mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
Wakimtafutia basha aishi naye sasa!! AsizugeHizi story za kuzamia zimenikumbusha jamaa tunafahamiana kiasi, kaenda States 2019 hapo kama daktari na hata stethoscope hawezi kuitaja achilia mbali kuijua.
Mwingine kasepa Canada mwaka jana, kufika inabidi ajifanye kakimbia vitendo vya unyanyapaa na ukatili kwa mashoga. Na mshkaji ni muislam safi, na hajui kitu kabisa kuhusu hizo mambo.
Kuna kiwanja kipya cha machoko wenzio Mlimani kuleNaona babako alikufiraga utotoni unaparamia watu usiowajua kwa uslolijua.
Jamaa amezingua. Story yake ni nzuri lakn amepunguza mvutoKazi ya umughaka hiyo anahadithia hadi alivompindua msukule na kumpiga vibao vya matako,jamaa ameenda straight!
Unaelewa maana ya PI (prohibited immigrant) ni marufuku kukanyaga USA labda nikate rufaa
Mbichiiiiiiiiii hata kiwandani haijapelekwa.[emoji477][emoji478][emoji478][emoji478][emoji261][emoji261][emoji261]View attachment 2496147
Kwenye maisha niliwah kuwazaga hili kwamba mzungu tunaokota sisi ni tia maji tia maji huko kwao, japo sisi maazo hututuma kwamba nimeoa mzungu sasa mimi na ukoo wangu tutaaga umasikini.India wanazo sana hizi classes na ulaya zipo hizi, ndio maana ukiona mwafrika yupo kaoa mzungu ujue huyo mzungu wa lower classes. High classes kuolewa na kapuku mweusi mbeba mabox haipo hio, maana kwanza mtakutana wapi?? Sasa mbongo kakulia huko kazuramimba kaja Daslama mtu mzima kama baba Levo unaparamia mtoto aliekulia O'bay lazima watoto wa mjini watakusaidia tu na ndoa itakushinda. Ndoa ni kuangalia mtu mnaeendana nae, tena uwe umemzidi vitu vingi sana. Haya tuendelee na story yetu ya New York huko, huu mchezo wa kuwakimbia wabongo mamtoni upo sana. Mtu unawasiliana nae toka Dar ukishuka JFK unakuta hola ukipiga simu zinaenda voice mail..Tumezipitia hizi haahaahaa.
Umeturejesha njombe kwenye mashamba kabisa[emoji477][emoji478][emoji478][emoji478][emoji261][emoji261][emoji261]View attachment 2496147
Kikubwa rangi tu mkuu,hizo classess zitajijuaKwenye maisha niliwah kuwazaga hili kwamba mzungu tunaokota sisi ni tia maji tia maji huko kwao, japo sisi maazo hututuma kwamba nimeoa mzungu sasa mimi na ukoo wangu tutaaga umasikini.
Hii ya kujifanya shoga inalipa sana siku hizi mambele
Ningekuwa kidume tayari ningejigeuza cocastic nile bata Canada
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wakimtafutia basha aishi naye sasa!! Asizuge
Namm ni mzee pia,usikariri kudhani jeifu wote ni watoto wenzioUmekariri misemo ya kizee...watoto hawatafuti baba zao siku hizi we baba ndo uangaike kuwasaka
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hujui kitu! Popoma alishawahi fanya kazi Jamii Forum kwa taarifa yako sasa!Ulivyo mtaja tu popoma Ndio umeharibu story yote.
1. Popoma hajawahi kufika dar tangu azaliwe.
2. Amezaliwa Bunda vijijini amekulia Bunda Mjini akasomea chuo cha Ualimu tarime. Sasa hivi anafundisha Mugetta Education Center huko Mugumu Serengeti.
# ila utoto raha unajitekenya tu mkuu.
# mwaka 2001 ukatusua viza ya Us kwenye interview ya KWANZA. Very interesting [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]