Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lazima kuishi kama wao inawezekana tunavyoishi kwa msongamano ni kivutio tosha kwa nchi nyingine kuiga wakidhani ndo utamaduni wetu
Tunakubali ni kweli tunamapungufu yetu lakini pamoja na yote bado tunaona sio sawa na tulipokua,ITOSHE KUSEMA TANZANIA NI YETU NA SISI NDO WATANZANIA WENYEWE KUA MZALENDO PENDA TAIFA LAKO
huko nasikia ni balaa si ndio lile poem la landlord landlord.my roof has lTatizo hujawahi kufika Marekani ,ungemuuliza na Harlem,Manhattan je
Waafrica ukweli huwa hatutaki kuambiwa, tunataka tusifiwe kinafikihuko nasikia ni balaa si ndio lile poem la landlord landlord.my roof has l
sprung a leak.
mshair langhston hughes anaonesha namna maisha mabov ya black s huko.
huyu jaamaa limbuken kabisa ina mana anashindwa kulala et dawa ya.mbu.asa alitegemea nin katila nchi za ukanda wa kitropik.huku joto sio sawa na huko virginia maryland.jinga
mtoa mada amejigamba kwa kutoa kasoro nyingi zenye dhihaka ndani yake ukiwa kama mtanzania mwenye uzalendo wa kweli chukua changamoto tulizonazo tuzibadilishe kua fursa inawezekana mmoja akija na idea ya kutatua kero za uchafu tulionao na serikali ikatoa surport kwa sehemu inapobidi ingewezekana kabisa tungeondoa tatizo,na sio kutupiana mipiraKwa hyo Tanzania ni yetu sote hta kama kuna mapungufu tusiseme?
Kwa hyo unakubaliana na Hali ya uchafu na ujenzi holela uliopo kwenye miji yetu?
Maada inahusu miji haihusu Vijiji, anzisha maada ya vijiji, acheni ujingaVip kijijini kwenu?kukaa ulaya miaka minne unatukoromea wakati inawezekana kijijini kwenu Bibi ako anaishi kwenye msongee
Kwa suala la bus station nadhani waTanzania tuko vizuri, sijatembelea hiyo, lakini kama imejengwa kwa ubora unaotakiwa basi tutakuwa tunazizidi nchi za ulaya kwenye eneo la Bus station maana huku sijaona bus station ya maana. Hata ile ya Paris bado hawatufikii ukilinganisha na yetu.Wakati mwingine ujitahidi pia kutembelea stendi yetu mpya ya kimataifa ya Mbezi! Tumelazimishwa kuiita stendi ya magufuli! Utajionea mwenewe wanyonge wanavyo fanya biashara ndani ya hiyo stendi bila bughudha!
Hutokuja uuone huo utaratibu sehemu yoyote ile duniani zaidi ya huku kwenye nchi yetu ya wanyonge.
Mimi nadhani nimewajibika kutoa tathmini ya maendeleo ya nchi yetu kipindi mimi niko nje.mtoa mada amejigamba kwa kutoa kasoro nyingi zenye dhihaka ndani yake ukiwa kama mtanzania mwenye uzalendo wa kweli chukua changamoto tulizonazo tuzibadilishe kua fursa inawezekana mmoja akija na idea ya kutatua kero za uchafu tulionao na serikali ikatoa surport kwa sehemu inapobidi ingewezekana kabisa tungeondoa tatizo,na sio kutupiana mipira
usipowajibika ww kwa kuona changamoto na ukadai wengine ndo walitakiwa kufanya uon kama umejikita kwenye malalamishi na sio suluhu
TANZANIA NI YA KWETU USIMTUPIE MPIRA MWINGINE AUCHEZE VIZURI WAKATI WW UNATOA PASI ZA OVYO
Unajua sie Watz huwa hatupendi mtu anaejaribu kushauri au kuwaambia ukweli, matokeo yake huwa ni kuishia siku zote kutukana au kurusha ngumi...mie sijaona sehemu ambayo jamaa kaikana nchi yake bali maoni yake, ni kujaribu kufanya comparison kati ya home country Tz Vs nchi nyingine alizotembelea, na kujaribu kukumbusha kwamba, bado tuna safari ndefu, na vitu tunavyoona kama tumefanya wonders, ni vitu vya kawaida sana kwa nchi za wenzetu, na wala hatuhitaji kupiga makelele mengi wakati tunafanya hayo.Akuache wewe na nani, sisi pia umechoka na hizo kalele za viongozi kumbe hata Kenya hatuwafikii sasa kwetu mbona kelele hivi? Mbona Kenya hatuyasikii haya, Asante sana Baharia kwa kututowa tongotongo
Bus station za nini sasa kama hapo Mbezi. Stand tunapita tu. Ulaya wanafikiria mbali.Kwa suala la bus station nadhani waTanzania tuko vizuri, sijatembelea hiyo, lakini kama imejengwa kwa ubora unaotakiwa basi tutakuwa tunazizidi nchi za ulaya kwenye eneo la Bus station maana huku sijaona bus station ya maana. Hata ile ya Paris bado hawatufikii ukilinganisha na yetu.
Nadhani Ulaya bus station za masafa marefu hazipewi umuhimu sana kama ilivyo Tanzania.
Hiyo ya Mbezi NAIONA KWENYE PICHA TU.