Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Kuna rafiki yangu Mmarekani aliwahi kaniambia Mnawezaje kuishi sehemu mko congested namna hii.

Itakuwa hamjaelewana alichokuwa anamaanisha huyo rafiki yako.

Labda azungumzie mpangilio wa Makazi lakini kama anazungumzia 'congestion' kama ninavyoielewa mimi,
Sijui katokea Jimbo gani la Maporini huko.

Muambie atembele New-York atajua ladha ya hiyo inayoitwa 'Congestion' halisi..
 
Kwetu Mwanza. Nitapaongelea siku ingine. Lengo siyo kujionesha, ama kwamba napachukia nyumbani. TANZANIA NI KWETU. LENGO LANGU NI KWAMBA TUNATAKIWA KUJITATHMINI. KUDHANI TUMEFIKA KUNATUPOTOSHA.
Watu wanalazimisha kuigeuza Nyeusi kuwa Njano.

'Wako Jacko' alivaa Mask alivyotua tu Kwa Bi.Mkora,
Hiyo ni zaidi ya miaka 30 iliyopita.
Sijui kuna anaekumbuk? au wengine mlikuwa kwenye 'flais' za Wazazi bado enzi hizo??
 
Kuwaambia watu ukweli unaoonekana kama matusi ya mjivuni anayetukana kwao baada ya miaka michache ya kukaa Ulaya kunataka diplomasia ya hali ya juu sana.
 
Dunia yote inaangalia west kama reference ya maendeleo. Si China wala Russia wanafanya hivyo. Technology ya China miaka yote imekuwa ni copycat. Viongozi wetu wote wamekuwa wanafanya reference ya Ulaya
Wewe ulitaka nitumie model ipi ya maendeleo?
Kwa hiyo unaniambia tangu watu waumbwe hapa duniani hakukuwa na maendeleo hadi tusubiri miaka ya karne ya 20 na 21 tudese kwa kikundi fulani cha watu wanaoishi West kujua nini maana ya maendeleo? Mbona hizo ni fikra duni sana yaani....! Yaani wewe kwa akili zako mababu zetu wa karne na karne zilizopita hawakuwa kupata ladha ya mafanikio, yaani ni sisi tu tuliopata bahati ya kuishi karne ya 21 kujua nini maana ya maendeleo. Tena kwa definition yako narrow ya maendeleo ni maendeleo ya West, vinginevyo hujaendelea au kufanikiwa!

Narudia, hivyo ndivyo wakoloni wanavyotaka ufikirie. Acha hizo mambo - kuwa na 'jeuri' basi hata kidogo, jithamini, reference ya maendeleo yako iwe wewe mwenyewe. Usiwapuuze wachina au warusi hata kidogo. Hao wamethubutu kudhibiti Western Supremacy Mentality, na uchina au urusi zinaamini katika mambo yao. Yawe ya kisasa au ya asili. Umebaki wewe na wenzako wengine katika Afrika.
 
Wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wengine mtumwa kabisa wewe ondoka nchini kwetu nenda usirudi hapa. Tuache na umaskini wetu nyani wewe.
 
Tena ukute huko umeolewa, fala wewe. Unafikia hoteli hupajui kwenu, hujitambui kabisa wewe.
 
Mwamba analalamika ulaya hakuna neti lakini halalamiki ulaya hakuna mbu
 
Maskini, nani kakuambia kwamba wajerumani walitawala Tanganyika had 1940 ? Kwa taarifa yako mjerumani aliondoka Tanganyika baada ya kushindwa vita kuu ya kwanza ya dunia mwaka 1918.
Uwezo wako wa kufikiri ni wa kati... Wenye uwezo angalau wa kueleweka wanakuja na mapendekezo baada ya kuonyesha tatizo hawaji na ukosoaji na kebehi pekee...

Nchi kama Tanzania hakuna kisichokuwa kipaumbele ndio maana huijui historia ya nchi yetu na hutaki kujifunza... Hatua za maboresho ya miundo mbinu, mazingira, afya, uzalishaji, usafirishaji, elimu, ajira na huduma za jamii zinahitaji fedha kununua teknolojia, ujuzi na mitambo, tafiti, kulipa ujira nk...

Ukiwa na hali tuliyonayo kama nchi unawezaje kubeza tulichonacho... Anza kujiuliza wewe mpaka sasa umechangia kiasi gani kuleta mabadiliko chanya kwenye nchi yako...nini mchango wako ...anzia ndani ya familia yako anzia hapo Mwanza alipo mama na baba yako umechangia kipi kuleta mabadiliko chanya kwa exposure uliyopata nje ya nchi... Umewezaje ku transform kilichopo kuwa bora kama ulichojifunza ulaya?
Ikiwa unaponda tu bila mapendekezo basi huitambui nafasi yako katika nchi na jamii in general.

Nitakupa mfano mdogo sana jiji la Dar (sasa Ilala) na zamani Mzizima kabla ya Sultan Seyyid Majid wa Zanzibar kuibatiza Mzizima jina jipya la Dar es salaam ni moja ya mji mkongwe... then 1891 Ujerumani walifanya mji mkuu wa kibiashara mpaka walipojenga reli ya kati 1904 Dar-Kigoma waliushikilia mpaka waliposhindwa vita 1940s then uingereza ika takeover mpaka 1961 ....maana yangu ni nini muda wote huo mji ulikuwa unaendelea kuongezeka wakazi na makazi kwa kasi kiasi kwamba uwezo wa serikali ya kiraia kuuhudumia mji ulikuwa mdogo... Sasa leo hii ndio hizo pangua pangua, bomoa bomoa zinakuja kutokana na jiographia ya Dar kumekuwa hakuna mbadala kwa baadhi ya maeneo kuruhusu ujenzi wa kisasa unao utaka... Madaraja ya coco nk nikatika kuufungua mji na kupunguza compessision cost, kupunguza relocation endapo utawatoa watu katika maeneo yao.... Utaona mifumo ya maji safi na taka ilivyozidiwa [iliundwa kuhudumia watu laki 4.5 leo wapo 6m+] na sasa inaboreshwa na kuanzisha mipya...

Walau umekiona ulichokiona na ukaweza kufanya mlinganyo kuliko kisingekuwepo kabisa...

Anyway ulitoa mawazo yako nimekuelewa hata kama sikukubaliana nawe. Maana kumwelewa mtu kunasaidia kujua uwezo wake.
 
Mi kuna jamaa ajawahi kurudi Tanzania kwa miaka 20 toka atoke bongo alisema nchi ipo tofauti sana na alivyoiacha ina muonekano mzuri hasa kwa daslm ilimfanya aanze ujenzi mkubwa huko mbezi beach kwa ajili ya makazi yake ya kudumu...
 
Kuwaambia watu ukweli unaoonekana kama matusi ya mjivuni anayetukana kwao baada ya miaka michache ya kukaa Ulaya kunataka diplomasia ya hali ya juu sana.
Ukweli uambatane na ushauri namna ya kufikia hicho kiwango mnachokiona huko ng'ambo! Ukweli huku unachombeza kwa lugha zisizo na staha, tunarudi kwenye lugha za kuudhi.
 
Mwamba analalamika ulaya hakuna neti lakini halalamiki ulaya hakuna mbu
Hapo ndipo nilipoanza kuona 'mwamba' anatembea ameinama kisa eti akisimama mbingu itamuumiza utosi wake!
 
Umeongea ukweli mkuu,

Nchi zetu za kiafrica tuna janga kubwa la kukosa right leadership Hali iliyofanya tushindwe kusimamia mambo ya msingi km mipango miji na usafi

Ukiangalia nchi kama Tanzania leadership chain imepararaizi kila kitu mpaka rais au waziri mkuu aseme

Wabunge, madiwani, wenyeviti wa mtaa hawa wote ni kama hakuna wanalofanya kila kitu wameiachia serikali kuu ifanye

At least nchi km Rwanda wamejitahidi Sana Leo hii Rwanda ukienda Hadi vijijini ni kusafi si mchezo coz Hadi wenyeviti wa mtaa wanatimiza wajibu wao ipasavyo.
Rwanda kwenye usafi wako vizuri mkuu,kwa jiji kama dar nilitegemea mtu kama kunenge angesimamia usafi na vile kujaribu kupunguza wafanyabiashara wadogo wadogo kwa kuwatafutia maeneo mengine ya kufanya biashara
 
Kuna ukweli fulani hivi...

Ukienda nchi za wenzetu ukakaa muda kidogo na ukirudi hapa... dah!! Unapaona pa hovyo sana...
Jamaa mzushi tu,wengine tunaishi kwa watu toka 2005 na tukirudi nyumbani unaona kuna kijihatua kimepigwa,shida ya dar uchafu tu na vile vibanda vya wafanyabiashara vilivyozagaa bila mpangilio kila mahali ndio vimeharibu
 
Mkuu wangu KWA swala la mbu
Nikujulishe mbu wanapatikana kwenye tropical climate , Africa karibu yote iko kwenye tropical area kasoro the most south na the most north ambazo ni subtropics

Kushangaa mbu Africa naona ni kukosa tu uelewa mbu anazaliana KWA wingi Africa sababu ya hali ya hewa ,Ulaya hakuna mbu si KWA sababu wamemdhibiti hapana ni KWA sababu hali ya hewa hairuhusu kuzaliana huko

Kushangaa ugonjwa wa malaria Africa ni sawasawa na kushangaa ugonjwa wa Frost bite Ulaya , Africa KWA namna yoyote hatuwezi kuugua FROST BITE sababu ya hali ya hewa huo ni ugonjwa wa maeneo ya extreme cold wala Ulaya huwezi kukuta malaria maeneo yao mengi ni frigid na malaria inastawi kwenye tropical climate
Summer ulaya kuna mbu tena ile mimbu mikubwa unaweza kudhani spider,uzuri wake mbu wale awaambukizi malaria
 
Wabongo tukiambiwa ukweli tunalialia Sana.
Tembeeni nchi za watu muone tulivyo nyuma.
Siku moja nenda katembee hata hapo windhoek - Namibia uje kusimulia hapa wenzenu wanavyoishi.

Hakuna mtu anapenda kuishi maisha ya kijinga ya uswahili. Sema ni umasikini tu tunashindwa kuishi maeneo mazuri usijitetee eti unapenda uswahilini sema huna hela ya kuishi sehemu Bora.

Diamond kazaliwa Tandale ila leo anaishi mbezi beach kwani Tandale hapaoni.

Mama Diamond anaishi zake madale.

Mbosso alikuwa anaishi huko uswazi mbagala Ila sasa hivi anaishi zake Mbweni.

Lavalava Yuko upanga.

Hawa ni mastaa wachache ninaowajua walikuwa wanaishi Uswazi ila baada ya kuzipata wamehama Uswazini na kutuacha sisi masikini.


Maisha ya uswazi Ni umasikini tuache kujifariji na vitu vya kipumbavu.
Acha ulimbukeni!! Ndiyo najifariji kwani kujifariji dhambi??? si ndivo nilivyo?? Siwezi jikataa kamwe uswahilini kwetu piga ua galagaza! naweza pabadilisha pakawa pazuri washamba mnaita uzunguni!

Hiyo sinza, mbezi beach, msasani yalikuwa mashamba ya mpunga.enzi hizo!

Nimekaa Evertone green, Downing street maisha yangu ya utoto lkn mabatini Mwanza sikupabagua hata chembe na leo hii ni zaidi ya palivo kuwa.

Siyo siri Watu mliokulia mashambani mna shida sana.mkiona vimiji vidogo vidogo!

Hao ni wanaume wenzako walijenga miji yao na wewe kajenge kwenu pawe pazuri uwazidi.
Nenda Machame, kanyigo-Bukoba! Kenyamanyori-Tarime.kirigiri ni zaisi ya Ulaya. Kericho rural area -kenya.

Quachasnake -lesotho. Ubirunga-wastern cape nk huko ni zaidi ya Ulaya.

Hutarudi na ujinga huu hapa tena kajenge mwenyewe kwenu usibabaike na vimiji vya watu.
Humu humu tu tumejitahidi sana kuliko hata hayo majinga yako.

Wachaga hoyeee!! Wakurya. wajita wahaya hoyeeeee!!! huko ni zaidi ya huo utoporo wako! Huku ukijichanganya tu umekiwa km wao! Hkn ubaguzi mkioleana ndo kabisaaaa! Ni shimbonyi ahafoo tuuu!! Mpaka basi.

Najua kule kwenu ukerewe mnalogana sana. Ndo maana unatamani vimiji vya wenzako!

Dsm yetu iache km ilivo!!! Tunapenda kwa jinsi tulivyo usituletee ulimbukeni wako huo!!!

Tumetoka mbali na siasa zetu za jiji!!!! Endelea kubeba ma box.
 
Acha ulimbukeni!! Ndiyo najifariji kwani kujifariji dhambi??? si ndivo nilivyo?? Siwezi jikataa kamwe uswahilini kwetu piga ua galagaza! naweza pabadilisha pakawa pazuri washamba mnaita uzunguni!

Hiyo sinza, mbezi beach, msasani yalikuwa mashamba ya mpunga.enzi hizo!

Nimekaa Evertone green, Downing street maisha yangu ya utoto lkn mabatini Mwanza sikupabagua hata chembe na leo hii ni zaidi ya palivo kuwa.

Siyo siri Watu mliokulia mashambani mna shida sana.mkiona vimiji vidogo vidogo!

Hao ni wanaume wenzako walijenga miji yao na wewe kajenge kwenu pawe pazuri uwazidi.
Nenda Machame, kanyigo-Bukoba! Kenyamanyori-Tarime.kirigiri ni zaisi ya Ulaya. Kericho rural area -kenya.

Quachasnake -lesotho. Ubirunga-wastern cape nk huko ni zaidi ya Ulaya.

Hutarudi na ujinga huu hapa tena kajenge mwenyewe kwenu usibabaike na vimiji vya watu.
Humu humu tu tumejitahidi sana kuliko hata hayo majinga yako.

Wachaga hoyeee!! Wakurya. wajita wahaya hoyeeeee!!! huko ni zaidi ya huo utoporo wako! Huku ukijichanganya tu umekiwa km wao! Hkn ubaguzi mkioleana ndo kabisaaaa! Ni shimbonyi ahafoo tuuu!! Mpaka basi.

Najua kule kwenu ukerewe mnalogana sana. Ndo maana unatamani vimiji vya wenzako!

Dsm yetu iache km ilivo!!! Tunapenda kwa jinsi tulivyo usituletee ulimbukeni wako huo!!!

Tumetoka mbali na siasa zetu za jiji!!!! Endelea kubeba ma box.
Naona unaleta stress zako kujibu Mambo usiyoelewa.


Hoja hapa ni maisha ya uswahili na kutokuwa na hela. Umeishi kote huko ila huna hela za kuishi sehemu nzuri.

Diamond kwao Tandale amepabadirisha ila haishi pale uswekeni Tandale. Uswekeni Tunaishi tusiojiwesa. Sema huna hela uishi sehemu nzuri. Usijifafiji eti unapapenda uswazi.

Nina watu zaidi ya 50 nawajua walikuwa wanaishi uswazi ila baada ya kuzipata wamehamia maeneo ya wastaarabu.

Hapa hoja ni Tanzania Ina Maeneo unplanned mengi na sio huo ujinga wako wa kutaja miji Kama umekeketwa. Jikite kwenye mada. Umeishi uswazi ndio maana akili zako zimejaa matope. Licha ya kuishi nje huna exposure yoyote.

Huwa mnadhani kila anaeikosoa Tanzania haipendi au anajiona matawi which is wrong.
 
Uliponiacha hoi ni pale, uliposhanga neti na kupulizwa dawa ya mbu. Kuna siku utakuja kushangaa, kuwa Tanzania hadi leo hakuna magari ya kuzolea barafu barabarani.
 
Back
Top Bottom