Wabongo tukiambiwa ukweli tunalialia Sana.
Tembeeni nchi za watu muone tulivyo nyuma.
Siku moja nenda katembee hata hapo windhoek - Namibia uje kusimulia hapa wenzenu wanavyoishi.
Hakuna mtu anapenda kuishi maisha ya kijinga ya uswahili. Sema ni umasikini tu tunashindwa kuishi maeneo mazuri usijitetee eti unapenda uswahilini sema huna hela ya kuishi sehemu Bora.
Diamond kazaliwa Tandale ila leo anaishi mbezi beach kwani Tandale hapaoni.
Mama Diamond anaishi zake madale.
Mbosso alikuwa anaishi huko uswazi mbagala Ila sasa hivi anaishi zake Mbweni.
Lavalava Yuko upanga.
Hawa ni mastaa wachache ninaowajua walikuwa wanaishi Uswazi ila baada ya kuzipata wamehama Uswazini na kutuacha sisi masikini.
Maisha ya uswazi Ni umasikini tuache kujifariji na vitu vya kipumbavu.
Acha ulimbukeni!! Ndiyo najifariji kwani kujifariji dhambi??? si ndivo nilivyo?? Siwezi jikataa kamwe uswahilini kwetu piga ua galagaza! naweza pabadilisha pakawa pazuri washamba mnaita uzunguni!
Hiyo sinza, mbezi beach, msasani yalikuwa mashamba ya mpunga.enzi hizo!
Nimekaa Evertone green, Downing street maisha yangu ya utoto lkn mabatini Mwanza sikupabagua hata chembe na leo hii ni zaidi ya palivo kuwa.
Siyo siri Watu mliokulia mashambani mna shida sana.mkiona vimiji vidogo vidogo!
Hao ni wanaume wenzako walijenga miji yao na wewe kajenge kwenu pawe pazuri uwazidi.
Nenda Machame, kanyigo-Bukoba! Kenyamanyori-Tarime.kirigiri ni zaisi ya Ulaya. Kericho rural area -kenya.
Quachasnake -lesotho. Ubirunga-wastern cape nk huko ni zaidi ya Ulaya.
Hutarudi na ujinga huu hapa tena kajenge mwenyewe kwenu usibabaike na vimiji vya watu.
Humu humu tu tumejitahidi sana kuliko hata hayo majinga yako.
Wachaga hoyeee!! Wakurya. wajita wahaya hoyeeeee!!! huko ni zaidi ya huo utoporo wako! Huku ukijichanganya tu umekiwa km wao! Hkn ubaguzi mkioleana ndo kabisaaaa! Ni shimbonyi ahafoo tuuu!! Mpaka basi.
Najua kule kwenu ukerewe mnalogana sana. Ndo maana unatamani vimiji vya wenzako!
Dsm yetu iache km ilivo!!! Tunapenda kwa jinsi tulivyo usituletee ulimbukeni wako huo!!!
Tumetoka mbali na siasa zetu za jiji!!!! Endelea kubeba ma box.