Nilivyotelekezwa na rafiki yangu Queens Bridge, New York nikiwa sina hata 100 mfukoni

Nilivyotelekezwa na rafiki yangu Queens Bridge, New York nikiwa sina hata 100 mfukoni

Wewe jamaa bana!!?
kwa hiyo siku ya kwanza ukafika Newyork
hukufanikiwa kukutana na jamaa yako.
Ukalala kitaani.
Siku ya pili ukajichanganya kitaa kwa shughuli za hapa na pale!!??
Siku ya tatu ukazaa na mzungu watoto wawili!?
Siku ya nne wakakurudisha bongo kama illegal migrant!?.
Hii kiboko hata kama summary hii sio summary.
Kichwa yako ni ajabu sana we jamaa! Yaan kama sio mwanaume... au we ni bi-?! Maana hata mwanamke hawezi kuanzisha argument ya kishamba namna hii

Sio kila uzi ujibu... kama unahisi umedanganywa au huelewi potezea... sioni cha kubisha au kutengenezea hoja hapo. Story iko clear na inaeleweka.
 
Hiyo summary yako ungejazia nyama kidogo.
Hapo chini mfano ungefafanua kidogo juu ya huyo jamaa yako wa Newyork aliyekukimbia ili watu waelewe ie hakuwahi kukutafuta tena ama na ww hukuangaika kumtafuta tena au vipi!?
Pili ungezungumzia swala la chuo. Mfano hata baada ya kupata vibarua bado pesa ilikuwa haitoshi kuingia chuo kulipa ada (tuition fee) ama ndio maisha uliamua kuyapeleka kivingine.
Tatu ungefafanua kidogo ulivyokutana na huyo mama wa kizungu mpaka mkawa wapenzi.
Mkuu hizi story hasa hizi za real life watu wanajifunza usichukulie simple simple.
Maisha ya huko si kama ya kwenu Afrika... ukikaa huko muda mchache uta-apply tabia na utajikuta automatically zipo damuni tayari... kwa mfano:- ego, kutokujali kuhusu ambacho hakikuhusu wala hakikusaidii, ubinafsi, swala la muda n.k...


hutaona umuhimu wa kumtafuta mtu ambaye alikufanyia ushenzi na ukatili once kwa sababu kila mtu anapambania game ya life yake binafsi. Huwezi kuelewa ulizaliwa hapa na una ndoto ya kufia hapa hata watoto wako hutaki wapate exposure na wafike mbali kimaisha that's why!
 
Bwana wa kizungu au
Wapumbavu wa design yenu mnaishiaga kufa masikini na wala hamkuwahi kujaribu chochote! Toto linazaliwa linarithi umasikini wa BABA MJINGA WA DESIGN YAKO. kuwa na demu wa kizungu wewe unaona haiwezekani?! Au kwenda ulaya au Marekani unaona haiwezekanj?!

Badilika hommie... utakufa na utarithisha wanao umasikini! Cha ajabu huenda hata watoto wako mpaka sasa Passport hawana na hawazijui... wanahunyahunya kitaa tu waje kuongeza list ya vijana Unemployed kitaa na elimu yenu ya tia maji tia maji...

GROW UP YOU FOOL!
 
Kofi moja tu iwe sababu ya kuwa deported kama "Prohibited Immigrant", tena same day unatinga jela? Polisi waliokukamata ndiyo walifanya maamuzi ya kukupakia kwenye ndege bila ya kushirikisha immigration?
U don't know anything kuhusu Majuu we punga!

Hata kumshika demu bila ridhaa yake inaweza kukurudisha kwenu, kupewa kesi na kuwekwa kwenye black-list!
 
Pole sana mkuu. Huyo Mudy White fala sana... Mimi niko Europe na nimeshasadia watu waliotoswa kama wewe. Jamaa walikuwa wanawa-promise mambo kibao wakishaingia wanawakimbia.
Wabongo ndio tabia zetu,Mungu akubariki sana mkuu kwa
Pole sana mkuu. Huyo Mudy White fala sana... Mimi niko Europe na nimeshasadia watu waliotoswa kama wewe. Jamaa walikuwa wanawa-promise mambo kibao wakishaingia wanawakimbia.
Hongera sana mkuu,Mungu akubariki,watanzania ndio tulivyo,huwezi kuta watu from West Africa wanafanya ujinga huo
 
Vyuo vya kata havikuwepo enzi hizo kwa kozi ya sheria kulikuwa na Udsn,Mzumbe na Tumaini tu,Udom haikwepo
Ila mimi sio jobless nilirudi na English na ujanja ujanja wa mbele siwezi kufa njaa
Vijanatz.com
 
Wazungu wana heshima sana hawawezi kukutatua from nowhere....we ukiwambia mi ni gay mchezo umeisha, umeula tayari

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Je ukute jamaa ni mende kitendo cha kumwambia kuwa ww ni gay na matamanio yanamjia hapo hapo,Mara akuombe mzigo na hujawahi [emoji2]
 
Wewe jamaa bana!!?
kwa hiyo siku ya kwanza ukafika Newyork
hukufanikiwa kukutana na jamaa yako.
Ukalala kitaani.
Siku ya pili ukajichanganya kitaa kwa shughuli za hapa na pale!!??
Siku ya tatu ukazaa na mzungu watoto wawili!?
Siku ya nne wakakurudisha bongo kama illegal migrant!?.
Hii kiboko hata kama summary hii sio summary.
Mbona story inaeleweka iyo, simple unasoma unaelewa.
Au wewe unataka mambo ya ITAENDELEA...........
 
Hii ya kujifanya shoga inalipa sana siku hizi mambele

Ningekuwa kidume tayari ningejigeuza cocastic nile bata Canada

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Usijidanganye utafika huko ukisema we ni Shoga... one of my brotha lives in Sweden alinipa story siku moja tuko kwenye voice-call ya WhatsApp akaniambia kuna wajinga kadhaa wa kibongo wamefika wakadanganya wao wakimbizi wamekimbia kwa sababu wao ni gays wanataka kuuwawa... wakafanyiwa vipimo na mbali na vipimo wanakuwepo watu special wa kukujaribishia Dushe... tena Dushe kwelikweli


Mbona walisalimu amri! 😳😂😂😂

Wakarudishwa Bongo... tulikufa kucheka... kwahiyo ukiandaa kisingizio hakikisha ni kweli. Kama unafirwa make sure ni kweli hiyo michezo unayo na we kweli ni gay.

#nawasilisha
 
Wabongo ndio tabia zetu,Mungu akubariki sana mkuu kwa
Hongera sana mkuu,Mungu akubariki,watanzania ndio tulivyo,huwezi kuta watu from West Africa wanafanya ujinga huo
Wapopo huwa hawatupani mkuu. Sisi ndiyo wajinga tunalostishana sasa sijui ni roho mbaya au ni vipi? Ni bora mtu umwambie mtu hali halisi kuliko kumdanganya wakati uwezo wa kumsadia huna.
 
Wazungu wana heshima sana hawawezi kukutatua from nowhere....we ukiwambia mi ni gay mchezo umeisha, umeula tayari

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kha! HAHAHA! Witness naanza kupata wasiwasi na wewe sasa... mbona unaanzisha ubishi ambao hauna hata mantiki?!

Unawajua wazungu vizuri wewe?! Acha kabisa! Waonage hivyohivyo tu hawa nguruwe 😅🙌🏾
 
Usijidanganye utafika huko ukisema we ni Shoga... one of my brotha lives in Sweden alinipa story siku moja tuko kwenye voice-call ya WhatsApp akaniambia kuna wajinga kadhaa wa kibongo wamefika wakadanganya wao wakimbizi wamekimbia kwa sababu wao ni gays wanataka kuuwawa... wakafanyiwa vipimo na mbali na vipimo wanakuwepo watu special wa kukujaribishia Dushe... tena Dushe kwelikweli


Mbona walisalimu amri! 😳😂😂😂

Wakarudishwa Bongo... tulikufa kucheka... kwahiyo ukiandaa kisingizio hakikisha ni kweli. Kama unafirwa make sure ni kweli hiyo michezo unayo na we kweli ni gay.

#nawasilisha
Najua huwa wanapimwa
Otherwise iwe ni known case
 
Back
Top Bottom