Kweli kabisaaWapopo huwa hawatupani mkuu. Sisi ndiyo wajinga tunalostishana sasa sijui ni roho mbaya au ni vipi? Ni bora mtu umwambie mtu hali halisi kuliko kumdanganya wakati uwezo wa kumsadia huna.
Hizi akili fupi zimejaa sana siajabu mpaka leo fisiemu bado wanatawalaMbona story inaeleweka iyo, simple unasoma unaelewa.
Au wewe unataka mambo ya ITAENDELEA...........
Huwezi kumdanganya mzungu kitoto hivyo lazima wakupime na mzigo watakuomba tu,witness asijidanganyeKha! HAHAHA! Witness naanza kupata wasiwasi na wewe sasa... mbona unaanzisha ubishi ambao hauna hata mantiki?!
Unawajua wazungu vizuri wewe?! Acha kabisa! Waonage hivyohivyo tu hawa nguruwe π ππΎ
Mungu akuzidishie moyo mzuri na mwema na akubariki always!Pole sana mkuu. Huyo Mudy White fala sana... Mimi niko Europe na nimeshasadia watu waliotoswa kama wewe. Jamaa walikuwa wanawa-promise mambo kibao wakishaingia wanawakimbia.
Napiga mzigo nasepa,nikioa ijumaa jumatatu naacha ahaaaStory nzuri na ina mafunzo kwa vijana wenye vision .
Pia hustle la abroad lina heshima kubwa endapo tu unafanikiwa lkn ukishindwa ndo dharau znakuwa nyingi kwa street.
Usikate tamaa mkuu,mwanamke usimchukie take their weakness as an opportunity for ur hustling.
Ina maana siku iz ni mzee wa nyeto tu?
Hii stori angeandika umughaka ingeisha baada ya miaka 10 ijayo, hapa tu kaenda kigamboni anasimulia stori mwezi wa 5 huu
Kama huwa unasikiliza Hip-hop hasa za nyumbani Bongo Kuna ngoma moja ya Fid Q kuna mstari anasema "Sad-thruth... wabongo wengi hawapendani majuu"Wabongo ndio tabia zetu,Mungu akubariki sana mkuu kwa
Hongera sana mkuu,Mungu akubariki,watanzania ndio tulivyo,huwezi kuta watu from West Africa wanafanya ujinga huo
Wewe jamaa bana!!?
kwa hiyo siku ya kwanza ukafika Newyork
hukufanikiwa kukutana na jamaa yako.
Ukalala kitaani.
Siku ya pili ukajichanganya kitaa kwa shughuli za hapa na pale!!??
Siku ya tatu ukazaa na mzungu watoto wawili!?
Siku ya nne wakakurudisha bongo kama illegal migrant!?.
Hii kiboko hata kama summary hii sio summary.
Hiki sio kirundi kweliwanahunyahunya
Umeanza vizuri mwisho umeharibu sema salute sana Kwako π ππΎStory nzuri na ina mafunzo kwa vijana wenye vision .
Pia hustle la abroad lina heshima kubwa endapo tu unafanikiwa lkn ukishindwa ndo dharau znakuwa nyingi kwa street.
Usikate tamaa mkuu,mwanamke usimchukie take their weakness as an opportunity for ur hustling.
Ina maana siku iz ni mzee wa nyeto tu?
Kabisa Mkuu.Umughaka na story teller atunge tu vitabu atauza jamaa anajua
Wazungu wanakusoma tu kwenye macho wanajua unadanganyaHuwezi kumdanganya mzungu kitoto hivyo lazima wakupime na mzigo watakuomba tu,witness asijidanganye
Hapo sasa halafu anakuelekeza hotel ya 5star muweze kujadili vizur inshu ya viza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na ndio anamuhuri wa visa????
HEhehe! Ndo unavyofanyagwa hivyo Bi.nyani ngabu A.K.A Njabu ngabu
Watu kama wewe hata mkifa ardhi zinawakataa... mkizikwa mnatemewa baharini. Eti mnadai haki zenu πππ
shoga na lenyewe lina haki?!
Kazi ya umughaka hiyo anahadithia hadi alivompindua msukule na kumpiga vibao vya matako,jamaa ameenda straight!Hiyo summary yako ungejazia nyama kidogo.
Hapo chini mfano ungefafanua kidogo juu ya huyo jamaa yako wa Newyork aliyekukimbia ili watu waelewe ie hakuwahi kukutafuta tena ama na ww hukuangaika kumtafuta tena au vipi!?
Pili ungezungumzia swala la chuo. Mfano hata baada ya kupata vibarua bado pesa ilikuwa haitoshi kuingia chuo kulipa ada (tuition fee) ama ndio maisha uliamua kuyapeleka kivingine.
Tatu ungefafanua kidogo ulivyokutana na huyo mama wa kizungu mpaka mkawa wapenzi.
Mkuu hizi story hasa hizi za real life watu wanajifunza usichukulie simple simple.