Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Idea yako ya mahakamani imeshakufa au bado ipo mkuu, nimesoma uzi lakini sjaelewa
Sina mpango wa kuoa kanisani/msikiniti na sijawahi kuwaza wala kutamani.

Wazo ni Mahakamani, shida ni changamoto n- vikwazo ninavyoletewa na ni vyakushtukizana miezi mibaya.
 
Inawezekana.

Lengo ni utambulisho then mwezi wa 3/4 ndipo kukutana ili ndugu pande zote tujuane.

Kumbuka matarajio ya binti kujifungua ni mwezi wa 6.

So niliwaza baada ya hapo ndipo utaratibu mwingine ningeukamilisha.
Upo sawa, ila bado si mkeo mkuu. Hapo katikati akipata mwamba akamtolea mahari kabla yako ikapoelewa anabeba mnaanza mipango ya namna ya kumlea mtoto bila kumuudhi mumewe.
 
Sina mpango wa kuoa kanisani/msikiniti na sijawahi kuwaza wala kutamani.

Wazo ni Mahakamani, shida ni changamoto n- vikwazo ninavyoletewa na ni vyakushtukizana miezi mibaya.
Waeleze ukweli sasa, kwamba utaratibu ni huu.
 
Mimi pia natokea migombani

Humbe na Humility...omba sana hivi vitu katika maisha yako. Wazazi wa mkeo.ni wazazi wako, sisi wa migombani tunaheshimu sana Vatoi....
 
Upo sawa, ila bado si mkeo mkuu. Hapo katikati akipata mwamba akamtolea mahari kabla yako ikapoelewa anabeba mnaanza mipango ya namna ya kumlea mtoto bila kumuudhi mumewe.
Huyo jamaa nitampigia salute nyingi sana na mchango wa harusi nitampa maana atakua hana tofauti na wale wanaojitoaga mhanga πŸ˜‚

Alafu dunia ya leo waoaji ni wachache mzee.
 
Mimi pia natokea migombani

Humbe na Humility...omba sana hivi vitu katika maisha yako. Wazazi wa mkeo.ni wazazi wako, sisi wa migombani tunaheshimu sana Vatoi....
Naheshimu pia lakini kitendo hichi ni kama wanafanya kwa kutaka kunikomoa.

Na ndio maana hata timetable nyingine nilizivunja ilimradi afike kwao tusiwakwaze wazee.
 
Huwezi amini nilidhani unamzuia kwaajili ya mimba kumbe unamzuia unaogopa utaambiwa upeleke mahari? πŸ˜…πŸ˜…
 
Naheshimu pia lakini kitendo hichi ni kama wanafanya kwa kutaka kunikomoa.

Na ndio maana hata timetable nyingine nilizivunja ilimradi afike kwao tusiwakwaze wazee.
Remember what I said to you. .
 
Huyo jamaa nitampigia salute nyingi sana na mchango wa harusi nitampa maana atakua hana tofauti na wale wanaojitoaga mhanga πŸ˜‚

Alafu dunia ya leo waoaji ni wachache mzee.
Kuna watu wanajilipua mkuu, na pesa unakuta wanazo, unaweza dhani ni masharti ya mganga.
 
Nenda katoe mahari ili ukae na mtoto wao kihalali coz hapo tu umeshafanya tofauti na maadili ya kitz... Ukitoa mahari huwa swala la ndoa itakua lini unasikilizwa wewe muoaji kwahiyo utawatajia na kuhusu Pete waambie unataka umvalishe siku hiyo hiyo ya kutoa mahari kwa maana ratiba zako haziko sawa so unataka kumaliza vyote siku hiyo ili libakie swala la ndoa tu.
 
Huwezi amini nilidhani unamzuia kwaajili ya mimba kumbe unamzuia unaogopa utaambiwa upeleke mahari? πŸ˜…πŸ˜…
Rudia kusoma thread yangu Mkuu.

Mahari sio issue na hata ule utaratibu wa kwanza haukua bure kuna fedha iliachwa.

Na hata hiyo sio mahari ni wanataka tukutane ndugu wa pande zote mbili kuwe na kama katafrija (Gharama, Muda, Watu) kwa tarehe hiyo watapatikana kweli??
 
Kwa mawazo hayo utawez cmamia familia kweli


Shusha nyongo
 
Sio kama nimekataa Masta, issue ni huo muda walionipangia (Ni ndani ya siku 10) isitoshe hii ni january kupata nafasi kwa upande wangu, wazazi na ndugu ni changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…