiyo kweli. Huyu jamaa hakutiwa hatiani kwa lolote na alikuwa na familia. Kumpiga wife kofi moja siyo sababu ya kuwa deported bila kufikishwa mbele ya hakimu kwenye immigration court. Hata wale Wahamiaji Haramu wanaokamatwa kwa makosa ya traffic hufikishwa mbele ya hakimu, na hukaa rumande miezi mingi kabla ya hatma zao kuamuliwa.
Ndio ndio mwenyekiti wetu wa operation kataa ndoaYule mwanamke wa kizungu alifanya niwachukie wanawake wote,nikapata mwanamke wa kichaga baada ya kurudi nchini nae alinizingua sana,nina chuki na wanawake na sitokuja kuoa
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaa bana!!?
kwa hiyo siku ya kwanza ukafika Newyork
hukufanikiwa kukutana na jamaa yako.
Ukalala kitaani.
Siku ya pili ukajichanganya kitaa kwa shughuli za hapa na pale!!??
Siku ya tatu ukazaa na mzungu watoto wawili!?
Siku ya nne wakakurudisha bongo kama illegal migrant!?.
Hii kiboko hata kama summary hii sio summary.
Ndoa sio mbaya kitu wanachofeli watu wengi kwenye ndoa ni uchaguzi wa huyo mwenza. Mtu unamkuta kitabia na kifamilia alikotoka ni class D anataka kujichomeka kuoa mwanamke aliezaliwa na kukulia class A.. Hio ndoa haitakaa idumu; ndio maana mataifa ya wenzetu kuna classes huwezi kuivuka kwenda kuoa huko juu ingawaje nao sometimes ndoa zao siku hizi zina changamoto. Kama wewe ni class D unatakiwa uoe class G Au H huko toka kijijini. sasa siku hizi mtu kapata vipesa kidogo tu kaona Tako anataka ndoa... lazima uliwe hapo .Ndio ndio mwenyekiti wetu wa operation kataa ndoa
Hizi Classess India wanatingatia sana yaani kila mtu akizaliwa anajijua yuko social strata ipi.huwezi kumove besond your strata ,kwanza watakushangaaNdoa sio mbaya kitu wanachofeli watu wengi kwenye ndoa ni uchaguzi wa huyo mwenza. Mtu unamkuta kitabia na kifamilia alikotoka ni class D anataka kujichomeka kuoa mwanamke aliezaliwa na kukulia class A.. Hio ndoa haitakaa idumu. ndio maana mataifa ya wenzetu kuna classes huwezi kuivuka kwenda kuoa huko juu ingawaje nao sometimes ndoa hazidumu. Kama wewe ni class D unatakiwa uoe class G Au H huko toka kijijini. sasa siku hizi mtu kapata vipesa kidogo tu kaona Tako anataka ndoa... lazima uliwe hapo .
India wanazo sana hizi classes na ulaya zipo hizi, ndio maana ukiona mwafrika yupo kaoa mzungu ujue huyo mzungu wa lower classes. High classes kuolewa na kapuku mweusi mbeba mabox haipo hio, maana kwanza mtakutana wapi?? Sasa mbongo kakulia huko kazuramimba kaja Daslama mtu mzima kama baba Levo unaparamia mtoto aliekulia O'bay lazima watoto wa mjini watakusaidia tu na ndoa itakushinda. Ndoa ni kuangalia mtu mnaeendana nae, tena uwe umemzidi vitu vingi sana. Haya tuendelee na story yetu ya New York huko, huu mchezo wa kuwakimbia wabongo mamtoni upo sana. Mtu unawasiliana nae toka Dar ukishuka JFK unakuta hola ukipiga simu zinaenda voice mail..Tumezipitia hizi haahaahaa.Hizi Classess India wanatingatia sana yaani kila mtu akizaliwa anajijua yuko social strata ipi.huwezi kumove besond your strata ,kwanza watakushangaa
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe jamaa bana!!?
kwa hiyo siku ya kwanza ukafika Newyork
hukufanikiwa kukutana na jamaa yako.
Ukalala kitaani.
Siku ya pili ukajichanganya kitaa kwa shughuli za hapa na pale!!??
Siku ya tatu ukazaa na mzungu watoto wawili!?
Siku ya nne wakakurudisha bongo kama illegal migrant!?.
Hii kiboko hata kama summary hii sio summary.