Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Ok. Nitajie zote ulizotaja na mwaka kila nchi ilipata uhuru, vingenevyo nitajua hujui kitu kabisa
Nchi zote hpo tulipata nao Uhuru almost Sawa kasoro China sa sijui unatka nn??

Unatetea nchi kuwa chafu na ujenzi holela kwa kisingizio cha umaskini ?
 
Mimi nimekosoa. Wewe njoo na suluhisho. Huwezi nifundisha namna ya kuandika. JIBU HOJA
 
Ukweli uambatane na ushauri namna ya kufikia hicho kiwango mnachokiona huko ng'ambo! Ukweli huku unachombeza kwa lugha zisizo na staha, tunarudi kwenye lugha za kuudhi.
Kwani mtu kujua hili si sawa ni lazima ajue sawa ni lipi?
 
Ukweli uambatane na ushauri namna ya kufikia hicho kiwango mnachokiona huko ng'ambo! Ukweli huku unachombeza kwa lugha zisizo na staha, tunarudi kwenye lugha za kuudhi.
Watanzania wengi hatujui umuhimu wa criticism. Sioni mtu wa kushiriki hard talk mfano wa ile ya BBC. Hatupendi ukweli.
 
Jamaa mzushi tu,wengine tunaishi kwa watu toka 2005 na tukirudi nyumbani unaona kuna kijihatua kimepigwa,shida ya dar uchafu tu na vile vibanda vya wafanyabiashara vilivyozagaa bila mpangilio kila mahali ndio vimeharibu
We utakuwa unafikiaga osterbay na masaki , ukirudi bongo nenda katembelee chanika na gomz uone jinsi ujenzi wa slum ulivyoshika chati
 
Ungeongelea na kijini kwenu ulipozaliwa wewe au mzazi/wazazi wako pakoje kidogo ningesema hujatumwa,ila mbona hiyo sehemu hujaiongelea? Tuachane na kote huko nadhani umeona nyumba za huko ulaya zilivyo watu wanapoishi.

Hebu ungetuonyesha na nyumba anayoishi mzazi/wazazi wako hapa bongo tuone vina utofauti na maandishi yako hapo juu,Mkuu hapa ndio kwenu hata ukipakataa Ukifa utapandshwa pipa utarudi kufukiwa huku huku kwa maskini.
 
Watanzania wengi hatujui umuhimu wa criticism. Sioni mtu wa kushiriki hard talk mfano wa ile ya BBC. Hatupendi ukweli.
Steve wa HD hatumii lugha za kuudhi bali uhoji kwa staha ingawa wakati mwingine u-provock muhojiwa kwa maswali tatanishi. Na mwisho wa kipindi kama mahojiano yameenda vyema utoa furusa kwa muhojiwa kutoa ushauri kwa jambo husika!
 
ZERO BRAIN, Topic ni maendeleo ya Tanzania, siyo maendeleo yangu binafsi.
 
Steve wa HD hatumii lugha za kuudhi bali uhoji kwa staha ingawa wakati mwingine u-provock muhojiwa kwa maswali tatanishi. Na mwisho wa kipindi kama mahojiano yameenda vyema utoa furusa kwa muhojiwa kutoa ushauri kwa jambo husika!
Lugha ya maudhi na isiyo na maudhi ni ipi? Kuna uongo kwenye nilichokiandika?
 
Unajua hizo nchi unazozisifia zilipata Uhuru lini? Na tz ilipata Uhuru lini? Ukijua Hilo utaelewa kitu

Swali la kitoto, kama hutaweza kutuambia inahitaji miaka mingapi kufikia hatua yao!! Kuna nchi kama Malaysia, Singapore na Vietnam. Miaka ya 1970s zilikuwa kama sisi. Je leo ziko sawa na sisi???

Kazi yetu sisi kupiga mdomo tu!
 
Kwetu Mwanza. Nitapaongelea siku ingine. Lengo siyo kujionesha, ama kwamba napachukia nyumbani. TANZANIA NI KWETU. LENGO LANGU NI KWAMBA TUNATAKIWA KUJITATHMINI. KUDHANI TUMEFIKA KUNATUPOTOSHA.
Una miaka 4 tu Ulaya unasahau neti? Niko miaka 20 na nathamini kwetu Bongo. Kila sehemu inao uzuri na ubaya wake hata hiyo Colon yako.
 
Huo mji wa colon uko wapi?
 
Leo ndo nimemuelewa JPM kuhusu watoto wetu kuijua historia ya nchi yao.... Ukijua mmetoka wapi, mkoa wapi na mnaenda wapi unaweza kuja na uzi tofauti na huu.
Tumetoka nchi ilikuwa na viwanda lukuki

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…